Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Tehetehetehe mkuu umenichekesha sana ulivyosema unaweza kuwekwa kwenye kundi la kina dimpoz...

Kwa hiyo mkuu baada ya kuacha ulirudishaje uimara wako kama mwanzo??
kegel exercise na vyakula ndo siri ya mafanikio,sasa nipo kuwarudia wale wote ambao waliniona kibisa nilipokuwa nao kwa kushindwa kuwapa mkuyenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni hari inayojitokeza kwa mwanaume hasa pale unapokuwa na wacwac au woga! Ukihingiwa na hofu hata kwa dawa huwez kucmamisha! Na historia inajionesha kuwa bado ni mgeni katika mmb hayo hivyo bado unaogopa.ushauri,jiamini chukua muda kabla ya tendo lenyewe ili upate muda wa kumzoea mwenzio. Na jipe maandalizi binafsi lakini pia muandae mwenzio au muandaane ili kuleta hisia karibu na kufanya tendo huku akili zenu zikiwa katika hiyo hari ya kujamiiana. Fanya hayo, utapata matokeo mazuri. Wengi tumetokea huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaga iyo hata ka ngurue kamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HABARI YENU WANAJUKWAA,

Matone ya mwisho ya mkojo wangu huambatana na damu, kila baada ya kukojoa. Hii hali hujitokeza tu! Baada ya kupiga punyeto. Na imedumu kwa muda mrefu sana tangu nilipoanza kuizoea punyeto. Ina takribani miaka 10+ sasa.

Mwanzoni nilikuwa naogopa sana, lakini uwoga uliondoka taratibu kadiri siku zilikuwa zinasonga, na kufikia wakati nikaona ni hali ya kawaida, hakuna tatizo lolote, maana hata sijawahi kusikia maumivu yoyote.

Ipo hivi, siku nitakayopiga punyeto tu! Nikienda kukojoa, mkojo unatoka kawaida, lakini matone ya mwisho yale ya kumalizia kabla sijarudi ndani ya zipu, ndio huwa yameambatana na damu, kiasi kidogo au kingi kulingana mara ngapi nimepiga punyeto hiyo siku. Ila kama sijapiga punyeto, hiyo hali huwa hainitokei kabisa.

Leo sasa! Baada yakupiga punyeto, wazungu wametoka damu. Hii hali imenishtua sana, nimepata wasiwasi huwenda tatizo limekuwa terrible.

Naomba kujua lolote kutoka kwenu kuhusiana na hii hali.

Zaidi.. Nawataka heri ya sikukuu ya Eid waislam wote.

Ahsante
 
chaputa wanaenda kupoteza mwanachama hai.


Pole sana mkuu
Jaribu kuacha nyeto pia wahi kwa daktari aliyekaribu hapo maana hali inaenda kuwa chronic.
 
Wanawake kibao wanatangaza wanatafuta wachumba humu jf bado tu unapiga punyeto jombaa
 
Mkuu utakua unakaza saa mkono wakati unapiga, jaribu kulegeza mkono na kiuno pia tumia mate maana ni natural lubricant..

Nenda hospitali, tatizo limeshakua kubwa hilo!!
 
Mkuu wahi Hospitali Haraka ili tuje tuungane tena Kwenye CHAPUTA tujenge nguvu kazi kwani taifa linahitaji Vijana Nguvu Kazi...

Na Nguvu Kazi Pekee iliyosalama Kwa sasa ni sisi member wa CHAPUTA tu! kwani Maambukizi ya UKIMWI ndani ya CHAPUTA ni 0.0000%..

Mkuu Wahi kwa Doctor ili tusije tukakupoteza Mwanachama wetu.
 
Habari wakuu...

Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 20 nilianza kujiunga hiki chama pendwa cha PUNYETO kwa mwaka wa sita sasa(2011)....wakuu nikiwa miongoni wa vijana wa kike na kiume takribani asilimia 99 waliathirika na suala hili la PUNYETO na kuishi maisha mabaya na majuto sana....

Mambo niliyopitia au experience pindi nilipokuwa nafanya hivi

1.NI JAMBO LA MAJUTO SANA BAADA UFANYAPO(hapa naongelea imani yangu nimeokoka)

2..mara nyingi nilipoanza kila siku nilikuwa napanga lini nitaacha ila siku,mienzi,miaka imeendelea bila kuacha huu mchezo miaka na miaka..

3..ni mchezo ambao nimekuwa nikifanya kwa siri sana na sijui kama mtu analijua hili..

4..Imekuwa sehemu ya maisha yangu kwa kipindi kirefu sana

Kwanini nimekuja hapa..
1..Mungu anisamehe nilitaka kufanya yasiyo mpasa na mdada mmojà hapa uume wangu ulisinyaa kabisa na ulishindwa kusimama kabisa...

2..Punyeto imenifanya nimekuwa mtumwa sana kwa kutotambua thamani ya mwanamke,kuwa mtumwa juu ya mchezo ilifika kipindi mara 3 kwa siku..

3..PUNYETO imenitenga na uwepo na Mungu kwa waliokuwa na roho mtakatifu wanalijua hili nilivyoanza tofauti na sasa...


Ushauri wangu..

1..Naombeni kama weww ni mzazi unasoma huu uzi jaribu kukaa na kijana wako kumueleza ukweli juu ya hili la sivyo USHOGA NA LESBIAN itaendelea tu...

2..wewe kama kijana jaribu kuamua toka moyoni kuacha PUNYETO ila amini kwa msaada wa MUNGU akusaidie maana ni ngumu kwa mwili wako kushinda hiki kitu kwa kuwa kinaanzia pia katika ulimwengu wa roho(samahani muda mwingine ntakuja na maandiko)

Mwisho..

Kijana wenu nimeamua kutubu hii dhambi MUNGU anisamehee...Na nimeacha masterbation(PUNYETO)japo sikupenda niache kwa kupaza sauti ila nataka kufanya yafuatayo NAHITAJI KUPAZA SAUTI YANGU VIJANA WATOKEE KWENYE HILI JANGA...

NOTE...COMMENT CHOCHOTE UNACHOJISIKIA NAILEWA VIZURI JF

2ca5b3f6d79c523d697dc6060dc5a42a.jpg
 
Back
Top Bottom