Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Great thinker tunaita Punyeto Kama Assisted Sexual Intercouse (ASI)
 
Great thinker tunaita Punyeto Kama Assisted Sexual Intercouse (ASI)
Au Juche (ile itikadi ya Kim II Sung) ambayo ilisisitiza self-reliance and self-dependence, yaani kujitegemea!
 
Siku kadha zilizopita ndugu yetu Amaridong aliuza kwa lengo la kutaka kujua kama kupiga punyeto kuna madhara. Inawezekana tayari ndugu yetu kesha athirika na kwamba anauliza katika style yas kiutuuzima ili kujua nini afanye.JE IKIWA MATHALANI ATAKUWA KESHA ATHIRIKA AWEZA KUPATA TIBA? NINI AFANYE IKLI ARUDI KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA? AU MNAMSHAURI ABDIRISHE OFFISI?
WANAJAMII TOWENI MAONI YENU NA SI KUISHIA KUMLAUMU TU
 
AAAAH NYIE ACHENI YA KUSIKIA HOVYO ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,HAOwanahimiza ngono 2,UTAFITI ULIOFANYWA HIVI KARIBUNI UNAONYESHA KUWA KUPIGA PULL/PUNYETO KUNAONGEZA MDA WA KUHIMILI TENDO LA NDOA UNAPOKUWA NA MWANAMKE,ALAFU NI ZURI KIAFYA ,HALIMALIZI NGUVU ZA KIUME ,MI MWENYEWE NAPIGA TOKA UDOGO WANGU NATAFUTAGA TU SAMPLE ZA KUPIGIA PUNYETO UKIONA NIMEMTONGOZA DEM,SAMPLE IKIISHA LADHA NATAFUTA NYINGINE,MIMBA WANAPTA KAMA KAWA NA WANANGANGANI KUTOKANA NA KURIDHIKA NA KAZI YANGU KUDUMU MUDA MREFU UWANJANI,/MADHARA NINAYOONA DOGO NI KUWA UKIWA CRONIK KAMA MIMI UWE MAKINI KWA SABABU UNAWEZA KUPATA UKIMWI KIRAHISI MAANA SIKU UKITAFUTA SAMPUL UNAWEZA UKAKOSEA CHENGINE USILAZIMISHE KUMALIZIIA KWA DEMU KAMA BWAWA LAKE KUBWA JIZOESHE KUMALIZA MWENYEWE UKISHAPATA SAMPULI
 
Kumbe kama hung hamu na mwanamke na hata kumtamani basi hayo ndio madhara yenye wewe unataka nini tena!
 
Hakuna kitu kisicho na madhara endapo kitafanyika kupita kiasi. Hata hilo tendo la ndoa kati ya me na ke lina madhara endapo litakuwa over dosage, in short wapo waumini wakubwa wa punyeto ambao wanapractise kwa afya na hawajapata madhara yoyote till this tym.
 
Nimejarbu kustudy mind za watu wengi hasa kwny nyeto.watu wanaifanya sana kwa sasa kama njia ya kuJiridhsha kmapenz kwa sababu mbalmbal.weng wanatumia mikono yao mean vganja na sabuni..leo nawapa styl mpya mana iyo local sana.!..lala kwa tumbo,Weka mikono yako mithl ya unacheza gofu...v shape,.panda ju kdg,weka mjamaa tayartayar muingze between ur hands,2mia kilainish eg mate...then kata mauno..utam c wa kawaida.warning..mara 1 tu kwa wk pale mamsapu hayupo...tupambane na ukimwi kadr tuwezavyo..
 
Nimejarbu kustudy mind za watu wengi hasa kwny nyeto.watu wanaifanya sana kwa sasa kama njia ya kuJiridhsha kmapenz kwa sababu mbalmbal.weng wanatumia mikono yao mean vganja na sabuni..leo nawapa styl mpya mana iyo local sana.!..lala kwa tumbo,Weka mikono yako mithl ya unacheza gofu...v shape,.panda ju kdg,weka mjamaa tayartayar muingze between ur hands,2mia kilainish eg mate...then kata mauno..utam c wa kawaida.warning..mara 1 tu kwa wk pale mamsapu hayupo...tupambane na ukimwi kadr tuwezavyo..
 
Hili ni balaa.... Yaaani asubuhi yote hii wewe badala ya kufanya kazi unawaza kujikurupuchua tu.
Hebu badilika kidogo tu namna yako ya kuwaza, kufikiri na kutafakari.
 
Nimejarbu kustudy mind za watu wengi hasa kwny nyeto.watu wanaifanya sana kwa sasa kama njia ya kuJiridhsha kmapenz kwa sababu mbalmbal.weng wanatumia mikono yao mean vganja na sabuni..leo nawapa styl mpya mana iyo local sana.!..lala kwa tumbo,Weka mikono yako mithl ya unacheza gofu...v shape,.panda ju kdg,weka mjamaa tayartayar muingze between ur hands,2mia kilainish eg mate...then kata mauno..utam c wa kawaida.warning..mara 1 tu kwa wk pale mamsapu hayupo...tupambane na ukimwi kadr tuwezavyo..
huko addicted wewe nyie ndio mkilala na demu mnakosa nguvu za kuchapa mzigo nguvu kwishney
 
Fanya zoezi, jishughulishe hamu itaondoka kabisa. Nyeto haifai kabisaaaa, inadhoofisha afya yako.
 
Well, mimi nimekuwa nikijichua kwa takribani miaka 2 sasa na nina miaka 19 (20 in april), na nimekuwa nikisikia baadhi ya watu wakisema kuwa kumusterbate kuna weza leta matatizo na pia rafiki zangu wamewahi kunieleza hivyohivyo,, but however since i started pleasing (musterbating) myself i couldn't find any side effect and even those so called emotional effects because the last week i had sex with my girlfriend and it was quite good, tofauti na nilivyoambiwa kuwa sitokuwa na hamu tena na girlfriend wangu!

Sasa swali ni kwamba, je ni kweli kuna mathara mengine tofauti na haya niliyotajiwa? Please, never give rude answers coz u will not help rather u will make me feel worse!

Thanks!

Kujichua ndugu wana JF hakuna madhara ya moja kwa moja.

Tafiti zinaonyesha kwamba hakuna madhara physical ambayo mtu anaweza kuwa anayapata, labda pale ambapo utafanya tendo hilo vigorously au bila kutumia lubricants unaweza kupata michubuko.

Tatizo kubwa la kujichubua ni emotional au psychological ambalo hutokana na mtu kuji-feel guilty baada ya kufanya tendo lenyewe kwa sababu tendo hili linaonekana baya katika jamii. Kitu kingine ambacho mimi ndio naona kibaya zaidi ni kwamba unapojichua huwa unafikiria kupata raha peke yako hivyo hata wakati wa kufanya mapenzi na mwenzi wako hutawaza kumpa raha na mpenzio utakuwa unataka wewe upate raha peke yako na hii inaweza kuathiri uhusiano wenu.

Sina uhakika sana kama tendo la kujichua limekatazwa moja kwa moja kwenye biblia au quran lakini katika biblia kuna mtu aliuawa kwa kumwaga shahawa zake nje, kwa hiyo nadhani hata kiimani tendo hili halikubaliki.

Utafiti pia unaonyesha kwamba kufanya tendo hili kwa zaidi ya mara tatu kwa wiki kunaleta addiction, kwa hiyo utakuwa wewe ni mtu wa kujichua tu na hasa kama ukiwa peke yako na kuacha kufanya au kufikiria mambo mengine, na pia hutakuwa unamfikiria sana mpenzi wako na hivyo waweza kuharibu uhusiano wako kwa kuwa utapenda zaidi kujichua kuliko kufanya mapenzi na mpenzi wako.

Nakushauri jitahidi sana uache, hutaona madhara yoyote physical, nguvu za kiume zitakuwepo kama kawaida lakini in a long run, guilty feelings na addiction vitakuathiri ndugu yangu.

Kuacha ni rahisi, acha kuwaza sana ngono, epuka kukaa peke yako muda mwingi, epuka vitu ambavyo vitakufanya ufikirie ngono kama kuangalia pornographic movie au picha za uchi, na pia omba sana Mungu atakusaidia utaacha, zinapokuja tu fikra za kufanya tendo hilo mwambie Mungu apitishie mbali hayo mawazo utaacha.
Faida za kujichua/chezea:

1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi)


2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.

3)Kujua "vipele vyako viliko".

4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda.

5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine.

Madhara ya kujichua/chezea:

1)Hakuna tatizo lolote kutokana na kujichaua kiasili.
Hata hivyo, kujichua kupita kiasi kunaweza kusababisha kupoteza hisia uume halisi.


2)Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos kunaweza sababisha kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea "dubwana" hizo, kifo kutokana na "shock" ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha "dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo" kuingia.
 
Mrudie Muumba wako! Miaka 19 bado mdogo sana wewe epuka pepo la ngono
 
Back
Top Bottom