Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Tatizo unaonyesha kwamba unampenda sana huyo dada, sasa jifanye kama humpendi ndiyo utafanikiwa kumfikisha penyewe, halafu umuandae vya kutosha. Elewa kwamba hawa wenzetu wanachelewa kufika kileleni kama siyo kuwa makini atakukimbia hasa akikutana na watalam wa BoMBI HII nyumbi hii.
Kwa hiyo mdogo wangu piga moyo konde wala sioni kama unashida sana isipokuwa ni saikological zaidi kuliko physiological ok.
 
Haaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaa umenikumbusha mbali mkuu eti awaze madeni na kodi ya nyumba PATAMU HAPO!
 
ila imeelezwa kuwa kama mwanaume huzidi mara 4 kwa wiki basi kiafya inakubalika,hii ni habari njemaaa kiasi hasa sisi ambao bado hatuja oa!!!
 
ila imeelezwa kuwa kama mwanaume huzidi mara 4 kwa wiki basi kiafya inakubalika,hii ni habari njemaaa kiasi hasa sisi ambao bado hatuja oa!!!

nyeto ni nouma!usijaribu ndugu yangu.mi nimewah kuwa na mademu wa2 lakini hata nitiane vp bila nyeto usingiz sipati.
 
Sikiliza dogo grim liapa docta jf anataka kuuza kitabu tu lakini nyeto 1-iko very econom 2-inatoa stress(kukataliwa.wanawake walinga utazani chakula)3-NO magonjwa u.t.i ---- malaya sana tamaa 4-unakuuna skendo(wizi.umalaya.uwongo) we peace. Unadinda cku zt
 
Ki ukweli hli swala lnaonysha kuwa ni pana sana hasa pale ambapo wataalam wnapokuja na majibu tofauti juu ya faida na madharaya punyeto na usgaji kwa wanaume na wnawake,hivyo 2naomba ma dr wa Jf tafadhali mje na majbu sahihi ili kuondoa utata huu kwani kutokana na maelezo haya kujitosheleza na amini kwa wengne ni changamoto na wengne ni kichocheo kwao.
 
Kupiga punyeto ni kitendo ambacho kwanza ni kinyume na mafundisho ya Mungu, ni jambo la ajabu kuweza kukidhi haja ya kimapenzi kwa uwepo wa jinsia moja bali jinsia nyingine ikiwa akilini mwa jinsia husika. Kichaa huweza kuwa na uwezo wa kuweka taswira ya kitu akilini mwake asiweze kujua kama taswira ile haiko katika uhalisia wake. Anaweza akabishana na yeyote ikiwa asiyeona atajitokeza akamwambia "Unachodhani kipo, hakipo" Ushauri huu kichaa hataupata kwani hakuna anayeweza akaketi na kichaa barabarani kumpa ushauri kama huo maana anaogopa kudhaniwa naye ni kichaa.

Tewnde kwenye mada ya punyeto: Ni Kama alivyo kichaa kudhani unaye binti mzuri mbele yako ukifanya naye mapenzi kumbe binti huyo ni akili zako. Kwa hiyo wapiga punyeto waliowengi tafiti zinaonyesha wanakumbwa na aina fulani ya kichaa. Pili nguvu zao za kiume kwa wanaume hupungua. Pia hamu yao ya kufanya tendo la ndoa hupungua kwasababu ya usugu waliousabaisha katika ngozi yao laini.

Ili ujue kupiga punyeto ni uwezekano wa kuwa kichaa fanya hivi jipige picha ya video ukitenda tendo hilo kisha baada ya hapo angalia movie yako kisha chukua hatua.
 
Kijana pole sana na wala usijione uko peke yako 2po wengi twajificha 2 ila kwa ufupi penda ku2mia sana asali na tangawizi changanya asali tangawizi na mdalasini then kutwa mara 3 kijiko kimoja kaka utanipa jibu baada ya wiki tu na nyengne kwa msaada nenda ktk busha ukanunue makende ya beberu kisha piga supu ya maana then ujipiga makuli m0ja la pweza hapo umemaliza ibilis nyeto but kuna tahadhar uwe umeiyacha nyeto kabisa
 
Ndugu dfreym hapo kwa namba 5 ya ushauri yako ndo neno la kitaalam hilo? Withdrawal may mean a lot more than hiyo unayoiongelea. Nafikiri neno la kitaalam ni "coitus interruptus"
 
Rtd

Kijana wewe ni dume la mbegu kabisa na haujaathirika na kitu chochote kile. Kwanza kupiga Punyeto haina madhara yoyote. Pili kuwahi kumwaga haina uhusiano na punyeto ulizopiga kipindi kilichopita.

Ushauri wangu ni huu. Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa hakuna kitendo kinachofanyika katika mwili wako bila kuongozwa na fahamu zako. Ukijamba ni fahamu zako zinazotoa ruhusa kufanya kitendo hicho. Ukikooa ni fahamu zako zinazofanya hivyo. Hivyo basi hata kumwaga wakati wa tendo la ndoa kunaongozwa na fahamu zako.

Kwa mtaji huu ni lazima u-control fahamu zako wakati unafanya wa tendo ndoa. Ukianza kwa juhudi kubwa na kupoteza fahamu mapema, utamwaga mapema. Lakini uki-control mapigo yako na ya mwenzako na vilevile kutopoteza fahamu, utaelewa ni kipindi gani mwafaka uongeze juhudi hili na wewe ufike kileleni.

Kufanya mazoezi kunaongeza stamina na kuongeza mzunguko wa damu, ni baadhi vitu muhimu katika masuala ya mchezo wa ndoa. Hivyo fanya mazoezi na kula vyakula vizuri kwa afya yako. Pamoja na hayo uwe unaongea na mpenzi wako kuhusu jinsi ya kufanya mapenzi hili wote mridhike. Usifanye tendo la ndoa kama kumkomoa mtu.

So long,

Z10.

:nono: I don't think anaongelea 'tendo la ndoa'!!!

Anaongela Kuzini...na kwa ufahamu wangu solution yako haitomfaa. Sababu za kumwaga mapema wakati unazini ni tofauti kabisa na sababu za kumwaga mapema wakati wa tendo la ndoa..hivyo nazo zina different solutions.

Otherwise, ushauri wako ni mzuri sana kwa wana ndoa!:yo:
 
Inakupandikizia roho za kukataliwa, kupoteza kibali mikosi na mabalaa katika mambo yako na pia kukuharibia pale unapojaribu kuanzisha uhusiano rasmi au utajikuta unaachana na mwenzi wako bila hata kupenda , kuishiwa kipato na mwenzio kuanzisha uhusiano si kwamba humridhishi ila tu ili muachane , inakujengea kudhalaulika, kukosa marafiki wa kawaida na peace of mind ili uwaze hiyo kitu tu. Yote ni kwa sababu hiyo kitu ina-attract roho za giza sana nazo zikiona ziMepata mwanya tu zina -capitalize on it ili ziendelee kukupelekesha huko kwa interest zao .kwa hiyo hazitakuacha uwe na relationship stable ili uendelee na huo mchezo. its very spiritual na ujue kuna uhai unakuwa implicated pale na mapepo wana utilize ile spiritual part za hizo un-contaminated sperms katika ulimwengu wa roho .Take it from me from another level of knowledge.

In short inakufanyia cut -off na ulimwengu wa roho. Hivi vitu viko too spiritual utakapojaliwa kupata upeo kidogo wa mambo ya kiroho utanielewa. Wewe test mwezi mmoja acha mwezi mwingine utaona tofauti kubwa sana katika mambo yako. pia inakujengea tabia ya kukosa confidence ya ku - 'attack' wanawake unaowapenda. Mwisho wa siku unajenga tabia ya kutamani hadi vitoto vya darasa la nne.

Chanzo cha ugumu wa kuacha.

kushinda tabia ambazo zimeambatana na ubongo ni kazi halafu jua kabisa control ya hii tabia ukiisha ianza haitokei tena kwenye ubongo. inakua inbuilt kwewnye pituitary grand ambayo kwa uelewa wangu wa bios, pituitary ni superior kwenye ubongo, ina uwezo wa kukomandi ubongo ukafuata.
issue ya pili kwa kusababisha ugumu wa kuacha hii tabia ni hizo issue za kiroho. huwezi kushinda kitu cha rohoni usipokwenda rohoni.

Jinsi ya kuacha,
jiepushekuwa mahali pa faragha peke yako kwa mfano kujipumzisha ndani, kwenda kuogo usiku sana.
kuangalia picha chafu, kutamani wasichana

tafuta mwenzi wako na jitahidi kuambatana naye most of the time


spiritual solution

kuondoa nguvu za roho njia ya mkato ni kufunga na kuutesa mwili pia fanya maombi. maombi yanayobomoa falme za giza kirahisi ni ya usiku wa manane sijui kwanini. mwanzo itakusumbua but with time utayaona yale mateso ya kufunga si kitu tena utayachukia mambo ya mwilini na tamaa zake zote
kama tatizo ni zito sana anza kwanza kwa kufunga kidogo kidogo kuu -condition mwili then nenda kina kirefu,, funga hata siku mbili kavu, hiyo tabia itayeyuka tu then you will leave a happy guiltless life
 
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?

Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.


naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa
 
Hata sijui.....
Ila nampa pole tu, na kuweka mental note nianze kuongea na mwanangu kuhusu madhara ya punyeto in case ameanza.
 
Tiba ni kuacha masturbation.akiacha mashine itarejee kazini.Hajapata physical damage, ila ameathirika kisaikologia.akiacha masturbation, basi.
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?

Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.


naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa
 
Back
Top Bottom