Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Pasco sijui hata ni kwa nini sikuona hapa.

Mi natamani kufanya miujiza niombee watu wapone, nikemwe mapepo yakimbie. Hiki kipawa najua ninacho ila kinakosa palizi au rutuba.

Nisaidie hapa. Mwisho wake nataka niwe na kundi langu..........

Sasa hicho kiingilish sikijui uniwekee kwa kilugha hiki.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu MAZOKO Katika jukwaa hili kuna kila aina ya watu,pia kila mmoja anauelewa wake,na tayari ushaelezwa wezako wapo jukwaa la Dini,Sa wewe huku unafanya nini.....?? Hupaswi kuwa ktk jukwaa hili,Kwan kwa IMAN yako Husadiki yafundishwao hapa,ya nini kutuvulugia Sisi tunaosadiki......??? Nenda jukwaa linalokufaa na hili tuachie wenyewe.....naamini umeelewa,naomba usitukwaze Sisi wanafunzi na waalimu wetu.....OKEY BYE....!!
 
Ahsante, mkuu ... Tatizo linalonikabili, mawazo yanazidi sana wakati niki-meditate, mpaka nashindwa kutulia. Jingine, kuna jamaa yangu alikuja kazini kwangu, katika mazungumzo yetu mimi na yeye, nikamgusia aina ya project ambayo natarajia kufanya, ile habari ikamvutia na yeye akasema ataifanya pindi mwezi huu ukiisha. Kwa kweli lazima nikiri kuwa sikupendezwa na ile hali ya kuibiwa idea yangu, nikabaki kujilaumu mwenyewe. Lakini la ajabu sasa, usiku nilipolala, akanijia mtu ndotoni, akaniambia unataka kuzuia jamaa yako asiifanye ile project ? Nikamjibu ndio, akaniambia chukua kipande cha kamba ya aina yoyote, nuia unachotaka kiwe, yaani nuia kwamba jamaa asiifanye ile project, kisha ifunge kitanzi uiweke sehemu, hatofanikiwa na hiyo project mpaka utakapoifungua hiyo kamba ..!! Kisha nikastuka usingizini ..!!! Je, na hii nayo ni kitu gani, mkuu ??

una Mediumship.. Unauwezo Wa Kuzungumza Na Spirits Lakini Hii Ya Kumfunga Mtu Sio Nzuri Ndio Chanzo Cha Hizo Spirits Kuanza Kukuposses.. Usimfunge Jamaa Ni Uovu.. Muache Aifanye Na Wewe Ifanye Matokeo Utaona Nani Zaidi Mkuu.. Usisikilize Sana Hizo Spirits Sometimes Hazina Heri Zitaanza Kukufunza Mambo Makubwa Mabaya Usiziache Zikuongoze Ziongoze Wewe...

#Rakims
 
Nyie Wafukuza Mapepo Mnaonifata P.m Kaeni Pembeni Uzi Wangu Mkinifata Mnanichokoza...

#Rakims
 
una Mediumship.. Unauwezo Wa Kuzungumza Na Spirits Lakini Hii Ya Kumfunga Mtu Sio Nzuri Ndio Chanzo Cha Hizo Spirits Kuanza Kukuposses.. Usimfunge Jamaa Ni Uovu.. Muache Aifanye Na Wewe Ifanye Matokeo Utaona Nani Zaidi Mkuu.. Usisikilize Sana Hizo Spirits Sometimes Hazina Heri Zitaanza Kukufunza Mambo Makubwa Mabaya Usiziache Zikuongoze Ziongoze Wewe...

#Rakims



Nimekupata, mkuu .. Thanx. Pia nimeona unasema darasa linaendelea kwenye uzi wako, ni upi huo ?? Sijaelewa.
 
Hili darasa lilinipatje bila kujua aisee. Nashtukia leo kama kulikuwa na darasa murua.
 
third eyes hzo mkuu
 

Attachments

  • 1408179680612.jpg
    1408179680612.jpg
    4.5 KB · Views: 511
  • 1408179703057.jpg
    1408179703057.jpg
    5.7 KB · Views: 505
  • 1408179726129.jpg
    1408179726129.jpg
    7.5 KB · Views: 498
  • 1408179759049.jpg
    1408179759049.jpg
    5.3 KB · Views: 503
  • 1408179777670.jpg
    1408179777670.jpg
    8.3 KB · Views: 508
Back
Top Bottom