sauna
New Member
- Jul 16, 2014
- 2
- 1
watch this my dear brother.... Watch "PORN - The Destruction Of Humanity ᴴᴰ - Powerful
" on YouTube - PORN - The Destruction Of Humanity ᴴᴰ - Powerful
: http://youtu.be/_guG0YnZO1A
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuu na asante kwa kuniunga mkono!!!!!
sio sababu
Hii michezo nliacha siku nyingi in my teenage years. Ila navyojua mimi hii kitu haina madhara if you do it tha right way ku avoid damage ya nerves zako.
Secondly unachokitoa mwilini hakikisha unakirudisha (i.e good diet, lots of water and lots of vegetables & fruits). Kama unafanya sana alaf unakuja shindia dagaa inakua shida kidogo. Same applies to sex.
Kashindwa kusema Mama Salma anaonewa.Ushamsikia huyo akiponda matumizi mabaya ya serikali?Hayo mambo ya kina Dr Gharib Bilal na ndege ya serikali sijui wapi na wapi!!!Na sijui kosa la Mbowe kumiliki Tanzania Daima ni lipi.Nadhani Tafiti Then Jadili angependa tubakiwe na magazeti manne tu:Uhuru na Daily News,na weekend kuwe na Mzalendo na Sunday News.
Ni mpuuzi pekee anaeweza kuafikiana na upumbavu wa Mkapa kwamba waliokuwa wanapinga ununuzi wa ndege walikuwa na wivu.May be Claire Short nae alikuwa na wivu alipokuwa anajaribu kuweka pingamizi kwenye ununuzi wa ndege hiyo, haiyumkiniki kwa masikini wa kutupwa kama sie ambao tuna priorities nyingine luluki kukimbilia kununua vitu vya kifahari huku wananchi wakiwa hohe hahe.Blair anatumia helikopta na ndege za Royal Marines na sometimes anatumia BA,sie watu wa matanuzi tunajifanya tunazo huku tunategemea wafadhili.
http://www.telegraph.co.uk/news/graphics/2006/08/03/nblair03.jpg
Ambao wapo na gym inakuaje??binafsi nafanya mazoez ya kukimbia,na push up hamsini kila jioni.nahic nipo fiti sana
Fanya YOGA
Dah, mkuu unajichua mara 30 na ngapi kwa siku? Pole lakinií-½í¸¡í-½í¸¡í-½í¸¡í-½í¸-í-½í¸-í-½í¸-
Hivi kuna vifungu katika maandiko matakatifu yanayokataza kupiga punyeto..!! Basi hizo phrase zitakuwa zimejificha kidogo. Ila phrases zinazokataza kuzini, kutamani mademu, ufisadi,wizi, uuaji, ufiraji,ulevi, n.k. zipo wazi sana.
Mi Natoa Elimu Hapa
Kwa Walioathirika Kwa OVER MASTRBATE