Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Uwa nakaza nisitembelee lakini mhyaani acha kabisa omba mungu ilo lipepo lishindwe na ukinunua bando usitembelee site za porn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwa nakaza nisitembelee lakini mhyaani acha kabisa omba mungu ilo lipepo lishindwe na ukinunua bando usitembelee site za porn
Uliachaje, au kuna tukio lilikukuta ikapelekea kuacha?mi sitokaa rudia hiyo kitu na ninachukia sana porn kwa anayehitaji kuacha kwa kiroho saf tupeane ma contact tupeane ma hope
tukio moja matata sana lilinipelekea kuachaUliachaje, au kuna tukio lilikukuta ikapelekea kuacha?
Hahahahahah hiyo lazima umempata mtu alafu kufika sehemu ya tukio jamaa hasimamitukio moja matata sana lilinipelekea kuacha
ndio hivyo yaan ila baada ya kuacha miez sita nilipiga mashine kiroho safi ni swala la kiakili kwa asilimia kubwaHahahahahah hiyo lazima umempata mtu alafu kufika sehemu ya tukio jamaa hasimami
So bro ukawa unajipimia......fanya uamuz unaaweza acha.Hii mambo ilinishinda kuacha aisee, Uchanguzi mkuu 2015 nilipiga ya mwisho nikasema na huu uchanguzi kinaweza Tanzania kuna weza kukanuka mda wowote nikasepa na huko nitakako sepea nikakosa sehemu ya kwenda kutimiza haja yangu ya nyeto, cha kushangaza juzi mwezi wa 5 nimefuliliza wiki napiga tu wakati nilisha kaa mda mrefu bila kupiga hii kitu! Ukisha kuwa mhanga yaani unakuwa na dharau kwa wanawake balaa
Teh teh teh teh teh..........Nimenyafanya hivyo kama mara 100 hivi, tena naandika kabisa kwenye diary kwamba leo mara ya mwisho, ila siku hamu ikija unasahau kila kitu
Anakata tamaa hata hajajaribu.So bro ukawa unajipimia......fanya uamuz unaaweza acha.
Vuta chombo ndani, utajikuta unaacha tu
Nimecheka sana ulipo sema ukiwa mpigaji unazalau wanawakeHii mambo ilinishinda kuacha aisee, Uchanguzi mkuu 2015 nilipiga ya mwisho nikasema na huu uchanguzi kinaweza Tanzania kuna weza kukanuka mda wowote nikasepa na huko nitakako sepea nikakosa sehemu ya kwenda kutimiza haja yangu ya nyeto, cha kushangaza juzi mwezi wa 5 nimefuliliza wiki napiga tu wakati nilisha kaa mda mrefu bila kupiga hii kitu! Ukisha kuwa mhanga yaani unakuwa na dharau kwa wanawake balaa
Watu hawapo serious kabisa.ni wewe tu uliamua kupiga kwani kuna mtu alikulazima ukisema naacha ukaamua kweli unaacha ichukie halafu utaacha au endelea nayo usipotaka jiua bas utaacha
Nipe mbinu nijitoe maana mwisho jana nimestua dahndio hivyo yaan ila baada ya kuacha miez sita nilipiga mashine kiroho safi ni swala la kiakili kwa asilimia kubwa
ukisema mwisho jana ulishtua utapiga leo ukijidanganya eti utamu ukimaliza umeichosha akili yako kwa kuvuta hisia ambazo sio asilia unajimaliza na ukiendelea zaidi na zaidi utakua likitu la ajabu utakua huna nguvu kimwili,uwezo wa kufikiri na pia utajichukia sanaa ukitaka kuacha tafuta muathirika mwenzie aliepona akupe ushaur ni vyakula na mazoez kegel na kuondoa stress kujenga mazoea ya kujamiiana na mwanamje(tafuta mpenzi 1) utaacha mazima utakua dume la mbeguNipe mbinu nijitoe maana mwisho jana nimestua dah
Endelea man ila utarudi hapa unaliaPuli raha bhana unajipimiaw
Madhara ni kupoteza nguvu za kiume.Puli raha bhana unajipimiaw
Hayo mazoezi ya kegel ndo unafanyaje mkuu?ukisema mwisho jana ulishtua utapiga leo ukijidanganya eti utamu ukimaliza umeichosha akili yako kwa kuvuta hisia ambazo sio asilia unajimaliza na ukiendelea zaidi na zaidi utakua likitu la ajabu utakua huna nguvu kimwili,uwezo wa kufikiri na pia utajichukia sanaa ukitaka kuacha tafuta muathirika mwenzie aliepona akupe ushaur ni vyakula na mazoez kegel na kuondoa stress kujenga mazoea ya kujamiiana na mwanamje(tafuta mpenzi 1) utaacha mazima utakua dume la mbegu