Mwaiwendangudage
Member
- Jul 16, 2021
- 39
- 44
Asante sana .Kama Waziri wa Afya wa Uingereza kachanjws na bado akaugua covid-19, usalama wa chanjo hapo upo wapi? Hivi wewe in mchawi umetumwa eti? Serikali ipi yenye uwezo wa kuthibitisha kwamba chanjo in salama? Hii hii ya Mama Samia iliyo busy na kusgughulika na gender na kutuibia pesa za tozo za miamala? Tunapoonfelea suala la afya za watu hebu tuwe aerious basi tupunguze ushwahili
Tumeambiwa tuwaite kwa jina la wewe ni pesa.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Gwajima yuko sahihiKwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Kuna watu wengine mpaka unajiuliza ilikuwaje wakazaliwa binadamu, wew ni mmoja waoAcheni kubadili maana ya mahubiri ya Gwajima nyie popona, alichosema Gwajima ni kwamba kabla chanjo haijaanza kutumika nivizuri wataalam wetu wajiridhishe ubora wa hiyo chanjo na pia uhalisia wake isije ikawa tumeletewa kitu kingine na c chanjo.
Kuhusu Madaktari alisema kuwa wasishadadie watu wa chanjwe bila kuwepo uhakika wa chanjo husika na ndipo akasema atakaye fanya hivyo na Afe.
Akaenda mbali zaidi kusema hiyo anaye shadadia watu wa chanjwe(Gaidi)yy ana maslahi tayari na hiyo chanjo.
Mlikuwa mnalia wewe na jobless wenzioSi tulikuwa tunalia hakuna Uhuru wa kutoa maoni? Vipi tena mnataka wanaotoa mawazo Yao wakamatwe?
Gwajima Ni chizi Kama machizi Wengine type ya mwendazake, inatakiwa akamatwe akaminywe pumbu,hawezi akamletea kauli za dharau RaisIle chanjo ni hiari na hata Rais kasema hilo. Pia Serikali imeshadeclare kwamba unachanjwa at your own risk na litakalokukuta, usimuulize mtu.
Kamsikilize vizuri Gwajima. Hapingani kindezi tu. Ametoa sababu zake ambazo wataalamu wetu wa afya wanapaswa kutolea maelezo na sio kubwabwaja huku JF
Mawazo ya mwendazake na sukuma gang,uko serious na maneno uliyoandika hapa halafu kuna watu wamekupa like,nchi hii ina shida kuu moja elimu ya hovyo kabisa,Eti immunity,?chanjo ngapi zimeisha pita nchi hii??na wewe mwenyewe toka mdogo ulichanjwa isitoshe umeambiwa ni hiari bado mnashupaza shingo subiri korona ikupate ndugu zako watakapo kupeleka hospitali wao ndio watakuombea uchanjwe that will be too late.Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.
Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Ni kweli. Sasa hivi hatulii wote tumepata kazi.Mlikuwa mnalia wewe na jobless wenzio
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Jibu hoja kisayansi si propaganda hiyo Serikali imejiridhisha kipi?Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Kama makamu mwenyekiti wetuCHADEMA nendeni mkachanjwe mtiwe elements za ushoga.
Ndugu mimi ninaomba kujua tu. Nani anaejua matokeo halisinya hizi chanjo??
Nani anaejua madhara ya hizi Chanjo??
Huoni kuwa ni risk kwa taifa kufanyia majaribio kwenye Jeshi na Madaktari wake???
Hii chanjo ingekuwa imesha tumika tukaona matokeo yake hapo ningesema hakuna shida ila hakuna hata mmoja anajua madhara ya hii chanjo.
Magu hakua mjinga kusema hatuta chanjwa mpaka tujue matokeo ya chanjo.
Sasa hivi tumekuwa watu wakutishana tu kila siku tanko kila siku tamko. Mnacho kitaka Tanzania kitapatikana soon.
Kumbukeni tuna madini na mali nyingi ambazo baadhi ya nchi kubwa Duniani wana zitafuta sana.
Tanzania achane kuwa kichwa cha mwendawazimu,
Ikowapi leo ule mchanganyiko wa NMRI NA MBONA HAKUNA KUHAMASISHANA KUPIGA NYUNGU.
Wimbi la kwanza na lapili tulipita kwanini hili litusumbuee.
Watu tumeacha kumtegemea Mungu na kufikia kuambiwa tuende Kanisani kwa masaa mawili huu ni ijinga.
Kutoka taifa la kumtegemea Mungu mpaka kuwa taifa la kumpinga Mungu.
Shame on you Viongozi wa Tanzania
Nawaonea huruma hasa waumini wake wanaopoteza muda kumskiliza na kuamini anayowaambia kuhusiana na chanjo ya Covid-19. Hapa kuna shida kubwa!Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Hiki kirusi kipya ni hatari zaidi ya kilichopita tujiandae, hii ni Cha nne sijui Cha tano na sita vitakuwaje.Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Ni kweli kabisa huyu jamaa ni mdanganyifu na muongo number 1 TZ. Kwa kweli personally sijawahi kumsikia akitoa ushauri wa maana zaidi ya upotoshaji. Corona ilipokuja akawadanganya watu wake kuwa haitakuja Tanzania ni itaishia kwenye ndege. Baadaye ilipokuja akadai kuwa haiogopi na atawaponya wagonjwa ... hatukumuona akifanya hivyo zaidi ya kujifukiza .... Huyu Rashid ni Chizi na Tapeli wa kukemewa kama Mapepo mengine. Atakuwa anatumiwa na shetani huyo!!Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?