Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Ni hivi km we we unapenda sana ngono huyo jamaa hakufai, this is due to the fact that jamaa ameshaasirika kuanzia kifikra hadi kimwili hawez pata nafuu ya moja kwa moja so km unampenda jamaa just refresh with him and you will entertain a little and you must agree his situation
 
mara anakutana na hili liuzi humu, yani ndo mazima haitasimama tena!!!
btw... ka unaamini katika kristo, fanya maombi... hakuna lisilowezekana yeye ndo kamuumba na ndo anajua aluvyo

Maombi muhimu lakini hapa kumbuka wanapiga mechi ya mchangani kabla ya ndoa sijui kama maombi in combination na uzinzi yanaweza yakafaa, nadhani hapa ni kumpa ushauri kulingana na hali halisi ya kibinadamu
 
Asikudanganye huyo, masturbation inapigwa na kila dume halali la dunia hii! na bado raia wanasimamisha jogoo kama kawaida! Hilo ni tatizo lakini halitokani na hicho alichokuambia! Aende apate matibabu kama kawaida na sio kwenda na sababu ya musterbation, kwa sababu a wrong problem identification brings wrong hypothesis and wrong treatment procedures!
Ukweli kuhusu masterbation ni kwamba, Muscles za Uume hukomaa na kuota sugu kutokama na nguvu ya msuguo wa mkono inayotumika, wakati huo huo ngozi ya uke huwa laini sana kuliko ngozi ya mkono, hivyo inakuwa ngumu kwa uume uliokomazwa na masterbation kupata sensation feelings kwenye uke, hivyo hupelekea late ejaculation na mwanaume hupoteza mwamko wa kimapenzi utokanao na mguso wa uke. Lakini kusimama kwa mzakali kuko pale pale!
 
Ninavyojua mimi hapo hakuna tatizo zaidi ya saikolojia ya huyo mpnz wako, wengi wamejichua nikiwemo mimi pia lakini tatizo kama hilo sijawahi kulipata hata siku moja, sasa kumsaidia fanya hivi:

  1. Msifie kila mnapomaliza tendo la ndoa
  2. Jifanye umeridhika kabisa kila unapokutana nae kimwili
  3. Muaminishe kwamba hautamuacha kamwe
  4. STOP kabisa kuongelea hilo tatizo lake
  5. Mshawishi aamini kwamba tatizo lake limeisha tayari
  6. Lastly play your part kumsisimua na ku control game, usisubiri hadi jogoo awike sana ndo uendele
 
Mimi nilishawah kua muanga wa nyeto tangu primary o level high schooladi chuo nakumbuka kuna mzee aliniambia amua utaacha lakini Fanya sana mazoez Acha picha za ngono kula vitu vya asli mfano mboga mboga maziwa achana na mikaango kama ukidumu kwa mda wa miez mitatu jitahid ifike mitano ikibidi mwaka nilifanya hivyo kwa kua nia ilikua kuacha ili jogoo wangu awike kama kawaida Mungu mkubwa nilianza pata nafuu na kikubwa kilichonitesa ni kushindwa kumfikisha demu wangu kwa one against one labda mpaka nimmassage sana kwa namna flani mpaka afike ilinitesa lakini I thanks EPL ilinitoa mawazo sana na nilifanya mazoez kama nataka kushiriki mashindano ya kimataifa yani jioni ilikua lazima jogging believe me nilianza kusimamisha taratibu mpaka ikafikia wakati kama imechomelewa na nikawa nakung'uta mashuti nikiamka namuona mtoto anatabasamu basi naona dawa nikuzidisha mazoez mpaka sasa i.ekua kama sehemu ya utamaduni wangu Nb; usiache kula vitu asilia. kiukweli gharama ya kucure madhara ya nyeto ni kubwa please mwambie dawa ni mazoez siyo na kikomo na kula vitu aslia asiruhusu mawazo at oll utampenda huyo NISIKILIZE MIMI NILISHAWAHI TAABIKA kama huyo jamaa yani ulivyoweka hii thread umenikumbusha mbali sana.
Well said bro!!ubarikiwe!!!
 
Mm pia ni muhanga wa hyo kitu, yaan maelezo yaliyotolewa hapo juu kuhusu jamaa na mm yanaendana kabisaaaaa. Ila kwa ulichokiandika nimeanza kukata tamaa ya kupona

Acha huo mchezo jitahid kwa miez ikibidi mwaka piga zoez unstoppable mfano jogging utakua polepole unaanza ona matokea ya kufurahisha zingatia kula vizuri hasa vyakula vya asilia zingatia Acha kutazama picha za ngono
 
Nilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24) ni kijana mtanashati mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha

Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la erectile dysfunction(jogoo hawiki) yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak nikamuuliza nini tatizo hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically. Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani so i understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just bcz of the pressure ya kupona haraka

Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.

Na pia tatizo jingine ni kuwa ame loose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake kwahiyo muda wote he questions my true feelings jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.

Sasa wadau swali langu ni je hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida??na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??

(This is serious question) thanks in advance

PM me la.a una muda
 
Nilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24) ni kijana mtanashati mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha

Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la erectile dysfunction(jogoo hawiki) yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak nikamuuliza nini tatizo hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically. Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani so i understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just bcz of the pressure ya kupona haraka

Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.

Na pia tatizo jingine ni kuwa ame loose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake kwahiyo muda wote he questions my true feelings jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.

Sasa wadau swali langu ni je hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida??na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??

(This is serious question) thanks in advance

Pole sana.. inaonekana u.a mapenzi ya dahat kwa huyo jamaa ako.
mimi.naomba nikushauri yafuatayo.
mwambie atafute unga wa mdalansini..achanganye na vijiko vikubwa viwili vya asali kwenye maji ya moto.

Awe anatumia kila siku asubuh anapoamaka kabala hajala chochote. Itamsaidia kumrudisha katika hali ya kawaida.

Pili mshauri aache kutumia vyakula vya kisasa kama chips.mayai ya kisasa ,soseji na vitu vya nana hiyo.


Badala ale atumie vyakula vya asili kama ugali wa dona mhogo.mtama.
Ale samaki saana badala ya nyama.

Tatu mshauri afanye saana mazoezi ya viungo .mazoezi ni muhimu saana .

na kama anakunywa pombe saana mwambie apunguze anywe kiasi.


Na mwisho mwambie atumie saana matunda .kama tikiti. Parachichi ,papai , embe ,
Pia mwambie atafune mbegu za papai, atafune na nyanya chungu za kienyeji.




Kama atazingatia hayo.. matokeo yake utaanza kuyaona baada ya miezi miwili mpaka mitatu.

Ili kupata matokeo mazuri lazima anzingatie
 
Aisee, binafsi nimepiga sana puli na hadi sasa mara moja moja mpenzi wangu akiwa mbali najidunga, but haijawahi kunifanya kufikia hatua hiyo. kutakuwa na tatizo jingine tu kwa mtu wako may b tatizo la kisaikolojia, jaribu kwenda naye kwa madaktari wa saikolojia wanaweza kumsaidia!
 
Aisee, binafsi nimepiga sana puli na hadi sasa mara moja moja mpenzi wangu akiwa mbali najidunga, but haijawahi kunifanya kufikia hatua hiyo. kutakuwa na tatizo jingine tu kwa mtu wako may b tatizo la kisaikolojia, jaribu kwenda naye kwa madaktari wa saikolojia wanaweza kumsaidia!

Watu wamepiga puri miaka kumi na mitano pengine Katika hiyo alikisa kuudhuria miezi sita tu
 
Aisee, binafsi nimepiga sana puli na hadi sasa mara moja moja mpenzi wangu akiwa mbali najidunga, but haijawahi kunifanya kufikia hatua hiyo. kutakuwa na tatizo jingine tu kwa mtu wako may b tatizo la kisaikolojia, jaribu kwenda naye kwa madaktari wa saikolojia wanaweza kumsaidia!

Hadi sasahivi?!
Watu na hobby zao
 
Acha huo mchezo jitahid kwa miez ikibidi mwaka piga zoez unstoppable mfano jogging utakua polepole unaanza ona matokea ya kufurahisha zingatia kula vizuri hasa vyakula vya asilia zingatia Acha kutazama picha za ngono

Asante mkuu. Najitahidi kufuata ushauri wako.
Hata wengine nawashauri waache mchezo huu, maana kama haijakutokea hali kama hii huwez jua nn madhara yatakutokea siku za mbele.
 
Akimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
Sasa jaribu hii,unapoona imenywea usimuache,ichukue uanze kuhangaika nayo vyoyote vile utakavyoweza ukifanikiwa hata mara moja kuisimamisha basi akili yake ita ji tune kuwa kumbe yuko fiti ,wewe usiishie hapo mpaka atakapokuwa hana hofu nawewe tena then itaacha hiyo hali tratibu, ila usiwe unamlaumu inapotokea ameshindwa kusimama endelea kumpa moyo.Ukitaka kujua hiyo hali siyo permamnent mwambie afanye masturbation utaona inasimama na anapata bao vizuri tu.
 
Inakera sana kuwa na mwanaume wa hivyo, halafu utakuta wana wivu kweli kweli wakati hakutimizii unachotaka. Mi nilishakuaga na mpenzi wa hivyo yaani tulipendana nae saaana na pia alikuwa best friend sana lakini tukifika kitandani Zzzzzz inaweza usiamini mi siku ya kwanxa kama nilishikwa na butwaa lakini ndo hivyo nilimshauri ilishindikana na baadae nikaachana nae, niliona ni majaribu tu hayo niolewe nae halafu nianze kuwaone wivu wenzangu walioolewa na watu wenye vidudu imara.

Mhhhhh
 
Back
Top Bottom