Kashindwa kusema Mama Salma anaonewa.Ushamsikia huyo akiponda matumizi mabaya ya serikali?Hayo mambo ya kina Dr Gharib Bilal na ndege ya serikali sijui wapi na wapi!!!Na sijui kosa la Mbowe kumiliki Tanzania Daima ni lipi.Nadhani Tafiti Then Jadili angependa tubakiwe na magazeti manne tu:Uhuru na Daily News,na weekend kuwe na Mzalendo na Sunday News.
Ni mpuuzi pekee anaeweza kuafikiana na upumbavu wa Mkapa kwamba waliokuwa wanapinga ununuzi wa ndege walikuwa na wivu.May be Claire Short nae alikuwa na wivu alipokuwa anajaribu kuweka pingamizi kwenye ununuzi wa ndege hiyo, haiyumkiniki kwa masikini wa kutupwa kama sie ambao tuna priorities nyingine luluki kukimbilia kununua vitu vya kifahari huku wananchi wakiwa hohe hahe.Blair anatumia helikopta na ndege za Royal Marines na sometimes anatumia BA,sie watu wa matanuzi tunajifanya tunazo huku tunategemea wafadhili.
http://www.telegraph.co.uk/news/graphics/2006/08/03/nblair03.jpg