David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Hiyo pili pili fili fil abyadh na kibiriti upele sijavielewa mpaka saa hizi
Ni vitu gani hivyo mkuu, unaweza fafanua kidogo??
ndugu asigwa hizo fil fil abyadh na kibiriti upele ni dawa kiasili zilizo katika hali ya unga unga..kama ukienda ktk maduka ya dawa za asili ukiuliza tu utazipata