Punyeto ni nini na nini madhara yake?
madhara ya hii kitu sio tu kupungukiwa nguvu upande wangu mm haija wahi kunipa shida upande wa nguvu ila ni kuchoka ki akili, alf sa zingine ukiwa unafanya sex na mwanamke kma ni mlevi wa pornography unaanza kuvuta hisia kutoka kwenye hizo pics ulete kwa mtu ulie nae yaan in short ni kitu kibaya sana
upo sawa kabisa.
 
mkuu bullar hiyo picha ulioweka kama profile pic inachangia kuchochea haya mavituz...
napata wasiwasi kama kweli unawatakia mema wanachama wa CHAPUTA hapa jf,
kaaaaazi kwelikweli...teh teh teh teh!!!
Mkuu watu wengi wanaopiga punyeto na kupoteza nguvu za kiume kosa lao ni kwamba wanatumia sabuni kujichua. Punyeto ambayo haina madhara unatakiwa utoboe godoro kashimo then unakuwa unaingiza hapo dushele, raha sana unakuwa kama una du na mwanamke pia hakutakuwa na deformation ya dushele.
 
Pia wanaume nawashauri mkiona sisi wadada tumekaa vizuri na mapaja yapo nje msiangalie maana nayo inawapunguzia hamu ya ku-duu
 
mkuu bullar hiyo picha ulioweka kama profile pic inachangia kuchochea haya mavituz...
napata wasiwasi kama kweli unawatakia mema wanachama wa CHAPUTA hapa jf,
kaaaaazi kwelikweli...teh teh teh teh!!!
kazi na dawa! fata maneno yangu usifate vitendo vyangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Tafuta mpenzi kama huna kabisa

Ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.

Punyeto inasaidia kuepukana na magojwa ya zinaaa,
Sasa kipi bora, punyeto au magojwa?

kinga pia inasaidia kuepukana na magonjwa kwanini usitumie kinga baadala ya kujidanganya kwamba punyeto ni kitu chakujivunia. Na ukiwa na uhusiano na binadamu ni mtamu zaidi kwasababu hauishi kwenye mapenzi bali unaendelea kwenye fikra na maisha.
 
Pia wanaume nawashauri mkiona sisi wadada tumekaa vizuri na mapaja yapo nje msiangalie maana nayo inawapunguzia hamu ya ku-duu
hyo ngumu sana,hata ndugu wa damu akikaa vbaya lazma uangalie kwanza ndo uache kuangalia,yani ukiona partilally,lazma ugeuke uone vzuri halaf ndo ujizuie kurudia mara ya pili,lakini kama mtu mwingine ambaye hata kumgegeda unaweza lazima upige chabo mwaaa mwiii.
 
Mkuu watu wengi wanaopiga punyeto na kupoteza nguvu za kiume kosa lao ni kwamba wanatumia sabuni kujichua. Punyeto ambayo haina madhara unatakiwa utoboe godoro kashimo then unakuwa unaingiza hapo dushele, raha sana unakuwa kama una du na mwanamke pia hakutakuwa na deformation ya dushele.
Expart
 
Hapa Pagumu Aisee!!!! Unaweza Jikuta Miaka 2 umeacha ikisha siku moja tu ukajikuta unajiripua kiroho safi huku ukiwa unajipa matumaini hutofanya tena..

kukosea mara moja haimaanishi umerudi kwenye tabia nzima. Kuna wengine wanaweza kuacha mara moja kwenda milele hatawasifikirie na wengine wanaweza kuacha lakini na kuwa na vikwazo hapa na pale. Haimaanishi wakate tamaa lakini inamaanisha wajitahidi kuivunja recodi yao ya kuacha kwa muda mrefu bila kurudia.
 
Acha kuangalia video za ponography

Video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako..

Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga

Bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.

Epuka kukaa nyumbani peke yako

Mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.

Fikiria kuhusu madhara yake

Kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo kama uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.

Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho

Siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.

Tafuta mpenzi kama huna kabisa

Ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.

Anza mazoezi na jishughulishe na mambo mengine

Hii itakufanya ue bize na mambo mengine na utumie mda wako mwingi huko, pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala.
Hiyo ya eti unajisemea utacha kupiga puchu kweli nimeamini haiwezekani ukaacha mm nilishawahi kuandika hivyo lkn nilishindwa kbs, nikaona narudia tena kupiga pull
 
me nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.
Ahahhahaahaa, mkuu umepitia magumu sana, hata mm naweza kaa hata mwez lkn inafika cku najipa matumaini kuwa cjafanya cku nyingi
 
Ushauri uliotoa hauwezi kusababisha mpiga puli akaacha.Labda umpe sababu za kusababisha kifo ndo anaweza kufikiria kuacha.

siyo ushauri wenyewe unamfanya mtu kuacha ni mtu kuelewa maisha yake na kama antaka kuenda mbele inahitaji abadilishe tabia kadhaa. Punyeto inaweza ikawa tabia moja kati ya tabia nyingi tu ambazo mtu anazo zinazomsababisha kufeli maishani. Tabia kama kuto kusoma vitabu, uvivu, kukaa nyumbani mda wote, kuangalia tv kwa wingi, kula diet mbaya, ulevi, kutokua na kazi, kutokua na marafiki e.t.c
Kuacha punyeto inahitaji kufwata na kuacha tabia zingine pia ambazo zinamfanya mtu asiwe na mwelekeo.
 
me nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.

hahaha unaweza kwenda Protect Yourself! | K9 Web Protection - Free Internet Filter and Parental Control Software ukapata software yakukuzia kama unaangalia picha chafu kupitia mitandao yako pia.
 
Back
Top Bottom