Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu hilo tatzo nami pia nilikua nalo,,na nlikua napenda punyeto haswaa,kwa cku napga zaid ya mara3 kw siku,nkaanza kuona madhara wakat nasex,yn ndan ya dakk 3-5 nakua nshamaliza yaan liwe goli la kwnza,la2 au la3,ndan ya dakk20 nakua cwez tena kuendlea na nguv kuniishia...nkaanza kutafta tiba ndipo nkajivunza baadh ya mazoez ya kurudsha nguv ya misuli
Ni wewe huyo, hatutoi msaada kwa watu wanaoficha matatizo yao
Njaa
Akimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha