Kama unatabia ya kuangalia picha za utupu,tupia kapuni.Kaa mbali na vishawishi vinavyopelekea Kunyetuka.Na kama unaweza tafuta Mtoto mzuri wa kumkaza najua anaweza kuwa msaada wa kukufanya uache.
 
Yaani jamaa alimuona bro wake akifanya huo mchezo akiwa na miaka 6 lakini huyu kijana alianza kuufanya huu mchezo mwaka 2013....

Labda nami sijaelewa vizuri, nisahihishwe...
Kama anamiaka 25 manake kazaliwa 1991 sasa kumuona bro wake inamaana ni toka 1997 sasa kweli jambo aloliona 1997 kweli aje alifanye 2013 [emoji15]
 
Ila CHAPUTA dah, wengi hasa boarding wameipitia sana, sometimes school walikuwa wanaweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kupunguza nguvu za kiume au ashki, maana ile kipindi ya balehe ashki huwa ziko juu sana, nadhani CHAPUTA inapunguza mimba shuleni, lakini ni mbaya sana, Vijana muokoke muache haya mambo
 
Mafuta ya taa ni kwa wote ili kupunguza nyege Mkuu
 
Huu ushuhuda Wa kweli
 
Nyeto ni hatari sema ukishaanza kuacha ni shughuli pevu!
 
Nafikiria kufungua Sober House kwa watu wa kundi hili nalo la kujiselfisha, mkitoka mko freshi kabisa. Wewe kama ni muhanga wa kujiselfisha na unahitaji msaada, LIKE tu hii comment nitakutafuta.

Hahaha nimecheka sana ina maana kuwe na rehab centre za puli?
 
Nafikiria kufungua Sober House kwa watu wa kundi hili nalo la kujiselfisha, mkitoka mko freshi kabisa. Wewe kama ni muhanga wa kujiselfisha na unahitaji msaada, LIKE tu hii comment nitakutafuta.
Hahaha chooni usiwaekee sabuni tuu
 
Uhatari wake nn mkuu? After all inchi ishajaa hii wacha watu wazimwage tu
Mkuu ubawa wake upo unapokuja kukutana na demu du! unaingiza tu ikipata lile joto la ndani fasta wazungu wanatoka!

Ukisha kuwa addicted unakuwa huna hamu na mademu kabisa! Unaeza ukaa na demu hata usikumbuke kumtongoza
 
Mkuu ubawa wake upo unapokuja kukutana na demu du! unaingiza tu ikipata lile joto la ndani fasta wazungu wanatoka!

Ukisha kuwa addicted unakuwa huna hamu na mademu kabisa! Unaeza ukaa na demu hata usikumbuke kumtongoza

Si ndio vzr au??
 
Mwenzang na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…