Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubii umeyajulia wapi haya, inawezekana kabisa wanawake wengi siku hizi wamekuwa na tabia hiyo inawafanya kukosa hamu ya tendo la ndoa, mimi yamenitokea umeenda na msichana faragha unajitahidi kumuweka vizuri lakini yeye yupo yupo tu ka zigo vile wala hana hamu na hata uke wake upo upo tu ka gunzi la mahindi duuuuu! niliondoka nikamwacha upo uchi kabisaaaaa kitandani.Kama ilivyo kwa jinsia ya kiume, kuna wanawake pia ni wahanga wa kufanya punyeto kwa kutumia vifaa tofauti tofauti.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua;
1. Inaharibu kizazi
2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara
3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo
4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu
5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto
6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.
7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.
8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.
9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara
10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.
R
Rubii umeyajulia wapi haya, inawezekana kabisa wanawake wengi siku hizi wamekuwa na tabia hiyo inawafanya kukosa hamu ya tendo la ndoa, mimi yamenitokea umeenda na msichana faragha unajitahidi kumuweka vizuri lakini yeye yupo yupo tu ka zigo vile wala hana hamu na hata uke wake upo upo tu ka gunzi la mahindi duuuuu! niliondoka nikamwacha upo uchi kabisaaaaa kitandani.
kweli ati!! mimi nikimpata mtu aliye vizur mbona atainjoi huwa napeleka kunako vizuuuuuuuuuuri mpaka atoe chozi ndipo nachomoa mtoto anatamani nisinyanyuke kozi nazijua kona vilivyo, tena awe anatoa ka sauti fulani ka mguno duuuu hapo atafurahije nitampa nakusema sijawahi pata shughuli tamu ka ya leo......Ha ha haaa et uke kama gunzi jamani pole
Vidole vya nini wew ukisikia hamu njoo PMJe ukitumia vidole navyo vinaharibu uzazi au vinalegeza uke?
Tatizo lake ni psychological mshauri atafute dakitari wa masuala ya uzaziAkimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
Dada mazoezi ndo dawa ya upuuzi wote huo trust me. Aanze tizi la uhakika asubuhi na jioni. Ndani ya wiki 3 tu utaniambia. Lakini sio mazoez eti kunyanyua chuma kuvimbiana. Mazoez ya viuno vyote vya mwili sana sana ya kumpa pumzi na kujenga stamina. Automatically Blood circulation itakuwa inatake place vizuri ndani ya uume wake na utakuwa unasimama kwa nguvu. Hakuna mchawi. Hata mimi nliwahi kutaka kufika huko ila sasa hivi ukinipa mzigo utafurahi na roho yakoNilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili, ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24). Ni kijana mtanashati, mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha.
Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la Erectile Dysfunction (jogoo hawiki), yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak. Nikamuuliza nini tatizo, hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically.
Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani, so I understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just because of the pressure ya kupona haraka.
Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivyoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.
Na pia tatizo jingine ni kuwa ameloose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake, kwahiyo muda wote he questions my true feelings, jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi, najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.
Sasa wadau swali langu ni je, hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona, yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida?? Na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??
(This is a serious question) thanks in advance