Punyeto ni nini na nini madhara yake?
John Ezekiel

Kwa njia hiyo bila ya kujigusa uume wako ni nzuri lakini unamkaribisha Jini Mahaba apate kukutawala na ukikubw ana jini Mahaba uka eukijuwa Maisha yako yataharibika kabisa utakuw ani masikini wa kutupwa na Wanawake watakukimbia hutoweza kuowa tena katika maisha yako.

MJUE JINI MAHABA NA DALILI YAKE





NI NANI JINI MAHABA (AASHIQ DJINN )

unapoongelea juu ya jini mahaba basi unaongelea jambo muhimu na gumu, kwani majini wapo aina karibia 660, na kila jamii ina kuwa na mifumo yake pindi awapo mahaba.
jini mahaba si jini maalum kusema huyu ni mahaba,
mfano sisi binaadamu hatuna kabila maalumu kwamba hawa ni watu tabia mbaya, ila tabia mbaya huwa kwa mtu mwenyewe ni kwa kabila.
pia jini mahaba si jini maalum kuwa huyu ni mahaba ila majini wote waoi wahuni miongoni mwao ambao husumbua maisha ya wanadamu.

DALILI ZA KUJUA UNA JINI MAHABA



1) Kuwa na hasira zisio na sababu

2) kutokuwa hamu ya jimai

3) kupata maumivu na na michubuko katika jimai

4) kuchoka sana wakati wa jimai.

5) kumchukia mwenza wako pindi anapo kuwa karibu na wewe.
huyu ni JINI SUBIANI.
6) kukosa hedhi

7) kupata hedhi kwa miezi miwili hadi mitatu

8) kuumwa chango au ngiri mara kwa mara

9) kushindwa kumwaga manii ufanyapo jimai

10) kuingia na kumwaga manii haraka sana
huyu ni jinni UMMU MULDAMI.
11) kupoteza ladha ya jimai katikati ya tendo

12) kuishiwa nguvu haraka

13) kupatwa maumivu makali ya tumbo wakati ukifanya jimai

14) Kuto kuona ladha yeyote na mwanamke kushindwa kutoa ute na kumpa maumivu
huyu ni JINI JALWUSH
tibazakissuna.blogspot.com


15) Kuto kubeba mimba



16) Kujaa maziwa kama mjamzito

huyu ni UMMU SUBIANI

17) Kuota Unapaa


18) Kuharibika Mimba kaabla ya Miezi Minne

19) Chunus zisizo SIKIA DAWA

20) Kuchukia kutongozwa na kuto hitaji ndoa
huyu ni JINI TWAYR {qarnail}


21) Kuto tosheka na jimai

huyu ni MAYMUNA

22) Mtoto kumuogopa mama yake


23) Kuota unafanya mapenzi ndani ya usingizini ukiwa ni Mwanamke au mwanaume.

24) Mama kuto toa maziwa akijifungua

25) Mtoto kupatwa degedege.
huyu ni MAKATA WA MAKATANI.

Dalili ni nyingi kulingana na aina ya jini anaye kusumbua.

UKIWA NA SWALILOLOTE NITAFUTE KWA KUBONYEZ HAPA.
Mawasiliano
 
Last edited by a moderator:
Habari wanajukwaa
Mimi ni mwanachuo niko chuo fulan hapa dar.tatizo langu ni kwamba nimekua addicted sana na huu mchezo wa kupiga punyeto nilianza kipindi niko a level ....yani muda wowote nikijihisi niko lonely hua najikuta napiga punyeto na imekua ni kama tabia yani nikikaa siku chache bila kupiga nakua nahisi akili yangu haiko sawa yan kichwa kinakua kizito balaa lakini nikishapiga tu najiona mwepesi...natamani sana kuacha kwasababu najua kuna madhara yanaweza kunitokea mbeleni jamani naombeni ushauri wenu tafadhari
 
Wewe endelea kupiga mpaka mpaka umalize chuo na upate tuzo yako ya chaputa
 
Junior member ni utoto tu
ukikua utaacha!

Hili tatizo la watu wengi, kuna jamaa angu fulani ana miaka 28 alinambia anafanya hii kitu zaid ya mara mbili kwa siku, yeye anafurahia na kulipa nafasi sana tendo hili.
 
Habari wanajukwaa
Mimi ni mwanachuo niko chuo fulan hapa dar.tatizo langu ni kwamba nimekua addicted sana na huu mchezo wa kupiga punyeto nilianza kipindi niko a level ....yani muda wowote nikijihisi niko lonely hua najikuta napiga punyeto na imekua ni kama tabia yani nikikaa siku chache bila kupiga nakua nahisi akili yangu haiko sawa yan kichwa kinakua kizito balaa lakini nikishapiga tu najiona mwepesi...natamani sana kuacha kwasababu najua kuna madhara yanaweza kunitokea mbeleni jamani naombeni ushauri wenu tafadhari
Tafuta girlfriend akutatulie tatizo lako
 
Tongoza mwanamke ambae siyo size wala hadhi yako, yani yupo juu. Huo msongamano wa mawazo na maumuvu ya moyo utakayoyapata kamwe hutoweza kukumbuka hiyo punyeto. Wewe utakuwa ni mtu wa maumivu tu na hamu ya punyeto itafutika kabisa.
 
Habari wanajukwaa
Mimi ni mwanachuo niko chuo fulan hapa dar.tatizo langu ni kwamba nimekua addicted sana na huu mchezo wa kupiga punyeto nilianza kipindi niko a level ....yani muda wowote nikijihisi niko lonely hua najikuta napiga punyeto na imekua ni kama tabia yani nikikaa siku chache bila kupiga nakua nahisi akili yangu haiko sawa yan kichwa kinakua kizito balaa lakini nikishapiga tu najiona mwepesi...natamani sana kuacha kwasababu najua kuna madhara yanaweza kunitokea mbeleni jamani naombeni ushauri wenu tafadhari

jitahidi kuwa busy, usiweke sana akili zako ktk ngono na jaribu pia kumshirikisha mwenyezi mungu kimaombi akusaidie na naamini yataisha tu.
 
Nenda Mwananyamala A karibu na hospitali kuna vibanda wanakaa akina mama fulani,watakufundisha kuacha kwa bei rahisi
 
Tafuta girlfriend ambaye hayuko busy kiasi ukimtaka tu utampat
Jiweke busy na mambo yako pia mazoezi saana
Epuka kulala chali wakati wote
Futa video zote za X kwa device zako zote
Paka pili pili mikononi wakati wote
 
Kwani unatumia nn?
Condom...sabuni au mafuta ya mgando?
by the way haka kamchezo katamu mno...hakika hutojua stress za mapenzi.
mi mwenyewe napigaga
nakumbuka enzi hizo nikiwa chuo nilikuwa nikimwona demu nikampenda naingia bafuni napiga nyeto huku nikivuta hisia niko na huyo mlembo.!
Karibu sana kwenye watsapp group yetu ya chaputa members.. Pm namba yako uunganishwe.
 
jitahidi kuwa busy, usiweke sana akili zako ktk ngono na jaribu pia kumshirikisha mwenyezi mungu kimaombi akusaidie na naamini yataisha tu.

Katika wote nimekupenda bure you show your wisdom katika kushauri.
 
Kwani unatumia nn?
Condom...sabuni au mafuta ya mgando?
by the way haka kamchezo katamu mno...hakika hutojua stress za mapenzi.
mi mwenyewe napigaga
nakumbuka enzi hizo nikiwa chuo nilikuwa nikimwona demu nikampenda naingia bafuni napiga nyeto huku nikivuta hisia niko na huyo mlembo.!
Karibu sana kwenye watsapp group yetu ya chaputa members.. Pm namba yako uunganishwe.

hiiiiii kalllliiiii
 
Tafuta girlfriend ambaye hayuko busy kiasi ukimtaka tu utampat
Jiweke busy na mambo yako pia mazoezi saana
Epuka kulala chali wakati wote
Futa video zote za X kwa device zako zote
Paka pili pili mikononi wakati wote

nnnnniiiiiiiccccceeeee ooooonnnneeee!!!!!™
 
Back
Top Bottom