Wakuu naombeni msaada wenu mm nilikuwa napiga sana masterbation au kujichua sasa misuli ya uume wangu umelegea sana na ombeni ushahuri kwa yoyote anaejua dawa ili nulejee kama awali
Mkuu me natoa ushuhuda kabisa nilikuwa napiga punyeto miaka kama mitano mfululizo na ikaniathiri Sana lakini nikapata kusoma sehemu kuhusu tiba na kumuomba Mungu sasa hv naendelea vizuri kabisa nakiwasha mpaka kukuche goli la kwanza namaliza kwa dakika 40.

Sasa chakufanya n hv chemsha tangawizi mbichi halafu iteguwe then changanya na asali vijiko viwili pamoja na habati sawda ya unga kijiko kimoja kwa siku mara mbili( asubuhi na jioni). Njia ya pili fanya hivi chukua tende kiasi changanya na habati sawda pamoja na karanga isage halafu uwe unakunywa asubuhi na jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu leta mrejesho uone mambo yanavyokuwa hii unapona kabisa tatizo hilo. Ila kikubwa usisahau kumuomba Mungu akisaidie na pia akusamehe.

NB: utuletee mrejesho hapa
 
Wengine tupo vjjni...habati swada ndo nn?
 
Dawa ni kufanya mazoezi ya viungo especially kukimbia hata 3-5 km kwa siku na kula vyakula vyenye upungufu wa mafuta. Ukitoka hapo kuwa na mademu ambao atleast are of ur level or below ur level ambao najua ukiwa nao kitandani unajiamini sana na hapo taratibu mambo yatakaa vizuri.
NB. Fanya mazoezi kwa miezi km mitatu bila kufanya mapenzi ili misuli ikae vizuri kwanza( reformation), punyeto ina madhara na wakati tulipokuwa tunafanya wala hatukujua maana tuliona mapenzi ni kikwazo ktk masomo yetu.
 
Mara nyingi vyenye madhara huwa havionekani hadharani, puri tam sana lakini haina budi tuache, tusisubiri mpaka serikali itangaze vita kama madawa ya kulevya
 
Naam wana JF

Mengi yamezungumzwa kuhusu punyeto, wengi wakidai ni nzuri sana na wengine wakidai ni mbaya wengine wamefika mbali na kusema husababisha kifo mapema. Nn ukweli wake?
 
NIN HATARI KWA AFYA YAKO
NI FEDHEHA KWA WANDANI WAKO
NI AIBU KWA MTU AKAKUFUMA
NI DHULMA KWA WANAWAKE
INA AROSTO KALI SANA
USIJARIBU KABISAAAAAAAAA BISHA UTANIKUMBUA
 
So kwa wale wanao twambia kupitia majarida yao kuwa punyeto ni ngono salama wanataka nn wao kama inamadhara??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…