sio sababu

kumbe...
sauna13:43 Today watch this my dear brother.... Watch "PORN - The Destruction Of Humanity ᴴᴰ - Powerful …" on YouTube - PORN - The Destruction Of Humanity ᴴᴰ - Powerful …: http://youtu.be /_guG0YnZO1A
 
Duh...unadhoofisha afya yako ndg yangu ....acha kabisa....utapatwa na tatizo liitwalo "ghynomic"...ambalo litasababisha ushindwe kutoa sperms zenye nguvu ya kurutubisha yai....hivyo hutopata mtoto....
 
Masterbution is not good. It will affect you
 

Nazungumzia OverMasturbatiOn Ndugu
Ni Hatari Sana!
 

Ambao wapo na gym inakuaje??binafsi nafanya mazoez ya kukimbia,na push up hamsini kila jioni.nahic nipo fiti sana
 
Hili tatizo linaathiri sana vijana,na sio kama hawana uwezo wa kutongoza!mademu wanao ila sijajua tabu ni nin.nadhani chanzo ni kuwa jobless,kutofanya mazoez.athari zake ni kubwa pia,nilisha experience hizo effects bt zilikuwa katika hatua ya mwanzo kabisa.from tha day nilipoona hizo effects,i hate that thing kutoka moyoni.ni heri niende ambiance
 
Dah, mkuu unajichua mara 30 na ngapi kwa siku? Pole lakini😡😡😡😭😭😭
 
Hivi kuna vifungu katika maandiko matakatifu yanayokataza kupiga punyeto..!! Basi hizo phrase zitakuwa zimejificha kidogo. Ila phrases zinazokataza kuzini, kutamani mademu, ufisadi,wizi, uuaji, ufiraji,ulevi, n.k. zipo wazi sana.

Punyeto na ngono ni ile ile tu kitu kimoja.
Anaepiga puchu ameabudu sanamu ila mwingine amefanya tendo na mtu anayeonekana.
Nimekujibu kwa kibriefcase kwa sasa
 
Ni PM nikuelekeza tiba ya kudumu na haraka ya hizo side effect hapo juu.
 
kupiga puchu kunapunguza uwezekano wa kuvimba prostate gland uzeeni, mkuu endelea kujirushia mbegu kwa amani
 

Attachments

  • 1410641197859.jpg
    110.8 KB · Views: 350
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…