Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,734
- 1,709
Faida kusema ukweli mzee hakuna kama unaweza acha ila kitu ambacho ni kibaya inasemekana kuwa hupenguza uwezo wa kufikiri na kusahausahau mambo jaribu kuwafuatilia wapiga nyeto utagundua...Habari wakuu,
Nilitaka kujua ni madhara gani mtu anayopata kwa kupiga punyeto kwa muda mrefu? Mfano miaka mitano na kuendelea na nini faida zake kwa tendo hilo?
Haya tumempata mwana Chaputa mpya yeye ameitumikia Chaputa kwa miaka 35 na bado ni mwanachama tumuitaje huyu!Kwanza kabisa nakupa pongezi kwa kuwa mwana CHAPUTA kwa kipindi cha miaka 14....hayo ni mafanikio ambayo kila mwanaCHAPUTA angependa kuyafikia.....nikirudi kwenye tatizo lako...na nikitazama katikati ya mstari naona kuwa tatizo lako ni kisaikolojia zaidi na wala sio halisi...kumekuwa na upotoshaji mwingi kuhusu PUNYETO na madhara yake jambo ambalo sio la kweli...Punyeto ni penzi kama penzi lingine lakini tofauti yake ni kwamba katika mchezo wa punyeto mtu mmoja anacheza nafasi zote....nikiwa na maana kuwa mtu anajihudumia yeye mwenyewe pasi na msaada wa jinsia nyingine kwa kujitengenezea ujinsia mwingine kwa wakati huo anahitaji hiyo huduma...
Kulikuwa na wanachama nguli wa CHAPUTA ambao walikitumikia chama kwa zaidi ya miaka 25 lakini walisataafu kwa heshima na kuingia katika maisha mapya ya kuchovya kibuyu cha asali.....Na katika kustaafu kwao sijawahi kusikia malalamiko kutoka kwao kuhusu utendaji wao wa kazi katika process ya uzalianaji.....tena wakati mwingine huwa wana over dozi mchakato mzima kutokana utendaji kazi wa hali ya juu ya kiungo husika kutokana na kukitumia mara kwa mara.....
Ninachojaribu kukueleza ni kwamba tatizo lako la kushindwa kusimamisha bendera automatically mpaka uji boost halina uhusiano wowote na tendo la upigaji wa punyeto bali linatokana na tukio la ubongo wako kuendelea kuweka kumbukumbu za punyeto hata kama ukiwa na mwanamke....hivyo kupelekea kuwahi kumaliza kama vile upo bafuni wakati upo kitandani na mamaa.....
Kwanza unatakiwa uichukulie papuchi ya mkeo kuwa kama ni kitu cha kawaida....acha papara.....tuliza akili zako.......Zitoe fikra zako katika ulimwengu wa PUNYETO na uziweke katika ulimwengu halisi wa papuchi.......na nakushauri uache mara moja kujiboost..........
CHAPUTA FOR LIFE.........
Hivi huyu ndio yule rubii wa ali kiba au?
hahahahahaaaaa,hili jibu lko limenifanya nicheke sana,maana nahc utakuwa umeimagine kale kambwa kake!Ali kiba ndo mdudu gani?
aah!huyu ni yule aliyeimba "na yule"...mwenye kasauti katamu.Hivi huyu ndio yule rubii wa ali kiba au?
hahahahahaaaaa,hili jibu lko limenifanya nicheke sana,maana nahc utakuwa umeimagine kale kambwa kake!
Not yet
Unasugua hadi ngozi iwe sawasawa na ile ya gotini sio………hatareeee
Use dusherere onlyJe ukitumia vidole navyo vinaharibu uzazi au vinalegeza uke?
Chama cha wapiga punyeto Tanzania CHAPUTAnisaidie kirefu cha chaputa tafadhali
"Punyeto ama Mduro kwako wewe uko kwenye damu kuacha nyeto wewe ni sawa na Kipofu kununua Tochi"Wadau salamu ziwafikie,
Nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto.
Ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo, nifanyeje ili niache tabia hii?