Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

maneno yako pasco kama yananiingia akilini vile,sasa mimi sijui nina nguvu gani?
mimi nina tabia frani ya kuwaza kitu na kikatokea kweli na ingine tunaweza tukawa watu wengi tunajadili kitu frani watu watu wote wataongea lakini wataonekana wameongea utumbo lakini nikiongea mm ata liwe la ovyo wote wataniunga mkono.hizi ni nguzu za aina gani?
 
maneno yako pasco kama yananiingia akilini vile,sasa mimi sijui nina nguvu gani?
mimi nina tabia frani ya kuwaza kitu na kikatokea kweli na ingine tunaweza tukawa watu wengi tunajadili kitu frani watu watu wote wataongea lakini wataonekana wameongea utumbo lakini nikiongea mm ata liwe la ovyo wote wataniunga mkono.hizi ni nguzu za aina gani?
Mkuu Timu Bamia, asante. You have "the powers to make things happen!". Wewe bila kujijua, sio kuwa unawaza kitu kinatokea, bali ni wewe ndio unaefanya hicho kitu kitokee!.

Sasa usisubiri tena hadi uweze kitu kitokee, bali sasa jitambue its you, unachotaka chochote utapata, just be positive and do efforts!. Sio ukae kwenye kiti na kuwaza "nataka gunia la pesa", nataka Vogue!, no!, just wish, nataka kupata pesa za kutosho kununua vogue!, thinks of any money making activities, everything you touch, will turn to gold!, peas itamiminika vogue itaingia barabarani!.

Hilo la kuongea pia ni vivyo hivyo, inaitwa "high convincing power!", its powers ya kukufanya u draw attention, ukiamua kuingia kwenye siasa, kura utazikomba kama umeokota!.

Thanks.

Pasco.
 
Rakims Ukiota kama nyoka ananiaogelea ile anataka kuning'ata mkoni nikastuka..nikaamka ni nn maana ya ndoa

Hiyo Ndoto Inawahusu Sana Wenye Power Ya Mediumship... Wao Wakiota Nyoka Lazima Awaume Hiyo Kwao Huwa Ni Spirits Guide Yani Zile Spirits Anazowasiliana Nazo Zinakuwa Zinamuonyesha Kumpa Ulinzi...

#Rakims
 
Last edited by a moderator:
mkuu mimi nikitaka kusoma hii husoma hivi.. Badala ya
"Ic Beh? F? Es i? Oht? T cierr on/? Cyrf, gesc? Adnes hit n? Hand mec l? Gel? Oht sw? C?? Hit b? On!"
"ik beehf? Bes i? Lot siar on? Crayrif, giski? Adnis hit ni hendemic!? Gil, oht sw? C?? Hit be oni" hii Mimi Hufanya Baada Ya Kusimamisha Mawazo Katika Kuwasha Ile Taa Na Kuona Inawaka Kabla Haijawaka Na Inapowaka hata nisiposema au kukosea inawaka kwa sababu sitegemei maneno, nategemea my power from within Sishtuki Maana Nina Powerful Precognition-uwezo wa kuona tukio kamili kwa dakika 4-15 lijalo... Namshkuru mungu kwa kunipa hii psycal power, imenisaidia Sana Kuepuka Watu Wanaonifuata Kwa Shari...
Ic -ick
Es -bes
T? -et
Cierr -cierr
Mec - mek
Oht -lot
Sw? -swar
#Rakims
 
Pasco sijui hata ni kwa nini sikuona hapa.

Mi natamani kufanya miujiza niombee watu wapone, nikemwe mapepo yakimbie. Hiki kipawa najua ninacho ila kinakosa palizi au rutuba.

Nisaidie hapa. Mwisho wake nataka niwe na kundi langu..........

Sasa hicho kiingilish sikijui uniwekee kwa kilugha hiki.

Kwanza nakushauri Uokoke, kuwa na mahusiano karibu na Mungu. Unapokuwa karib na Mungu atakufundisha Mengi sana. Hiyo Miujiza unayotaka haitaweza kukusaidia ww kufika Mbinguni, Muujiza wa kwanza kwa Mwanadamu ni kushinda dhambi, hata Yesu alisema wengi watasema walifanya Ishara na miujiza mingi kwa Jina langu ila natawakataa siku ya mwisho, miujiza unayotafuta haina nafasi ya ww kukufikisha Mbinguni isipokuwa ni Muujiza wa ww kushinda dhambi. Hilo kundi unalotaka kuwa nalo halitakuwa tena kundi ila ni mzigo, kufanya kazi ya Mungu pasipo Roho Mtakatifu ni bure na yeye ndie anaetoa hiyo Huduma ya Uchungaji, Utume n.k. Mungu akupe Ufahamu.
 
Last edited by a moderator:
Heee haya ya kuokoka yamekujaje hapa;
Hayo ni ya rohoni na kila mtu ataubeba mzigo wake siku hiyo ikifika.
Kwanza nakushauri Uokoke, kuwa na mahusiano karibu na Mungu. Unapokuwa karib na Mungu atakufundisha Mengi sana. Hiyo Miujiza unayotaka haitaweza kukusaidia ww kufika Mbinguni, Muujiza wa kwanza kwa Mwanadamu ni kushinda dhambi, hata Yesu alisema wengi watasema walifanya Ishara na miujiza mingi kwa Jina langu ila natawakataa siku ya mwisho, miujiza unayotafuta haina nafasi ya ww kukufikisha Mbinguni isipokuwa ni Muujiza wa ww kushinda dhambi. Hilo kundi unalotaka kuwa nalo halitakuwa tena kundi ila ni mzigo, kufanya kazi ya Mungu pasipo Roho Mtakatifu ni bure na yeye ndie anaetoa hiyo Huduma ya Uchungaji, Utume n.k. Mungu akupe Ufahamu.
 
Kuna Power Mbili Za Ziada Ambazo Watu Baadhi Wanazo I'm One Of Them...

Other Two Types Of Powers:

1: Confessor: Brain Comander Is The Ability Of Confess Someone To Tell You Everything That He/She Hide It For Everyone But h/hSelf And Do Everything For You...

2: Po Hu: Physic Power Breaker
This Is The Ability To Stop All Others Psychic Powers To Work Infront Of Po Hu Or Someone Who Has Po Hu.. You Can't Hurt Po Hu By Any Psychic Power.. Once You Concertrate Infront Of Po Hu Or Nearby Po Hu You Cant Even Meditate...

#Rakims
 
Kuna Power Mbili Za Ziada Ambazo Watu Baadhi Wanazo I'm One Of Them...

Other Two Types Of Powers:

1: Confessor: Brain Comander Is The Ability Of Confess Someone To Tell You Everything That He/She Hide It For Everyone But h/hSelf And Do Everything For You...

2: Po Hu: Physic Power Breaker
This Is The Ability To Stop All Others Psychic Powers To Work Infront Of Po Hu Or Someone Who Has Po Hu.. You Can't Hurt Po Hu By Any Psychic Power.. Once You Concertrate Infront Of Po Hu Or Nearby Po Hu You Cant Even Meditate...

#Rakims

Mkuu RAKms humu jamvn wengne shule kdogo zinasumbua pls tufafanulie mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wakuu zangu naombeni msaada wa maelezo kuhusu maswala haya:TOKA 2003 mpaka leo hii huwa naota ndoto kuu nne..1-nacheza mpira nimeota si chini ya mara 50..2-nasafiri kwa kupaa angani nimeota si chini ya mara 50..3-napigana na majini ama watu wa kawaida hata wakiwa mia nawashinda mara nyingine huwa nawakimbia kwa kupaa hawanikamati au mara nyingine najigeuza vampire mwene makucha nawapiga nimeota si chini ya mara 30..4-niko shule darasani nasoma ama nimetoka shule au watu wananena lugha tofauti tofauti ngeni lakin zote najua wanachoongea nimeota si chini mara 40 TAFADHARINI KWA WENE UJUZI NA MAMBO HAYA NAOMBA MAANA ZAKE mana zinaninyima raha maisha haya..#pasco kaka..#rakims kaka na wenineo.
 
Back
Top Bottom