Ahsante sana Mkuu!
 
ahahahaha
daa balaa
 
me nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.
 

Binafsi nimezingatia hizo hatua zako tajwa zote hapo juu lakini bado tu " napunyetika " je tatizo langu labda litakuwa ni nini Mkuu?
 
Teh teh teh teh teh......
 
Hongera kwa kuacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…