Punyeto ni nini na nini madhara yake?
No any physical effects caused by mustabation.

jiulize kwa nini kila kona mmeandikiwa matangazo kuhusu dawa za nguvu za kiume, inshort hayo mambo yanachangia sana, acha masihara ,toa mchango wa kusaidia wavulana wenzako.
 
No any physical effects caused by mustabation.

u are wrong my dia. misuli klegea ni physical damage hiyo. unapozoea kupiga punyeto misuli ya uume hulegea hivyo kufanya uume kushindwa kusimama vizuri kwa nyakati za mbeleni. the real problem is the technology used in masturbation does not mimic the natural environment of vagina, so guys If m2 angekuwa anatumia kifaa ambacho kinafanana na vagina yenyewe interms of temperature, pressure, lubrication then no any physical damage/effect can occur BUT still thr are some psychological effect.
 
Kuna madhara kwa wanawake wanao shiriki huu mchezo?

Kupiga Punyeto kwa Wanawake

Faida za kujichua/chezea:


1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi)
2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.
3)Kujua "vipele vyako viliko".
4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda.
5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya
UKIMWI
na magonjwa mengine.



Madhara ya kujichua/chezea:


1)Sijawahi kushuhudia wala kusikia tatizo lolote kutokana na kujichaua kiasili.

2)Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos ni kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea "dubwana" hizo, kifo kutokana na "shock" ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha "dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo" kuingia.
Mkuu ukitaka Zaidi Kupiga Punyeto kwa wanawake bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/204901-siri-za-ngono-2.html#post3031514
 
Kuna kipindi fulani niliuliza rafiki zangu kama 40 hivi ambao wameoa au bado,kama hawajawahi kupiga punyeto toka wabalehe..wote walisema walikwisha wahi wengine walianzia shule za secondary especialy form two na kuacha na wengine walinzia vyuoni na kuacha..wengine walinendelea mpaka walipopata wenza wao...wengine wanasema wanapiga hata kama wanafamily tayari.hii inaonyesha kiasi gani wanaume wanafanya sana punyeto japo kwa siri ili wenza wao wasigundue.

na tena hakuna shida yoyote! Mzizimkavu angesema,HAYA YANAWEZA KUMPATA MPIGA PUNYETO lakini si kwamba HAYA YATAMPATA MPIGA PUNYETO! Arekebishe hiyo!
 
wanasayansi hutuambia hakuna madhara.ila kwa uelewa wangu jinsi kujichua kunavyopamba kasi madahara nayo hujitokeza kama mwanaume kupoteza urijali wake au kutofurahia tendo wakati wa kukutana na mwenza wako hii ni kwa wote wanaume na wanawake. Tafiti zinaonyesha 90% of men and 60% of women wamewahi kujichua!
 
You are a Layer kuna madharaa tena makuwa sana

are u a great thinker or sinker? Tusiwe kama comedy ya bungeni. Wanaishia kuomba mwongozo aafu hatoi facts za kuelezea.Mtu asiyejua mpe facts unazozijua.
 
Dah hilo ni tatizo kubwa sana........lina athir sana ubongo.Ukizoea nyeto kuacha ni kazi nzito mnoo
 



Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo.

Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa khasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.

Jambo jingine hatari linalo mkabili mpiga Punyeto ni upotevu wa hisia wakati wa kujichua kwa mfano ili afike kwenye kilele lazima akuze hisia zake kwa kiwango cha juu, pengine kupita ukweli halisi ataokutana nao pindi atakapokuwa na mwanamke faraghani.

Mpiga Punyeto hajitoshelezi mpaka amlete kwenye hisia mrembo kama Miss World kisha amvike utundu wa kimahaba ampe manjonjo hadi mwenyewe atosheke, kwa namna hii mwanaume mwenye kufanya mazoea ya kufanya hisia za wanawake warembo ambao hawezi kuwapata kwa hali halisi anapokutana na kina Mwafulani wa mtaani tena sio mtundu kimapenzi, hapo kamwe hawezi kusisimka mwili na hivyo kujikuta Uume wake husimama kwa kiwango cha chini sana.

Madhara mengine yanayopatikana ndani ya kitendo hiki ni kuumwana sana na kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na macho, madhara mengine makubwa khasa mwanamme anaejichua mara mbili au tatu kwa siku ni kushidwa kuzalisha, hii inatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume kwenye mfuko wa uzazi.

Jamani Tuache kupiga Punyeto

Haya tumesasikia. wale waliokwisha athirika na kupiga punyeto unawasaidiaje?
 
Huku ni kuingilia chama chetu na kutaka kutuvuruga tu.....CHAWAPUTA oyeee


oyeee! kuanzia nianze balehe nalikung'uta daily, mpaka nilipofika secondary magamba boys, hadi tosamaganga boys mpaka UCLAS-boys(sasa ardhi university, enzi hizo mademu wakuhesabu) sijapungukiwa na nguvu za kiume wala kukosa ufundi kwa wale ninaokutana nao, nimeacha puli mara tu nilivyooa, sasa mke ana mimba ya miezi 8, nimeurudia puli hadi atakapojifungua na kuwa fit tena, inanisaidia sitongozi vimalaya, na nikitongoza kakiringa ringa sibembelezi nakapotezea, CHAWAPUTA OYEEEEEE......!! mzizi mkavu ni sawa na mti mkavu usiochimbwa dawa ila leo kachemka.
 
oyeee! kuanzia nianze balehe nalikung'uta daily, mpaka nilipofika secondary magamba boys, hadi tosamaganga boys mpaka UCLAS-boys(sasa ardhi university, enzi hizo mademu wakuhesabu) sijapungukiwa na nguvu za kiume wala kukosa ufundi kwa wale ninaokutana nao, nimeacha puli mara tu nilivyooa, sasa mke ana mimba ya miezi 8, nimeurudia puli hadi atakapojifungua na kuwa fit tena, inanisaidia sitongozi vimalaya, na nikitongoza kakiringa ringa sibembelezi nakapotezea, CHAWAPUTA OYEEEEEE......!! mzizi mkavu ni sawa na mti mkavu usiochimbwa dawa ila leo kachemka.
Mkuu mkono wako huo utaota mimba kwa kupiga hiyo CHAWAPUTA shauri yako na hiyo CHAWAPUTA
 
Back
Top Bottom