Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Acha huo mchezo jitahid kwa miez ikibidi mwaka piga zoez unstoppable mfano jogging utakua polepole unaanza ona matokea ya kufurahisha zingatia kula vizuri hasa vyakula vya asilia zingatia Acha kutazama picha za ngono

Aiseee wakuu yaani mimi pia nina tatizo kama ja mpenzi wa huyo sister tena mimi naona nimeathirika zaidi yaani erection. Yangu ipo weak hatari na kila mara ninapokutana na mpenzi wangu natumia dawa za kuongeza uimara wa erection japo hii ni siri yangu tu mpenzi wangu hajui sasa nakosa Amani na kujizarau aisee naomba mnipe ushauri nifanye nn kwa sababu punyeto kwa sasa nimeacha na picha za ngono pia siangalii kabisa jamani hivi vitu vina madhara.kweli
 
Akimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
akacheck kisukari pia
 
tatizo dogo hilo ale Sana matunda na mboga za majani pia puli aache
 
Pole sana.. inaonekana u.a mapenzi ya dahat kwa huyo jamaa ako.
mimi.naomba nikushauri yafuatayo.
mwambie atafute unga wa mdalansini..achanganye na vijiko vikubwa viwili vya asali kwenye maji ya moto.

Awe anatumia kila siku asubuh anapoamaka kabala hajala chochote. Itamsaidia kumrudisha katika hali ya kawaida.

Pili mshauri aache kutumia vyakula vya kisasa kama chips.mayai ya kisasa ,soseji na vitu vya nana hiyo.


Badala ale atumie vyakula vya asili kama ugali wa dona mhogo.mtama.
Ale samaki saana badala ya nyama.

Tatu mshauri afanye saana mazoezi ya viungo .mazoezi ni muhimu saana .

na kama anakunywa pombe saana mwambie apunguze anywe kiasi.


Na mwisho mwambie atumie saana matunda .kama tikiti. Parachichi ,papai , embe ,
Pia mwambie atafune mbegu za papai, atafune na nyanya chungu za kienyeji.
ushauri mzuri Sana huu



Kama atazingatia hayo.. matokeo yake utaanza kuyaona baada ya miezi miwili mpaka mitatu.

Ili kupata matokeo mazuri lazima anzingatie[/QUOTE ]
ushauri mzuri
 
kweli biashara ni matangazo... watu mnazini bado mnakuja kuweka hadharani humu (H.I.V) haitokuja kuisha kamwe...poleni sana waasherati.
 
SOMA HII THREAD MPENDWA, TATIZO LINAPONA KABISA SAWA:

Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574/0765353056/0684974811
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME
Usirogwe ukajaribu haya madawa ya kitapeli. Utajuta. Hayako proved scientifically na side effects zake (both short and long term) hazijulikani. Please kafanye comprehensive physical na cheki afya ya moyo, blood pressure etc. Kama uko sawa anza mazoezi na badilisha diet - matunda kwa wingi, asali kidogo, supu etc. Punguza red meat na pombe.

Pia yawezekana ikawa ni psychological issue au uko stressed sana. Jaribu ku-relax na usichukulie sex kama performance bali ni relaxation tu na kupeana raha. Ikibidi hata unaweza kujaribu kuwa spiritual kidogo ili kuondoa stress na msongo wa mawazo. Utapona kabisa!!!
 
Kama ana uwezo wa kusimamisha na akamaliza goli angalau moja, tatizo ni la kisaikolojia zaidi kuliko physical.
mambo ya kufanya:
.wewe ndiwe msaada mkubwa kwake umutie shime umpe nguvu kuwa anaweza with time litatoweka
.afanye mazoezi, si mazoezi tu, mazoezi stahiki, afanye kegel exercises zina saidia sana, watu wengi wanadhani haya mazoezi ni kwaajili ya wanawake tu walio wahi kujifungua, hapana, yanasaidia sana hata kwa wanaume hasa kurefusha mda wa kuwa na erection iliyo ya hali ya juu. kwenye you tube kuna clip kibao zinaonyesha kegel exercise kwa wanaume na kwa wanawake zitawasaidia.
.aangalie lishe yake, aache kual vyakula vilivyokoborewa, ale matunda kwa wingi pamoja na nuts (karanga, almonds, etc), kuna unga kama wa lishe hivi sanitarium nyingi zinatoa unasaidia sana kubalance homorne na kurudisha libido na mambo yote ya faragha kwa mwanume. (tikiti maji ni muhimu saana hapa).
.si shauri atumie viagra, zinaweza msaidia leo lakini kesho mambo hayo ndo yakafa kabisaa, na atakuwa mtumwa wa viagra milele.
.aangalie kazi anazo zifanye, acontrol level of poisoning na boredom ndani ya mwili wake. asiwe congested saana katika sehemu moja, sana awe na mda wa kupumzika katka fresh air apunge upepo aangalie mazingira natural ni msaada mkubwa.
.Finally, kama ni mtu ana dini, amuombe Mungu wake kwa dhati, ni mwema atamsamehe, atamsikiliza na atamjibu
 
Kama ana uwezo wa kusimamisha na akamaliza goli angalau moja, tatizo ni la kisaikolojia zaidi kuliko physical.
mambo ya kufanya:
.wewe ndiwe msaada mkubwa kwake umutie shime umpe nguvu kuwa anaweza with time litatoweka
.afanye mazoezi, si mazoezi tu, mazoezi stahiki, afanye kegel exercises zina saidia sana, watu wengi wanadhani haya mazoezi ni kwaajili ya wanawake tu walio wahi kujifungua, hapana, yanasaidia sana hata kwa wanaume hasa kurefusha mda wa kuwa na erection iliyo ya hali ya juu. kwenye you tube kuna clip kibao zinaonyesha kegel exercise kwa wanaume na kwa wanawake zitawasaidia.
.aangalie lishe yake, aache kual vyakula vilivyokoborewa, ale matunda kwa wingi pamoja na nuts (karanga, almonds, etc), kuna unga kama wa lishe hivi sanitarium nyingi zinatoa unasaidia sana kubalance homorne na kurudisha libido na mambo yote ya faragha kwa mwanume. (tikiti maji ni muhimu saana hapa).
.si shauri atumie viagra, zinaweza msaidia leo lakini kesho mambo hayo ndo yakafa kabisaa, na atakuwa mtumwa wa viagra milele.
.aangalie kazi anazo zifanye, acontrol level of poisoning na boredom ndani ya mwili wake. asiwe congested saana katika sehemu moja, sana awe na mda wa kupumzika katka fresh air apunge upepo aangalie mazingira natural ni msaada mkubwa.
.Finally, kama ni mtu ana dini, amuombe Mungu wake kwa dhati, ni mwema atamsamehe, atamsikiliza na atamjibu
Huyu atapona mkuu akifuata ushauri huu. Lakini ole wake akimbilie njia za mkato kama kufakamia maviagra na madawa mengine hayo atajuta sana hasa huko mbele ya safari.
 
Akili yake imekariri sabuni na vitu vingine vya kumastabetia lakini uwezo wa kusimamisha anao.Kwa hiyo maandalizi ya kisaikolojia inabidi yafanyike mf mwanamke inabidi awe anamtega na kumuonyesha umbo lake lote kwa umbali fulani before na si kudandiana na kuanza tendo.Mf akiwa kitandani kisha baby mama akatoka nje na kuingia ndani na kudondosha nguo na kubaki tupu kabla hajamsogelea atakuwa na hisia zaidi tofauti na kuwa katika zero distance.Wapiga nyeto wengi huwa wanavuta na kupata hisia kwa kuona maungo ya wanawake kwa mbali ndio maana huweza kutumia hata picha kufanya yao..
 
Habari!

Nimefanya punyeto kwa miaka 15 sasa, mimi wakati wa kufanya tendo la ndoa na mwanamke baada ya bao la kwanza nachukua muda mrefu kwa bao lingne na pengine ninakua sijiskii kabisa.

Je nifanyeje ili kumridhisha?
 
Miaka 15 unapiga punyeto dah yaan toka enzi za benja mpaka baba riz1... Hapo cjui hata nikusaidieje!!
 
Back
Top Bottom