ddcmanesto
Senior Member
- Nov 16, 2016
- 122
- 39
Kila kitu hubadilika kila unapopiga step ya umri,,porn utafika mahali utazichoka tu,,hasa ukiwa na dem akakusatisfy huwi na hamu nazo hata kidogo.Waangaliaji wengi wa porn ni watu wa puchu wasio na madem,,ila ukiwa unafanya mapenzi hata mara moja per week huwezi kuwa na hamu ya kuangalia pornography.ila wewe kuwa karibu zaidi na dem wako automatically utaona anaijaza ile vacuum ya kuangalia porn.Ubaya porno naangalia nikiwa mwenyewe......ntajitahid kuacha au kuangalia nikiwa nae
una watoto.?Bado sijaona ubaya wake nimefanya hii kwa zaidi ya miaka 20
Saiv una umri gani mkuu... ulifanikiwa kupata uzazi...wanasema hii kitu ina madhara sana.. naigopa sanaBado sijaona ubaya wake nimefanya hii kwa zaidi ya miaka 20
Na yote hayo mazuri mjumbe aliyokwambia Tafuta Msaada wa Kiroho NduguShida iko wapi mkuu
1.Kama unaangalia pornography acha.
2.Usipende kukaa mwenyewe.
3.Fanya mazoezi yatakayofanya mwili uchoke
4.Tafuta mpenzi kama huna.
5.Jiweke busy muda wote.
Fanyia kazi sasa,mwanamke ndiye mwanzo wa kila kitu.Ahsante sana nimekuelewa sana
Bc hauna nia ya kuachaMda huo akili inakua hamna.....unakuja kumind ukshamaliza
Kk hali yako ikoje kwa sasa?Asante ntafanya hvyo
Kageli ndio nn jamaniUko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote
All jf members are doctors by professional
Habari wana JF,
Nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now. Niliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri hadi juzi kati tu nilipoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali sio shwari, uume wangu husimama legelege na nikitaka kuanza mchezo uume huzima kabisa.
Nashindwa kujua nifanye nini maana nimemaliza visingizio vyote kwa wasichana niliowahi kuwa nao.
Naombeni masaada wenu.
All jf members are doctors by professional