Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
Punyeto haina madhara kiafya wala si maradhi.We jichue tu kiongozi.
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.
mkuu kwanza nakupongeza kwa kutambua kwamba punyeto ni kitu kibaya,huo ndio mwanzo wa kuachana na tabia hiyo mbaya,nakuomba usikwazwe na laana wanazotoa watu wengine humu,kingine naomba utambue kwamba kuachana na tabia hii inawezekana japokuwa ni addiction,naomba utembelee mtandao mmoja unaitwa NOFAP (search google) ni mtandao unaowajumuisha watu wote wanaopambana na punyeto kutoka dunia nzima,naomba uwe huru kuwasiliana nami kupitia namba 0658327429 kwa ushauri zaidi,inawezekanaaaaaa usikonde.
Taratibu Ndugu hapa tunamshauri mtu namba ya nini ...Nani hajui kuwa vijana wengi wadogo wanaobalehe na kuanza KUPIGA punye ni rahis Sana kuwabadili kuwa ....bottoms ...( zamu zamu ) ....na gays network nyingi zinawatafuta ......hawa kwa kuwa hawajajua utamu wa mwanamke .....
Naamini una nia Njema !!!!
Gay mmoja akiingia kwenye boarding school yenye teenagers Ndani ya muda mfupi hubadili wezake...kwa kuanzia huanza kuwapa yeye huduma kila mmoja kwa kificho ...ikiwemo blow job .....Akishaona wamenogewa huja na strategy Yao ya do me ..i do you .....
Kwa wenye watoto wa Kiume wenye Umri wa punyeto ..ni muhimu kuwasaidia wawe wanaume straight ....zamani Wakati tunakua ukiwa na mjomba ndio atakutafutia hata kisichana ahakikishe ..umegonga
Wewe tatizo lako tiba yake rahisi ...tafuta kazi au burudani ya kufanya tofauti kila unaposikia hamu hiyo ..kazi ngumu ..cheza mpira ...usipende kushinda mwenyewe Ndani ..jichangaye na washkaji
Tiba ya pili nunua packets zako ZA kondomu weka Ndani na kila ukitoka beba Anza kutongoza wasichana ...wasichana wengi ni vigumu kumkubali mtu desperate asiye na uazoefu ....akikuangalia tu anakuona ulivyo excited Anakuzungusha .....so kwa kuanzia tongoza wasichana wakubwa wenye uazoefu ....mwanaume yeyote ukitaka kujifunza mapenzi toka na " mama " ....Ili upate uazoefu wa size yako .....
Kama nyumbani mnaye housegal anaweza kuwa msaada kwako Katika kipindi Hizi kigumu ..wote tumepita mapito hayo
Sijakushauri uende " makumani " maana huo ni ugonjwa mwingine wa Ki psychology ....wanaume wengi wamwshindwa kuoa au hata kuwa na relations kwa kuwa wanaona usumbufu Wakati akiwa na 5000 anaenda makumani ...Mimi binafsi siamin kabisa kwenye ZA kununua ....napenda at least nipige domo Kiasi .....hata Kama baadaye nitakata
Umenchekesha hiyo MAKUMANI, huku kwetu tunaita kwa wahaya!!