MkongoraaKaribu
Wanaume tumeumbiwa matesoWanaume nyieee
Asante kwa kuja mkuu hivi nini kazi kubwa ya huu mzizi,maana nimeu uploadMkongoraa
Asee, yaani hujapiga puli miezi 2 na bado huwezi enda hata round 1?Ndg salaam,Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tungu shuleni miaka ya tisini,hadi sasa na familia yaliyo nikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume siwezi mechi hata raundi moja.Je naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani,naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo,karibuni kwa ushauri.
Ndg salaam,Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tungu shuleni miaka ya tisini,hadi sasa na familia yaliyo nikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume siwezi mechi hata raundi moja.Je naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani,naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo,karibuni kwa ushauri.
Punyeto haijawahi kuwa tatizo, nguvu zimeisha kwa matatizo mengn lakini sio punyeto...punyeto humuathiri mtu psychologically tu...Ndg salaam,Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tungu shuleni miaka ya tisini,hadi sasa na familia yaliyo nikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume siwezi mechi hata raundi moja.Je naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani,naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo,karibuni kwa ushauri.
Pole mkuu, naelewa una hali gani.Majibu ya humu inabidi mtu acheke
Heli yako wewe umeoa mimi sitamani kabisa mwanamke
Kwa kulala naye. Nikisha muona tu mwanamke mawazo yangu yote yanakimbilia kwenye SABUNI
Nambeni ushauriPole mkuu, naelewa una hali gani.
Asante kwa ushauri mzuri.Pole sana aisee kwa tatizo lako..anza kufanya mazoezi hasa ya kuruka kamba na jogging ili kurudisha nguvu ya misuli iliyodhoofika kwa punyeto then ule vizr na kupumzka nguvu zitard..
Asante kwa ushauri mzuri.Pole sana aisee kwa tatizo lako..anza kufanya mazoezi hasa ya kuruka kamba na jogging ili kurudisha nguvu ya misuli iliyodhoofika kwa punyeto then ule vizr na kupumzka nguvu zitard..