Kweli inasaidia sana hasa kipindi mko kwenye sintofahamu na mwandani wako! A.k.a Baby.
 
inaonekana jf wachezea sabuni na mafuta ni wengi sababu hizi mada haziishi kuandikwa
 
NIN HATARI KWA AFYA YAKO
NI FEDHEHA KWA WANDANI WAKO
NI AIBU KWA MTU AKAKUFUMA
NI DHULMA KWA WANAWAKE
INA AROSTO KALI SANA
USIJARIBU KABISAAAAAAAAA BISHA UTANIKUMBUA
Fact mkuu ukiacha huo mchezo utakua huru kiakili, kimwili na kiroho na utaona hata busara zinaanza kutoka kinywani mwako kwan hata ubongo unakua umejengeka vilivyo.
 
Watu kuacha SELFIE ni ngumu labda wasikie au waone kuwa kuna mtu amefariki na uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha kifo cha marehemu ni kujipiga SELFIE[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Yote katika yote ni Kumgeukia Mungu, ni dhambi kama ilivyo zingine, tubu, omba rehema na Mungu atakuwezesha.
"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Wafilipi 4:13
 
Utamu wa puchu ni kwamba unampata demu yeyote duniani, ukimtaka miss Chaga unamgegeda chumbani kwako bila ya yy mwenyewe kujua, hata malkia Elizabeth una weza ukamgegeda tu bila ya kukuzungusha wala nn. Ila ukimfuata miss Chaga live atakwambia oh mi na mtu, ila ktk puchu hachomoi.
 
Mkuu arosto yake sio mchezo mimi nikiwa hata katikati ya ibada natokaga nje fasta naenda chooni napiga moja chapu alafu narejea kuendelea na ibada..arosto yake ni noma halafu kama ndio umeilekezaga kwenye vyura waliofunga zigo la uhakika pata picha ndani ya kanisa wanavyowekaga mibano na mitetemo ndio mana nawahigi toilet kunyetuka kupoza kipururu ili niweze kukonsetrate
 
kuna mama anauza dawa nusu dozi 75000 na dozi kamili zidisha hyo mara mbili.
 

Duh
 
kila siku watu tumekuwa/wamekuwa wakiuliza kuhusu kuacha na madhara ya kujiselfisha sawa
Basi sasa tumeona madhara yake , kwa wale walio acha watusaidie

Suluhisho la kudumu kwa mpigaji aliyeacha anataka kifaa chake kiwe uimara na kinanyanyuka na kufanya kazi yake kama zamani afanyeje?

Tuache mambo ya kina dokta flani,Yaani wewe uliyeacha ulifanyaje kurudisha nguvu ?
 
Madhara ya kujichua hujificha ubongoni, na sio kwenye kiungo husika, ubongo umeshazoeshwa na hali uliyonayo, mbadala wa tatizo ni tukate hiyo kichwa yako tupachike kichwa kingine chenye kujua matumizi sahihi ya viungo vya mwili.
 
Madhara ya kujichua hujificha ubongoni, na sio kwenye kiungo husika, ubongo umeshazoeshwa na hali uliyonayo, mbadala wa tatizo ni tukate hiyo kichwa yako tupachike kichwa kingine chenye kujua matumizi sahihi ya viungo vya mwili.
Hujasaidia kitu. kama umeona mada haijakupendeza jiweke kando sio lazima kila mada uchangie kama umekuudhi uzi huu samahani lengo ni kusaidiana katika mambo ya kiafya ndio lengo la jukwaa hili. sio kubezana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…