#COVID19 Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe
Huwa sikubaliani kabisa na huyu askofu lakini kwa hili la chanjo nipo naye sambamba Sana. By the way serikali ishasema chanjo Ni hiari. We mtoa post chukua familia yako mkachanje then tulieni zenu nyumbani kwenu. Sisi acheni tukomae na Mungu maana yeye ndiye ngome na uzima wetu" AKILI ZA MBAYUWAYU..........?!!!!
 
Kama Waziri wa Afya wa Uingereza kachanjws na bado akaugua covid-19, usalama wa chanjo hapo upo wapi? Hivi wewe in mchawi umetumwa eti? Serikali ipi yenye uwezo wa kuthibitisha kwamba chanjo in salama? Hii hii ya Mama Samia iliyo busy na kusgughulika na gender na kutuibia pesa za tozo za miamala? Tunapoonfelea suala la afya za watu hebu tuwe aerious basi tupunguze ushwahili
Asante sana .
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Tumeambiwa tuwaite kwa jina la wewe ni pesa.
Ondoka msaliti
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Gwajima yuko sahihi
 
Acheni kubadili maana ya mahubiri ya Gwajima nyie popona, alichosema Gwajima ni kwamba kabla chanjo haijaanza kutumika nivizuri wataalam wetu wajiridhishe ubora wa hiyo chanjo na pia uhalisia wake isije ikawa tumeletewa kitu kingine na c chanjo.

Kuhusu Madaktari alisema kuwa wasishadadie watu wa chanjwe bila kuwepo uhakika wa chanjo husika na ndipo akasema atakaye fanya hivyo na Afe.

Akaenda mbali zaidi kusema hiyo anaye shadadia watu wa chanjwe(Gaidi)yy ana maslahi tayari na hiyo chanjo.
Kuna watu wengine mpaka unajiuliza ilikuwaje wakazaliwa binadamu, wew ni mmoja wao
 
Gwajima alikula kondoo kimachomacho[emoji15] na waumini wake wanajua.

Gwajima aliiba kura,waumini wake wanajua

Gwajima anafanya siasa(shughuli za waongo,wezi,mafisadi,wauaji,wapandisha tozo n.k) the same time yeye ni askofu na sio sahihi,waumini wake wanajua

Gwajima aliigiza kufufua mtu aliyejifanya kufa na waumini wake wanajua

Gwajima ali dhihaki kifo cha maalim Seif lkn cha magufuli alikaa kimya, waumini wake wanajua

Gwajima alidanganya Birmingham ipo USA,waumini wake wanajua

Gwajima anaombea wasio na hatia kifo (madaktari) na si sahihi kulingana na kazi yake,waumini wake wanajua

Na hili swala la chanjo Gwajima anapotosha watu na waumini wake wanajua hilo kwamba anapotosha

Jamaa ni mjinga karibia kila kitu na waumini wake wanajua lkn KONDOO KWA MCHUNGAJI NI JINGA ZAIDI KULIKO KILA KITU[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
 
Ile chanjo ni hiari na hata Rais kasema hilo. Pia Serikali imeshadeclare kwamba unachanjwa at your own risk na litakalokukuta, usimuulize mtu.

Kamsikilize vizuri Gwajima. Hapingani kindezi tu. Ametoa sababu zake ambazo wataalamu wetu wa afya wanapaswa kutolea maelezo na sio kubwabwaja huku JF
Gwajima Ni chizi Kama machizi Wengine type ya mwendazake, inatakiwa akamatwe akaminywe pumbu,hawezi akamletea kauli za dharau Rais
 
Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.

Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
Mawazo ya mwendazake na sukuma gang,uko serious na maneno uliyoandika hapa halafu kuna watu wamekupa like,nchi hii ina shida kuu moja elimu ya hovyo kabisa,Eti immunity,?chanjo ngapi zimeisha pita nchi hii??na wewe mwenyewe toka mdogo ulichanjwa isitoshe umeambiwa ni hiari bado mnashupaza shingo subiri korona ikupate ndugu zako watakapo kupeleka hospitali wao ndio watakuombea uchanjwe that will be too late.
 
Wewe ndiye wa kupuuzwa na siyo Gwajima. Mbona serikali yenyewe haina uhakika na hizo chanjo. Inatoa kama mtoto akililia wembe, ama kila mtu abebe mzigo wake, ama pamabana na hali yako, ama mtidnon wa mtajiju.

Akili za kuambiwa ongeza na za kwako, acha kukariri na kuendelea kujidharirisha,jiongeze utaheshimika.



Wenye fahamu wanaona nyuma ya pazia, hawaishii hapo ulipo wewe.



Kama kiingereza hujui, tafuta mtu mkweli akutafisirie


Kwa nini clips zinazotoa taarifa za yanayotokea duniani zinaondolewa watu kama wewe msijue?







Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Jibu hoja kisayansi si propaganda hiyo Serikali imejiridhisha kipi?
Inajus long term side effects ya hizo chanjo? Au unapayuka tu.

Msihangaike kupambana na Gwajima,ukweli unajulikana.
 
Ndugu mimi ninaomba kujua tu. Nani anaejua matokeo halisinya hizi chanjo??
Nani anaejua madhara ya hizi Chanjo??
Huoni kuwa ni risk kwa taifa kufanyia majaribio kwenye Jeshi na Madaktari wake???

Hii chanjo ingekuwa imesha tumika tukaona matokeo yake hapo ningesema hakuna shida ila hakuna hata mmoja anajua madhara ya hii chanjo.

Magu hakua mjinga kusema hatuta chanjwa mpaka tujue matokeo ya chanjo.

Sasa hivi tumekuwa watu wakutishana tu kila siku tanko kila siku tamko. Mnacho kitaka Tanzania kitapatikana soon.
Kumbukeni tuna madini na mali nyingi ambazo baadhi ya nchi kubwa Duniani wana zitafuta sana.

Tanzania achane kuwa kichwa cha mwendawazimu,
Ikowapi leo ule mchanganyiko wa NMRI NA MBONA HAKUNA KUHAMASISHANA KUPIGA NYUNGU.
Wimbi la kwanza na lapili tulipita kwanini hili litusumbuee.
Watu tumeacha kumtegemea Mungu na kufikia kuambiwa tuende Kanisani kwa masaa mawili huu ni ijinga.

Kutoka taifa la kumtegemea Mungu mpaka kuwa taifa la kumpinga Mungu.

Shame on you Viongozi wa Tanzania

Hili la kupunguza saa za ibada limenikwaza sana

Yaan saa za kumtumikia Mungu alie hai zipunguzwe kweli?

Mungu Baba tafadhali onesha uwezo wako ili ukuu wako utukuzwe
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Nawaonea huruma hasa waumini wake wanaopoteza muda kumskiliza na kuamini anayowaambia kuhusiana na chanjo ya Covid-19. Hapa kuna shida kubwa!
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Hiki kirusi kipya ni hatari zaidi ya kilichopita tujiandae, hii ni Cha nne sijui Cha tano na sita vitakuwaje.

IMG-20210726-WA0009.jpg
 
Kuongea vitu kwa kadamnasi bila vivid evidence; ni upotoshaji he should know better..., Kwanza Kitaaluma ni Daktari hata kama ni daktari ana data kiasi gani za kuweza kuthibitisha anachosema ?

Science haendi kwa shutuma na kutumia shutuma na conspiracies kama evidence
 
Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.

Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?

Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.

Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.

Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Ni kweli kabisa huyu jamaa ni mdanganyifu na muongo number 1 TZ. Kwa kweli personally sijawahi kumsikia akitoa ushauri wa maana zaidi ya upotoshaji. Corona ilipokuja akawadanganya watu wake kuwa haitakuja Tanzania ni itaishia kwenye ndege. Baadaye ilipokuja akadai kuwa haiogopi na atawaponya wagonjwa ... hatukumuona akifanya hivyo zaidi ya kujifukiza .... Huyu Rashid ni Chizi na Tapeli wa kukemewa kama Mapepo mengine. Atakuwa anatumiwa na shetani huyo!!

Kwanza kwa kuonyesha tu kuwa hajui anachoongea .... anadai eti wamueleze chamical content za hizo chanjo. Yaani huyu bwana hajui kuwa vaccine ni biological materials na siyo chemicals. Vaccine siyo dawa kama panadal au Chloroquine. Sasa sijui hizo chemical composition za vaccine anafikiri ni zipi?

Angekuwa na akili au busara ya kawaida, kwa cheo chake cha Kibunge na Uaskofu uchwara alitakiwa awe na reservation kwenye kauli anazotoa.
 
Gwajima mwongo. Watu tumeuza viwanja na nyumba kwaajili ya safari ya kuhamia Birmiggam Marekani hadi sasa kimya
 
Back
Top Bottom