Kama we ni muathirika wa puli na unataka kuacha mazima kama mimi baada ya kuona madhara yake,tujadili hapa njia mbadala ya kujitoa huku maana hili limekua janga watu wanapiga sana na dushe linakosa nguvu mwishowe haliwiki tena.
 
Pornographics and musturbation is now a major problem to most people especially the youth Wengi wameingia humu na kutoka imekuwa tabu kwelikweli
 
Wiki kama mbili imeniaibisha hadi nikaona noma... Yaani mashine iligoma kusimama vzur had kuvaa condom inakuwa shida..... Nimekomaa
acha kabisa hilo litabia lichafu mi nlishindwa kumla mtoto mzuri nikachanganyikiwa nikajitumbukiza kwenye ulev ila naona mabadiliko toka niache dushee imeanza kuwa strong napiga hata viwili kwa muda wa dakika 20
 
Lakin mtu ukiamua unaweza, ss hv npo busy Sana, sitaki kukaa mazngra ya peke yangu.... Napiga Sana mazoez ambay yananiondoa msongo wa mawazo....
 
acha kabisa hilo litabia lichafu mi nlishindwa kumla mtoto mzuri nikachanganyikiwa nikajitumbukiza kwenye ulev ila naona mabadiliko toka niache dushee imeanza kuwa strong napiga hata viwili kwa muda wa dakika 20
Kweli Mkuu hii kitu mbaya nilimfanganya tu, lakin ss hv Nina week sijafanya hiki kitu lakin baada ya wiki kama mbili na nusu naenda kukutana na Shem wako tena, sijui hii Hali haiwez kujirudia japo sikuile nilijitahd kwa mbinde nikapiga vitatu viwil usiku na kimoja asubuh nilivyooamka
 
 
jiamini unaweza utatoboa nyavu tu,hii kitu nikutuliza akili na kuondoa hofu,kitu punyeto ilivyo niathiri kisaikolojia we acha tu
 
kuacha inawezekana ila unatakiwa uanze kama mvutaj wa sigara anavuta parkt moja kwa siku ila anapoanza kuacha kwa siku ana jitahd anavuta sigara tatu nne mwshon anaacha kabisha ndivyo ilivyo kwahyo kama kwa siku unaenda mara tatu nne bac kwa maandalizi ya kuacha kwanza tia nia ya kupunguza kufanya hvyo kisha punguza baada ya kuona unapunguza kwa idadi uliokuwa unaenda bac tia tena nia ya kuacha kisha weka mazingira ambayo pind utakapo hic ile hali bac badilisha mazingira kama ukondan toka nje na kama usiku bas amka ruka kachura mpaka utakapo hic magot yamechoka bac utakuwa umekwepana na hali kama hyo ushaur wangu kwa uelewa wangu ndio huo@asante kwa mleta mada inayogusa vijana:
 
Pia siku hiyo unakutana na shem hakikisha unakula chakula cha kutosha na maji pia yakutosha. Mabao yataongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…