Putin, ameanza kuona gharama za ya Vita. Mara ya kwanza alikuwa anasoma sana Threads za JF akapotoshwa?

Putin, ameanza kuona gharama za ya Vita. Mara ya kwanza alikuwa anasoma sana Threads za JF akapotoshwa?

Kwahiyo kwa akili yako unaona Putin anapigana na Nchi moja??? Kwa kifupi Putin anapambana na Nchi zote za Ulaya ndio maana imekuwa hivyo, ingekuwa Ukraine pekee sitaki kusema angetumia muda gani.
Akili ni nywele...
Malizia na Ukraine anapigana na inchi ngapi?
 
Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine.

Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya si Ujinga. Akae wayamalize na Ukraine. Vita si lelemama. Watu walitaka kupima nguvu yake. Ameji expose sana. Bora angebaki vile vile ambavyo tulikuwa tunamwogopea. Akina Yericko Nyerere siku hizi wamekata na tamaa kabisa. Nyie msidhani hata mataifa makubwa yanataka vita. Mwenye kujielewa anaepusha mapema.

View attachment 3087753
Anyway atakuja hapa kukujibu ila pendekezo lako lilikua ailipue Ukraine kwa bomu la nyuklia siku ile ile vita vilipoanza?
 
Anyway atakuja hapa kukujibu ila pendekezo lako lilikua ailipue Ukraine kwa bomu la nyuklia siku ile ile vita vilipoanza?
Kwani alisema angetumia hizo siku chache kumaliza kwa bomb la nyuklia? Alisema anafanya operation na sisi tulitegemea pale ni siku 3 anakamilisha anapumzika. Sasa mwaka wa 3?anyway basi atumie nyuklia.
 
Kwahiyo kwa akili yako unaona Putin anapigana na Nchi moja??? Kwa kifupi Putin anapambana na Nchi zote za Ulaya ndio maana imekuwa hivyo, ingekuwa Ukraine pekee sitaki kusema angetumia muda gani.
Akili ni nywele...
Acha porojo za vijiweni supa pawa kashakuwa exposed tuambie lini atairudisha Kursk hicho tu tayari kishamdiscredit hakuna kitu pale
 
Amekwambia kwamba ameshindwa vita?

Juzi tu kasambaratisha mercenaries kama 600 na leo kachinja tena wengine waliokuwa hotelin
Hua mnamaungo mengi walikuwa wanakula pizza. Yani wanajeshi waishi hotelini?? Vita ni propaganda. Hata adui akikuambia ameanza kushindwa usimwamini wewe endelea kupambana
 
Kweli CCM itaitawala nchi kwa miaka mingi kwa sababu nchi hii imejaa vilaza watupu na wachangiaji wengi wa mada na mtoa mada wanadhihirisha hilo.

Yaani hiyo kauli ya Putin hamuoni ya kwamba ni kama kejeri fulani?
Kwanza huo mkataba wa Instambul ambao Putin anataka ndo uwe msingi wa mazungumzo una mashariti ambao kiufupi Ukraine na nchi za Magharibi haziwezi kuukubali.
Na ikitokea wameukubali basi watakuwa wameshindwa vita.

Pili nchi alizo pendekeza ziwe wapatanishi zote zipo upande wake kwenye mzozo huu japo zina jigamba kutoegemea upande wowote.

Tatu Urusi haijawahi kukataa kufanya mazungumzo na ndio maana huko nyuma zimesha fanyika duru kadhaa za mazungumzo kinacho leta ugumu ni masharti ya kusitisha vita tu ndo yanaleta ugumu.
Wangeongea haya wewe ungeongea nn hapa Leo.... Usiwalaumu
 
Muhimu NAto wamwingize Ukraine kwenye chamalao...harafu tuone Putin kitamtokea nn
 
Kwani alisema angetumia hizo siku chache kumaliza kwa bomb la nyuklia? Alisema anafanya operation na sisi tulitegemea pale ni siku 3 anakamilisha anapumzika. Sasa mwaka wa 3?anyway basi atumie nyuklia.
Pambano la masumbwi likimalizika sec za mwanzo hukasirisha mashabiki wakiotoa viingilio vyao...hata mimi nikipigana na Tyson nitakimbia kimbia ulingoni hadi round ya saba kisha natandikwa konde moja chali..
 
Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine.

Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya si Ujinga. Akae wayamalize na Ukraine. Vita si lelemama. Watu walitaka kupima nguvu yake. Ameji expose sana. Bora angebaki vile vile ambavyo tulikuwa tunamwogopea. Akina Yericko Nyerere siku hizi wamekata na tamaa kabisa. Nyie msidhani hata mataifa makubwa yanataka vita. Mwenye kujielewa anaepusha mapema.

View attachment 3087753
Kwahiyo putin anasoma nyuzi za JF?.. 🤣🤣
 
Kwahiyo kwa akili yako unaona Putin anapigana na Nchi moja??? Kwa kifupi Putin anapambana na Nchi zote za Ulaya ndio maana imekuwa hivyo, ingekuwa Ukraine pekee sitaki kusema angetumia muda gani.
Akili ni nywele...
Ni wapi mleta mada aliposema anapigana na nchi moja?
 
Duh!
Hujui chochote kuhusu mpango wa amani wa Istanbul .
Uzuri ni kwamba Putin ashasema eneo lote lililochukuliwa na Russia haitawahi kuwa Ukraine Tena.
Na si hilo tu, Putin anaitaka Ukrain yote sema kakutana na resistance.
 
Back
Top Bottom