Punyeto ni nini na nini madhara yake?
hahhahahaha............. ni shiida aisee!"



nilikuaga Mkuu wa chama cha madomozege kabla sijahamia CHAPUTA na kuwa katibu mkuu enzi hizo nasoma miaka ya 60 ........... hhahhahaha

Grand PA

haaaaaaaaaa kwahiyo unauzoefu wa kutosha...
tehetehe..
 
Mi Nazan Kama Unapiga Mara Kwa Mara Inakua Ina Madhara Xana. Ila Kama Unapiga Mara Moja Kwa Mwezi Mzima Au Zaid Madhara Hutoyapata. Tena Kama Ni Unalo Govi Dakika Mbili 2 Wazungu Hao..
 
nilivyoona topic ni punyeto nikaenda bafuni nika kung'uta kamoja ndio nimerudi sasa kusoma body
 
Unauzoefu sana na kuvua vyupi isije kuwa papara na hisia zako kaliiiii
 
Ilo tatizo nilikuwa nalo ila tiba yake punguza mawaz kipindi cha sex weka malengo yako sehemu moja
 
Mkuu jaribu kubadilisha vyakula acha kula machips kula dona ,piga zoezi sawa mkuu
 
Sasa we si unafanya mapenzi ili u piz, tatizo liko wapi sasa?
 
Binadamu tunafanya sex kwa malengo mbalimbal leasure na reproduction yote huitimishwa kwa kufikia mshindo/kilele kwa kumwaga iwe haraka au kwa muda mfupi, kinachohitajika ni maandalizi,utiyar na uchaguzi wa wafanyao kama mnapiga cha faster au mnaenda mbio ndefu,kama unaenjoy hakikisha unamrizisha mwenzio pia hata kwa romance akikolea unachomeka ndani ya muda huo unaosemea mfupi wote mnafikia kilele,usipende mbio ndefu wakat umejiandaa kwa fupi,waweza kufa mkuu
 
Mwezi uliopita nilitoa dawa ya mtu aliyeathirika na punyeto,nilivyokuwa natoa maelekezo ya dawa kuna watu walikuwa hawasikilizi wala nini mtu anakurupuka anaenda kuchukua mbegu nzima nzima za fil fil abyadh anatumbukiza ndani ya asali halafu anaanza kupaka badala ya kuzitwanga ilikupata unga wake ndipo achanganye na asali na kibiriti upele yeye anaweka mbegu nzima nzima bila kutwanga,plz usifanye hvyo twanga kwanza.kwa hili lingine naomba mnisamehe kdogo,ukichanganya zile dawa zote kwenye asali zile particles za dawa zinaenda kusettle chini kbs,unachotakiwa kufanya fanya juu chini wakati wa kuchua nilazima zile dawa ziwepo katika uume....usipake asali tupu.Au unaweza ukaweka dawa ya katika kikopo cha mafuta ya baby care kusudi wakati wa zoezi iwe rahisi cz asali itakuwa imejichanganya vzr zaidi kuliko kuweka katika chupa ambayo dawa itakuwa iko chini kbs ko inakuwa vgumu kuipata.
NB:{1}Baada ya kuchua polepole akikisha unaosha na maji ya uvuguvugu.
{2}NI Lazima asali ichanganyike vizuri na dawa ndipo uanze zoezi.
SHUKURANI
 
asante ndg lakn haya majina ya hayo matunda n magen kwangu hayana majina mengne.
 
Shida Na Tatizo Linaambatana Na Dalili Hizi...
-High Nerve Pain Hasa Mgongo ,Kifua Na Kiuno
-Kukosa Hamu Ya Sex
-Mwili Na Viungo Vyote Kukosa Nguvu
- Maumivu Ya Ubongo Hii Upelekea Ubongo Kuchoka Na Kusahau Haraka Sana
-Usingizi Mara Kwa Mara
-Macho Kukosa Uwezo Wa Kuona

Wakuu Msaada Kwani Utendaji Wa Kazi Na Shughuri Za Maendeleo Kwa Ujumla Zimesimama
 
Dawa ni wewe mwenyewe. Pumzika na hamisha mawazo yako yote katika hayo mambo. Ikibidi tafuta Bibilia au Kurani uwe uansali kila siku jioni kabla ya kulala.
 
Dawa ni kuacha/kupunguza kujihusisha na vitu vinavyopelekea wewe kuingia ktk hali hyo kama vile kuangalia filamu za ngono,dirty music videos etc,acha kabisa hyo kitu mkuu,utapungukiwa nguvu za kiume na mwishowe utagongewa shemeji yetu na kuhatarisha mahusiano yako na mpenzio,si unajua mkuu siku hc vijana wanasema 'mjini msingi viuno',sa we legalega ktk suala hilo uione dunia inakuonea
 
Back
Top Bottom