Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Chakula ya watoto?
Kama sina watoto?
Kama walishaacha kunyonya?
Kwa hiyo baba watoto asifaidi mwili wangu kisa nini? Watoto.

Itakua na wewe mtoto. :-D
Yaani mume wako anyonye matiti ambayo na watoto nao wananyonya...??? You must be joking everhurt....
 
Punyeto inakondesha sana kwa sababu unaweza kufanya anytime ukijisikia sasa unapofanya mara kwa mara sole nutrients za kujenga mwili zinatumika na mtu kukonda sana
 
Nilipiga punyeto bila kufundishwa tena nikiwa wakati wa balehe na ilikuwa bwenini...nilitumia mafuta ya mgando ya kujipaka nikamix na lotion. Nilifanya mara 3,siku moja nikajaribu kupiga na sabuni bafuni....dushe liliuma haswa na kuvimba kumbe sabuni iliingia kwny katundu pale.

Nilichukia punyeto kuanzia hapo kwani nilikosa raha na dushe kuuma.

Mpaka leo nikikosa mwanamke basi night dreams inamaliza mambo yote.
 
Acheni mzaa puli mbaya.Mfano mi nilipata DED -Delayed Ejaculation Disorder yaani nachelewa kukoj.oa.

Pili kiuno kilikuwa hakiishi kuniuma.

Tatu fatigue kila saa siachi kupiga mihayo.

Nne demu wangu aliniona nikafadhaika sana.

Tano huwa nahisi kama kichwa kinauma au misuli kuvuta kwa mbali.

Sita nachelewa kazini.

Saba najishtukiajishtukia.

Nane inatia uvivu sana yaanj utaahirisha issue nyingi.
Mzembe wewe..[emoji57]
 
Watu tumetandika punyeto tokea vidudu hadi chuo kikuu na bado show nasimamia dk 90 ka mkongo man hizo effects ww umezitoa wapi
 
utafiti huu unaenda hadi kwenye nyeto zakupigiswa na manzi wakati wa mgegedo au zile nyeto za jamaa peke yake
 
Back
Top Bottom