Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
Muda mdogo sana huoNina mwezi 1 na nusu
Labda ufikishe angalau miezi 12 ndo uje ulete mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mdogo sana huoNina mwezi 1 na nusu
Unatumia asali mbichi mkuuFanya mazoezi ,kula mchanganyiko wa asali na mdalasini kijiko kimoja cha chakula kwa siku ,kwa muda wa miezi 3 na kujisahaulisha kabisa punyeto nguvu zatarudi taratibu.
Nilkuwa si deal na wanawake so nimeona sio sawa na nikaona niachane na hii kitu kabsa so saiv ndo nimegundua nina hili tatizoKabla hujaacha ilikuwaje?
Ulikuwa unasimamisha vizuri?
Asali ya kawaida ya nyuki wadogo au wakubwa usichanganye na kitu zaidi ya mdalasini.Unatumia asali mbichi mkuu
Naomba unielezee huo mchanganyiko vizuri plz
Yaan nishajaribu ila kuna style siwezi mueka mwanamke kwa sababu ya ulegelege wa uumeHuo utakuwa ni uoga na wasi wasi wako tu... Hakikisha huna stress ya aina yeyote na wala huumwi na mfukoni uwe na pesa. Hapo uume utasimama kama antena ya Sonet!
Sorry na ww ulitumiq hiyo njia mkuu.ngoja nifanye ivoooKunywa maji mengi afu mkojo ukibana uwe unakojoa kwa kubana... Yaan unakojoa kidogo unasubir dk moja tena unauchia hvo hvo mpaka mishipa itazoea then baada ya kipindi flan utaiona inakua strong
Ndo vyakula gan mkuukula protini nyingi na mkuyati
Asante mkuuHilo ni tatizo la saikolojia Mkuu, jiweke ktk mazingira mazuri ya kufanya mapenzi na mwanadamu, sahau punyeto.
Zaidi ya yote hakikisha unakula vyema na kushiba ipasavyo.
Hakuna tatizo lisilo kuwa na tiba mkuuNdo imetoka hiyo hautasimama vizuri tena daima
Sante mkuuAcha punyeto na pumzika kwa muda kukutana na mwanamke kimwili wakati huo pata lishe bora,matunda na maji ya kunywa kwa wingi mambo yatakuwa poa.
Usisite kuleta mrejesho mkuuNgoja niione mkuu
Mwezi 1 na nusuUna muda gani tangu uache huo mchezo?
nyama, maziwa, karanga, korosho , mayai +mkuyati ni majani wanauza watuNdo vyakula gan mkuu
Yaani nimeacha na sas nina mahusiano so sifikilii kurudia tenaMuda mdogo sana huo
Labda ufikishe angalau miezi 12 ndo uje ulete mrejesho
Jitahidi usifanye mapenzi kwa sasa mpaka hali itakapokuwa sawa .Yaani nimeacha na sas nina mahusiano so sifikilii kurudia tena