TheThreatTr
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 339
- 13
Nataka natural
Call me 0654158574
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka natural
Inakuwajee?
Kuna rafiki yangu ni mpiga nyeto ballah.
Sasa kapata mpenzi, so anaogopa kushiriki nae tendo kwa sababu kwa muda mrefu kawa addicted wa punyeto, since miaka 17 mpaka now ana 22.
He told me alipokuwa faragha na mpenzi wake hakupata stimu mpaka alipopata blowjob.
Lakini wakati anaingiza ndani ya Vutu, goma hapo hapo ikalala bila ya kupump.
Mnamshauri nini huyuu?:decision:
Na uvivu wetu wa kusomaHuu uzi upo poa sana japo ni mrefu sana lkn tatizo hilo na kubwa zaidi kwa atakae jua umuhimu sio ishu kusoma na kuelewa maana kila kukicha kila m2 anatangaza anadawa na kutoa namba bigup sana mkuuu tupe zaidi!!!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?
Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.
naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa