Punyeto ni nini na nini madhara yake?
SOMA HII THREAD MPENDWA, TATIZO LINAPONA KABISA SAWA:

Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME
 
Inakuwajee?

Kuna rafiki yangu ni mpiga nyeto ballah.

Sasa kapata mpenzi, so anaogopa kushiriki nae tendo kwa sababu kwa muda mrefu kawa addicted wa punyeto, since miaka 17 mpaka now ana 22.

He told me alipokuwa faragha na mpenzi wake hakupata stimu mpaka alipopata blowjob.

Lakini wakati anaingiza ndani ya Vutu, goma hapo hapo ikalala bila ya kupump.
Mnamshauri nini huyuu?:decision:


Nataka nichangie kidogo maana na mimi nimiongoni mwa watu waliokuwa adicted na masturbartion since miaka 17 mpaka namaliza chuo kikuu.Ilikua ni vigumu sana kuacha mana naweza acha for 2 weaks alafu narudia tena but thanks to God mana niliweka utayari wa kuacha na sasa nimeacha kabisa nina miezi zaidi ya sita sasa. Pamoja na hayo nilishaanza kuona side effect ya hiyo kitu haswa kwenye performance mana nilikua nachelewa sana kupiz na nilikua siendi za ya raund mbili kama ikitokea ilikua mara chache sana. Nilichokifanya nilitafuta dawa japo ni local medicine na to be honest ilinisaidia sana. Yupo dr mmoja yupo mwanza ana dawa nzuri sana kwa ajili ya kuimarisha misuli ya uume na kuongeza msukumo wa damu ila sio viga ni dawa za asili kabisa zimechanganywa zipo za aina mbili japo its a litle bit expensive, bt ukiacha hiyo ya kwake pia anayo jely ya kupaka inatoka Canada japo inachukua muda sana kuleta matokea abt miezi mitatu na kazi yake ni kuimarisha misuli. Matokeo ya kuimarika misuli na kuwa na mzunguko wa damu mkubwa kwenye uume utasababisha uume wako uwe mkubwa kidogo interms of girth so utapata faida nyingi. Mimi ninaesema hivi ni mmoja ya watu ambao hio kitu ilinizingua sio siri bt ukiamua unarecover kabisa. Na nilipowashirikisha baadhi ya wadau japo kwa namna ya kujifanya sio mimi niligundua kumbe hili tatizo ni kubwa kuliko nilivyokua nafikiri mwanzo, ni watu wengi mno wana hili tatizo ila bahati mbaya wanaume huwa hatuongelei hizo weakness tofaut na wanawake wanavyoambiana matatizo yao. So kama unahitaji msaada zaidi unaweza ni esms through 0767426460
 
Inabidi alaze bakora ndani ya maji baridi kila anapohisi kukanyaga gia ya puli:blah:
 
Huu uzi upo poa sana japo ni mrefu sana lkn tatizo hilo na kubwa zaidi kwa atakae jua umuhimu sio ishu kusoma na kuelewa maana kila kukicha kila m2 anatangaza anadawa na kutoa namba bigup sana mkuuu tupe zaidi!!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Huu uzi upo poa sana japo ni mrefu sana lkn tatizo hilo na kubwa zaidi kwa atakae jua umuhimu sio ishu kusoma na kuelewa maana kila kukicha kila m2 anatangaza anadawa na kutoa namba bigup sana mkuuu tupe zaidi!!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na uvivu wetu wa kusoma
 
Hakika jambo hilo si kuwajibu watu kwa kejeli. Linawakabili watu wengi jambo la kufanya ni mtu kujikabidhi kwa Mungu kiimani ili mtu aogope kutokana na dhambi ya kufanya hivyo kiimani hapo mtu anaweza kuacha. Vinginevyo ni kazi ngumu kuiacha.
 
masterbation ni addiction kama aina nyingine za addictions kama dawa za kulevya, ni ngumu kuacha. ina mchukua muathirika wa tatizo hili muda mrefu kuacha na kupona matatizo yaliyosababishwa na hii kitu. miongoni mwa matatizo ni kupungua kwa nguvu za kiume, kushindwa kujiamini unapokutana na mwanamke/kutongoza na premature ejaculation.
zipo njia mbalimbali za kutibu tatizo hili lakini kwa ushauri, tiba nzuri ni huanza na muathirika kudhamiria kuacha tabia hatarishi zinazompelekea kufanya hivi, miongoni mwa tabia hatarishi/tabia chochezi za kupiga puli ni hizi: kuangalia picha chafu za ngono, kukaa peke yako sehemu iliyojitenga/chumbani kwa muda mrefu, kutokufanya mazoezi ya mwili. muathirika lazima ajenge tabia ya kufanya kazi zitakazouchosha mwili na akae na kampani ili angalau akili isijirudie kwenye mawazo ya kujichua.
njia ya pili ni kutafuta mwenzi/mke kama umri wa kuoa umefika, n vizuri kua na mtu ambaye atakuridhisha kimapenzi ili unapopata hamu ya kufanya mapenzi akurithishe. lazima uwe na mtu ambaye ataielewa hali yako na awe tayari kukuvumilia, kinyume na hapo ukikurupuka utakua umewaolea wanaume wenzako kwa sababu ukishindwa kumridhisha na kuendekeza litabia lako la kujichua basi wenzako watakusaidia.
njia nyingine ni kujifunza jinsi ya kuimarisha misuli ya uume ili kuipa nguvu tena. UNATAKIWA UITAMBUE MISHIPA ILIYO CHINI YA UVUNGU WAKO. misuli hii unaweza kuitambua wakati wa kukojoa mkojo, jaribu kusimamisha mkojo ghafla, utahisi kuna misuli inakaza chini ya uvungu wako, ukishaitambua misuli hii, anza kufanya mazoezi kwa kufanya kama vile unazuia mkojo usitoke/tofautisha misuli hii na ile ya haja kubwa, sio kuivuta ilemisuli inayorudisha sehemu ya haja kubwa ndani, njia sahihi ni hiyo ya kujaribu kuzuia mkojo usitoke, fanya hivyo mara kwa mara angalau kila siku itakusaidia kuipa nguvu misuli yako iliyolegezwa na self services.
 
Masterbation ni kujiendekeza,
ni kama mtu mzima anayetambaa wakati ana nguvu za kutembea,
Acha kujiendekeza.
 
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?

Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.


naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa

Acha kumsingizia rafiki ako! Acha nyeto dogo
 
Mh eti punyeto inamadhara! mwenzio ninamiaka 14 katka hii gemu ya nyeto nasijapata madhara,napiga kutwa mara tatu.
 
Mleta tafadhali usiache kupiga punyeto....kama umezoea kale kangumi ni bora tu uendelee kwani kangumi kana raha yake na mwisho wa siku utashitukia misuli imekujaa na kifua kupanuka kwa hilo zoezi asilia.
 
hili swala kuacha ni kudili na ufahamu wako tu..
punyeto huanza kama masihara lkn baadae hugeuka na kuwa tabia sugu.
Kwa jinsi watu tulivyo tabia sugu huwa ni vigumu kuacha kwa kuambiwa na mtu mwengine ila ni virahisi kuacha kwa kudhamiria wewe mwenyewe.
Ufahamu kila mtu anao kwa uelewa wangu mtu hufanya maamuzi kupitia ufahamu wake na ndio maana mtu ili aweze kuacha tabia sugu ni lazima aseme na ufahamu/akili yake.
Ni vigumu mtu kumwamulia mtu kitu pasipo yeye kuamua.

Kwa mleta mada punyeto pia ni tabia na kuicha kwake mtu hawezi kuacha kama hajadhamiria mwambie rafiki yako yeye mwenyewe kwanza aseme na ufahamu wake na aweke dhamira ya kuacha.
Pili mazingira asiwe ktk mazingira ya mda mrefu ya kumruhusu yeye kufanya hicho ktendo lkn mimi naona hili halinanguvu sana kama akisema na ufahamu wake akajielewa na kuweka dhamira ya kuacha punyeto/tabia yoyote sugu.
WE DHAMIRIA TU NENA NDANI YA UFAHAMU WAKO UELEWE UNATAKA NINI NA HUTAKI NINI
Yangu ni hayo tu...
 
KWANI KA UGONJMA HAKA KANAWAGUSA WANAUME TU?WANAWAKE HUWA HAWAJICHUI?
 
Back
Top Bottom