hahhahahaha............. ni shiida aisee!"
nilikuaga Mkuu wa chama cha madomozege kabla sijahamia CHAPUTA na kuwa katibu mkuu enzi hizo nasoma miaka ya 60 ........... hhahhahaha
Grand PA
Wewe mwanamke tutake radhi watu wa tabora boys,ulikuja kufanya nini kwenye choo cha wanaume?
haaaaaaaaaa kwahiyo unauzoefu wa kutosha...
tehetehe..
Ushaoa?
Hahaaaaa nmecheka jaman
Mkuu jaribu kubadilisha vyakula acha kula machips kula dona ,piga zoezi sawa mkuu
Ilo tatizo nilikuwa nalo ila tiba yake punguza mawaz kipindi cha sex weka malengo yako sehemu moja