Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kimsingi hakuna madhara. Hata hivyo jibu sahihi linategemea na jjinsi anavyopiga. Anaweza kudhurika kutokana na method au materials anazotumia.
 
kimsingi hakuna madhara. Hata hivyo jibu sahihi linategemea na jjinsi anavyopiga. Anaweza kudhurika kutokana na method au materials anazotumia.

asante sana kwa mchango wako sasa ni method gani zina madhara na ni zipi zinaweza kuwa nzuri

asante sana
 
Kupungukiwa na nguvu za kiume na kukosa hamu ya kushrk tndo la ndoa ni baadhi ya badhara yatokanayo na upigaji punyto
 
kupungukiwa na nguvu za kiume na kukosa hamu ya kushrk tndo la ndoa ni baadhi ya badhara yatokanayo na upigaji punyto

sasa hiyo si kwa mtu ambaye hupiga mara kwa mara kwa hiyo hata mtu anayepiga mara chache mno anawezakupata madhara hayo
 
Ndio yapo tena yana effect kubwa unaeza ukakimbiwa na mke kwa kupunguza uwezo wako...
Cha kufanya acha kupga hayo makitu na ufanye mazoez uache kuangalia picha zinazohamasisha...ukishndwa kabisa fanya mpango uoe
 
Hakuna madhara mwana endelea tu Bora nyeto kuliko Ukimwi.
wewe Jina la ID yako linanifanya niamini kuwa huwezi kuacha haka kamchezo soon.
Chozi Jeusi
 
Last edited by a moderator:
Je, kuna madhara yoyote unapopiga punyeto?
Hiyo papuchi ya kutengeneza kwa mkono na sabuni huwa unaibana kwa kiasi ambacho papuchi halisi hazifanyagi hivyo.... Kwa hiyo, hiyo tofauti ndo itakuja kukuletea shida... Mkono wako unaubana kadri unavyokaribia kumwaga, lakini original huwa inabaki na size ile ile whether unakaribia au la...
 
Hiyo papuchi ya kutengeneza kwa mkono na sabuni huwa unaibana kwa kiasi ambacho papuchi halisi hazifanyagi hivyo.... Kwa hiyo, hiyo tofauti ndo itakuja kukuletea shida... Mkono wako unaubana kadri unavyokaribia kumwaga, lakini original huwa inabaki na size ile ile whether unakaribia au la...

acha kabisa
 
iyo ndiyo njia sahihi ya kujizuia na HIV, sasa wadau tupieni ayo madhara ya nyeto ili dogo ajitasmini mwenyewe
 
haina madhara hata kidogo,na mwenye kubisha alete evidence hapa tushare wote.

nasema with confidence haina madhara yeyote. kwa upande wa dini sijui........msikikize kiongozi au mwalimu wako wa dini na pia soma vitabu au misahafu husika, kama juna sehemu inekataza specifically punyeto basi fanya uamuzi kadri utakavyiguswa.

punyeto na iendeleee
 
Back
Top Bottom