na kwa wanawake ina madhara gani
ni Pm tutazungumza mengi ninayo yajua katika hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kwa wanawake ina madhara gani
kwani yeye swali lake ameku PM?ni Pm tutazungumza mengi ninayo yajua katika hilo.
kwani yeye swali lake ameku PM?
kwani yeye swali lake ameku PM?
No any physical effects caused by mustabation.
No any physical effects caused by mustabation.
Kuna madhara kwa wanawake wanao shiriki huu mchezo?
Kuna kipindi fulani niliuliza rafiki zangu kama 40 hivi ambao wameoa au bado,kama hawajawahi kupiga punyeto toka wabalehe..wote walisema walikwisha wahi wengine walianzia shule za secondary especialy form two na kuacha na wengine walinzia vyuoni na kuacha..wengine walinendelea mpaka walipopata wenza wao...wengine wanasema wanapiga hata kama wanafamily tayari.hii inaonyesha kiasi gani wanaume wanafanya sana punyeto japo kwa siri ili wenza wao wasigundue.
No any physical effects caused by mustabation.
You are a Layer kuna madharaa tena makuwa sana
Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo.
Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa khasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.
Jambo jingine hatari linalo mkabili mpiga Punyeto ni upotevu wa hisia wakati wa kujichua kwa mfano ili afike kwenye kilele lazima akuze hisia zake kwa kiwango cha juu, pengine kupita ukweli halisi ataokutana nao pindi atakapokuwa na mwanamke faraghani.
Mpiga Punyeto hajitoshelezi mpaka amlete kwenye hisia mrembo kama Miss World kisha amvike utundu wa kimahaba ampe manjonjo hadi mwenyewe atosheke, kwa namna hii mwanaume mwenye kufanya mazoea ya kufanya hisia za wanawake warembo ambao hawezi kuwapata kwa hali halisi anapokutana na kina Mwafulani wa mtaani tena sio mtundu kimapenzi, hapo kamwe hawezi kusisimka mwili na hivyo kujikuta Uume wake husimama kwa kiwango cha chini sana.
Madhara mengine yanayopatikana ndani ya kitendo hiki ni kuumwana sana na kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na macho, madhara mengine makubwa khasa mwanamme anaejichua mara mbili au tatu kwa siku ni kushidwa kuzalisha, hii inatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume kwenye mfuko wa uzazi.
Jamani Tuache kupiga Punyeto
Huku ni kuingilia chama chetu na kutaka kutuvuruga tu.....CHAWAPUTA oyeee
Haya tumesasikia. wale waliokwisha athirika na kupiga punyeto unawasaidiaje?
Mkuu mkono wako huo utaota mimba kwa kupiga hiyo CHAWAPUTA shauri yako na hiyo CHAWAPUTAoyeee! kuanzia nianze balehe nalikung'uta daily, mpaka nilipofika secondary magamba boys, hadi tosamaganga boys mpaka UCLAS-boys(sasa ardhi university, enzi hizo mademu wakuhesabu) sijapungukiwa na nguvu za kiume wala kukosa ufundi kwa wale ninaokutana nao, nimeacha puli mara tu nilivyooa, sasa mke ana mimba ya miezi 8, nimeurudia puli hadi atakapojifungua na kuwa fit tena, inanisaidia sitongozi vimalaya, na nikitongoza kakiringa ringa sibembelezi nakapotezea, CHAWAPUTA OYEEEEEE......!! mzizi mkavu ni sawa na mti mkavu usiochimbwa dawa ila leo kachemka.