Google mdalasini na asali...
pia tumia yai mbichi saba za kienyeji, gonga koroga changanya na habbatsoda kijiko kimoja kunywa mara mbili au tatu kwa wiki hadi upone angalau kwa mwezi mmoja au miwili
 
Sawa nimekuelewa kwahiyo wewe unahisi tatizo ni nn?? Unaweza kutoa mchango wako labda ukasaidia

Tatizo kwa kulingana na maelezo yako ni la kisaikolojia zaidi.

Dawa hapo ni kuacha na kuwa na subira tu.

With the passage of time na kwa vile bado umri wake ni mdogo [relatively speaking], basi sina shaka kuwa anaweza kurudia hali yake ya kawaida.

Lakini in the meantime, si vibaya kujaribu ED medicince kama Levitra, Viagra, na Cialis ili kuona ana perform kwa namna gani akitumia hizo nyenzo.

Na wewe kama unampenda kweli na una nia ya dhati ya kumsaidia, basi pia kuwa na subira na usionyeshe kukata tamaa. Kumkubali kwako nadhani kutaweza kumsaidia na kujenga upya imani yake kwake mwenyewe.
 
Huo mchezo ukizidi sana huwa unaathiri sehemu ya ubongo,kuharibu nervs na misuli ya uume.ingekua ni madhara ya kisaikolojia zaidi,ni rahisi kupunguza tatizo,ila kama ni parts flani zimeathirika physically ni ngumu kulimaliza kabisa.

Mm pia ni muhanga wa hyo kitu, yaan maelezo yaliyotolewa hapo juu kuhusu jamaa na mm yanaendana kabisaaaaa. Ila kwa ulichokiandika nimeanza kukata tamaa ya kupona
 

Safi sana mkuu.
Mm pia ni muhanga.. kwa hii njia yako nitaanza kuitumia kuanzia kesho. Maana nimefatilia sana haya maswala ya kurudisha nguvu lkn nimeanza kukata tamaa. ila kwa ushauri wako nahisi nitapona fasta
 
Elimu ni muhimu
 
Pole ingawa umeeleza tatizo moja, lakini nimegundua wewe unatatizo jingine la lugha. Kiswahili na Kiinglish ulichoandika ni shida.
 
Labda mngebadili timetable yenu na mjaribu kudandiana wakati wa asubuhi, muangalie itakuwaje.
 
Trap-Queen that can't trap a 'little guy'? Pardon my manners, but what do you trap mi-lady?
 

hapo umempa general definition ya yeye kujitambua nini maana ya mapenzi. sasa akishajitambua ndio atakuwa na uwezo mzuri wa kumsaidia mwenzi wake. ila kama wadau wengine wanavyosema hili jambo ni mind set tu. linatokea wengi na wengi huwa wanaweza ku overcome na kusahau yote. naamini huyo jamaa ana kitu fulani kipo kichwani mwake anashindwa namna ya kukitoa.. hiyo hali ndio inamsababishia psychological problems na kushindwa ku achieve full errection. watu kama hawa kama hana matatizo ya impotency huwa wakiwa usingizini huwa wanapata full errection coz akili inakuwa imetulia. au akiwa alone anapata full errection coz anakuwa hana wa kumuhofia.. au akiona demu mpya anapata full errection ghafla kwasababu anakuwa amemtamani. ndio maana nasema haya mambo ni mind set. ukikosea step ukajikuta umemsema vibaya kwa hiyo hali utakuwa umemmaliza kabisa..

afanye mazoezi na kula vizuri ili ajenge akili yake kuwa hiyo errection imesababishwa na mazoezi au vyakula vizuri anavyokula.. (aphrodisiac foods)
 
Unaonekana unaogopa mitishamba katika vitu vinavoweza kumrejesha basi ni hilo la mitishamba na baadhi ya matunda,asali mbichi,mayai sjui huwa wanachanganya na nn wenyewe but awaone wahusika kibaya ya dawa za kiswahili ukiwa huoni kinachochanganywa nn ajitajidi kuona vinavochanganywa kwa vitu asilia au apewe list atengeneze mwenyewe atakuwa poaa tuu
 
Pole sana, ila mshauri awe anakula vyakula vya asili.

Hili pia liwe fundisho kwa wanaume wengine wanaopiga nyeto. Nyeto si nzuri kwa afya. Fanyeni mazoezi na msifikirie ngono.
 
Pole sana, umepata ushauri mwingi na mzuri, ila uvumilivu wako na kumpa confidence kutamsaidia kumuondoa kwenye hilo tatizo lake kirahisi zaidi..Hongera ur strong woman wengine wanakimbiaga
 
Masturbation cannot reach to that extent. He's hiding something. The moment you stop masturbating for one month, everything comes back to normal. Try to undress infront of him then see what happens. If he doesn't react, try to give him some alcohol. If again nothing happens, kuna mzizi flani ivi maasai wanauza. Trust me you will mourn to your loudest voice.
 
Mtafutie na karoti ili uwe unastua kwa nyuma usikute huyo boy wako tayali wanampumulia kwa kisogo
Jaribu uone ana react vipi? just do it as a puprise to him akimaind mpoze kwa lugha laini
Vnginevyo nakwambia huyo mboy wako si liziki..!!
Sio lazima ku-comment.Ungeweza kukaa kimya tu kuliko kuandika utumbo wako hapa.Staarabika hata kidogo
 
Pole mamiii kwa matatizo ya shemejii bt usikate tamaa,jaribuni kutembelea hizi herbal clinick hakika Mungu atawasaidia
 
USIPATE SHIDA MKUU:
kama hayo uliyoshauriwa hayajafanya kazi...
Option 1: Aende tu Arusha eneo la Ngaramtoni,Simanjiro n.k kuna Wamasai wanauza mizizi flan unachanganya kwenye chai ya rangi,watakupa na mafuta ya ng'ombe(samli) mpe atumie siku 3 tu halafu utatuletea majibu hapa.

2nd option: Afanye mazoezi haswa na atoke jasho at least mara 3 kwa wiki,kisha katika mlo wake awe anajumuisha Kitunguu swaumu + tangawizi mbichi pamoja na vijiko viwili vya asali mbichi pia kila siku asubuhi kabla ya chai. Maji mengi pia yatamsaidia.

Pia Ajiamini kuwa anaweza kukuridhisha.

NAAMINI ATAKUWA ZAIDI YA ZAMANI. MBARIKIWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…