CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
upo sawa kabisa.madhara ya hii kitu sio tu kupungukiwa nguvu upande wangu mm haija wahi kunipa shida upande wa nguvu ila ni kuchoka ki akili, alf sa zingine ukiwa unafanya sex na mwanamke kma ni mlevi wa pornography unaanza kuvuta hisia kutoka kwenye hizo pics ulete kwa mtu ulie nae yaan in short ni kitu kibaya sana
mkuu bullar hiyo picha ulioweka kama profile pic inachangia kuchochea haya mavituz...Angalia post no 26
Mkuu watu wengi wanaopiga punyeto na kupoteza nguvu za kiume kosa lao ni kwamba wanatumia sabuni kujichua. Punyeto ambayo haina madhara unatakiwa utoboe godoro kashimo then unakuwa unaingiza hapo dushele, raha sana unakuwa kama una du na mwanamke pia hakutakuwa na deformation ya dushele.mkuu bullar hiyo picha ulioweka kama profile pic inachangia kuchochea haya mavituz...
napata wasiwasi kama kweli unawatakia mema wanachama wa CHAPUTA hapa jf,
kaaaaazi kwelikweli...teh teh teh teh!!!
kazi na dawa! fata maneno yangu usifate vitendo vyangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mkuu bullar hiyo picha ulioweka kama profile pic inachangia kuchochea haya mavituz...
napata wasiwasi kama kweli unawatakia mema wanachama wa CHAPUTA hapa jf,
kaaaaazi kwelikweli...teh teh teh teh!!!
Faida zipo tena nyingi tu. Mojawapo ni kukuepusha na UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa....Hivi hii kitu haina faida hata kidogo?
Tafuta mpenzi kama huna kabisa
Ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.
Punyeto inasaidia kuepukana na magojwa ya zinaaa,
Sasa kipi bora, punyeto au magojwa?
hyo ngumu sana,hata ndugu wa damu akikaa vbaya lazma uangalie kwanza ndo uache kuangalia,yani ukiona partilally,lazma ugeuke uone vzuri halaf ndo ujizuie kurudia mara ya pili,lakini kama mtu mwingine ambaye hata kumgegeda unaweza lazima upige chabo mwaaa mwiii.Pia wanaume nawashauri mkiona sisi wadada tumekaa vizuri na mapaja yapo nje msiangalie maana nayo inawapunguzia hamu ya ku-duu
ExpartMkuu watu wengi wanaopiga punyeto na kupoteza nguvu za kiume kosa lao ni kwamba wanatumia sabuni kujichua. Punyeto ambayo haina madhara unatakiwa utoboe godoro kashimo then unakuwa unaingiza hapo dushele, raha sana unakuwa kama una du na mwanamke pia hakutakuwa na deformation ya dushele.
Hapa Pagumu Aisee!!!! Unaweza Jikuta Miaka 2 umeacha ikisha siku moja tu ukajikuta unajiripua kiroho safi huku ukiwa unajipa matumaini hutofanya tena..
Hiyo ya eti unajisemea utacha kupiga puchu kweli nimeamini haiwezekani ukaacha mm nilishawahi kuandika hivyo lkn nilishindwa kbs, nikaona narudia tena kupiga pullAcha kuangalia video za ponography
Video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako..
Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga
Bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.
Epuka kukaa nyumbani peke yako
Mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.
Fikiria kuhusu madhara yake
Kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo kama uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.
Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho
Siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.
Tafuta mpenzi kama huna kabisa
Ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.
Anza mazoezi na jishughulishe na mambo mengine
Hii itakufanya ue bize na mambo mengine na utumie mda wako mwingi huko, pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala.
Ahahhahaahaa, mkuu umepitia magumu sana, hata mm naweza kaa hata mwez lkn inafika cku najipa matumaini kuwa cjafanya cku nyingime nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.
Ushauri uliotoa hauwezi kusababisha mpiga puli akaacha.Labda umpe sababu za kusababisha kifo ndo anaweza kufikiria kuacha.
me nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.
mficha uchi maladhi humuumbua.
Honestly mi hii kitu bdo inanitesa sana tena sana ingawa nimeanza kujitahidi siku hz ni mara moja kwa wiki tu, but naamini ipo siku itakata kabsa, 3 years now tangu nianze.
AhsanteKama unahitaji msaada kuna website nyingi zinatoa msaada kama Protect Yourself! | K9 Web Protection - Free Internet Filter and Parental Control Software
teh teh teh teh tehAhahhahaahaa, mkuu umepitia magumu sana, hata mm naweza kaa hata mwez lkn inafika cku najipa matumaini kuwa cjafanya cku nyingi
WapoWakinadada nao wanapiga punyeto?
Wadada naomba jibu tuwasaidie
Ni janga kweli kweli.Hili ni janga lipelekwe bungeni lijadiliwe kama hoja ya dharura...