Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Aiseee nimependa faida,ila mbona ukifululiza kugegeda,punyeto waweza kesha hata.bao halitoki mapema

Inachosha kwa sasa,tofaut na enzi hizoo shulen,iyunga boyz
Mkuu mkuu umenikumbusha kitambo sana mambo ya ubozin Iyunga
 
OYOOOOOOOOOO CHAPUTAAAAA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEE HAKUNA MADHARA KWA PUNYETO NA SAIZI TUNAFANYA INTERNATIONALLY HATUFANYI LOCALLY KWA KUTUMIA SABUNI ZINA CHEMICAL TUNA NJIA ZETU[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] KARIBUNI CHAPUTA MIE MWENYEKITI WA CHAPUTA KANDA YA KASKAZINI MIKOA YA ARUSHA MANYARA....
 
Habarini, nimeona niwashirikishe nilichokisikia toka kwa mkufunzi wa masuala ya mahusiano na ngono kama alivyokuwa akitoa semina katika kipindi cha "TED Talk show".



UKWELI.

1. Wale wale walio katika mahusiano wana nafasi kubwa ya kutaka kujaribu punyeto kuliko wasio katika mahusiano.
2. Mapenzi ya jinsia moja yanahusishwa kwa kiwanngo kikubwa na punyeto.
3. Wanaume wanapiga sana punyeto kuliko wanawake.
4. Vijana wanapiga sana punyeto kuliko wazee.
5. Wenye wasili ya ngozi nyeupe wanapiga sana punyeto kuliko ngozi nyeusi.
6. Kadri mtu anavyozidi kuwa na elimu kubwa ndivyo uwezekano wa mtu huyo kupiga punyeto huongezeka
7. Punyeto ni njia pekee ya kufanya ngono salama.
Punyeto hupunguza msongo wa mawazo
8. Karibu asilimia 95 ya wanaume wameshawahi jaribu punyeto katika maisha yao, halikadhalika ni asilimia 89 kwa wanawake.
9. Punyeto husababisha matatizo ya kiakili kama tuu utaendekeza. Maana wengine wanaweza piga punyeto hata muda wao wa kufanya kazi nk




UONGO.

1. Wanawake wanaotegemea Vitetemeshi katika
2. Punyeto katika umri mdogo hakuchangii mtoto huyo kuwa na mihemuko ya kimapenzi hapo baadae.
3. Punyeto kwa kiwango kikubwa hakisababishi matatizo ya kiafya kwa maana ya magonjwa. bali yasababishayo matatizo ya kiafya katika mchakato mzima wa punyeto ni vile vinavyotumika katika mchakato mzima wa punyeto ( kama vile vilainishi, Mafuta, mikono michafu n.k )



Hapa nimeyaweka baadhi tuu, Hayo pamoja na mengine mengi, pitia katika link ya video niliyoiweka mwanzoni mwa huu uzi ujionee na kusikia mwenyewe.


Kupiga punyeto ni dhambi. ni dhambi ya zinaa/uasherati.

Nimeishia hapo.

Wazungu wengi wanapenda sana hiyo kitu. Mpaka kwenye makanisa wapo wengi wanaunga mkono kama njia ya kuzuia zinaa na wapo wengi kama mimi tumaosimama na kusema kupiga punyeto ni dhambi kwa mujibu wa majibu ya Bwana Yesu.

Mathayo 5..

Mafundisho Kuhusu Uzinzi
27 “Mmesikia walivyowafundisha watu wa zamani kwamba, ‘Usi zini’. 28 Lakini mimi nawaambia: ye yote atakayemwangalia mwa namke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 29 Jicho lako la kulia likikufanya utende dhambi, ling’oe ulitu pilie mbali. Ni afadhali upoteze sehemu ya mwili wako kuliko mwili mzima utupwe Jehena. 30 Na kama mkono wako wa kuume ukiku fanya utende dhambi, ukate uutupilie mbali. Ni afadhali upoteze sehemu ya mwili wako kuliko mwili mzima utupwe Jehena.

31 “Pia mliambiwa kwamba, ‘Mtu ye yote anayemwacha mkewe ampe talaka.’ 32 Lakini mimi nawaambia, ye yote atakayempa mkewe talaka isipokuwa kwa kosa la uasherati, anamfanya mkewe mzinzi. Na ye yote atakayemwoa mwanamke aliyepewa talaka anazini.”

Bye!
 
SEX is in your MIND.
SEX is the SPIRIT.
SEX destroy a vision of MIND .
(Meditation)

NTAKUA KUELEZA SIKU NYINGINE.
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
 
Anything too much is hamful....yapo mazingira yanayosababisha mtu upige punyeto na si mda wote wala siku zote.
Ko ni nzur kama itafanywa kistaarabu na kwa virainishi ambavyo havina chemical hatati
 
Jamani punyeto ina raha yake, msitutishe, tuacheni tupige tu kwani raha si unajipa mwenyewe au inanunuliwa?
 
Punyeto tena on the new thread It is on fireeeeee
Ntarudi baadae kupovika
 
Screenshot_2016-12-17-17-03-43.png
hiyo ya blue ni mishipa vein ya kuzuia damu isitoke na hiyo red artery ya kuingiza damu ukipiga punyeto unalegeza vein uune unalala uken au kabla sababu damu inatoka
 
Pole sana,hayo ni kati ya matokeo ya mchezo huo mchafu wa kipepo.Hata hivyo upo uponyaji kwa Yesu.Hakuna analoshindwa.Tafuta mtumishi wa kweli wa Mungu sio wa aina ya akina Lusekelo akusaidie kwa maombi.

Mkuu umesema kweli; Nilikuwa na tatizo kama hilo nikabahatika kupata ushauri nasaha kutoka kwa Mtumishi mmoja wa Mungu. Kwa kweli alinisaidia na kunijenga mno. Sasa tatizo limeisha kabisa. Kwa kweli huyo mtumishi wa Mungu yuko vizuri sana kwa ushauri. Natamani ungewasiliana naye ni kwa vile siwezi tu kuweka namba yake ya simu hapa. Ni-pm nikupe contact zake atakusaidia sana
 
OYOOOOOOOOOO CHAPUTAAAAA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEE HAKUNA MADHARA KWA PUNYETO NA SAIZI TUNAFANYA INTERNATIONALLY HATUFANYI LOCALLY KWA KUTUMIA SABUNI ZINA CHEMICAL TUNA NJIA ZETU[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] KARIBUNI CHAPUTA MIE MWENYEKITI WA CHAPUTA KANDA YA KASKAZINI MIKOA YA ARUSHA MANYARA....
Naskia mmegundua njia mpya ya kutumia NZI
 
Back
Top Bottom