Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

tulishazoea vita vya panzi furaha kwa kunguru hii sasa kinyume chake sijui.
vita vya kunguru shida kwa panzi.
 
Tulia ww
 

Hatari sasa vita imeingia ktk majukwaa mbalimbali ya media, yaani ni propaganda kila upande wa mvamizi kwa kisingizio cha 'kulinda Amani' na aliyevamiwa nchini kwake wote wanatumia njia zote mbadala kushinda ktk uwanja wa vita na pia uwanja wa propaganda kupitia media zote ili kujenga mshikamano ktk raia pia jeshi, kuongeza morali na kutafuta watakaowaunga mkono kupitia huruma n.k
 
Wewe labda you are uninformed Kwa taarifa yako Russia ana ballistic missiles ambazo zinaweza kuhit multiple targets kutoka bara moja na lingine pia anasilaha nyingi za nyuklia ambazo zinatosha kupiga marekani na ulaya Kwa mara moja.
 
Wewe labda you are uninformed Kwa taarifa yako Russia ana ballistic missiles ambazo zinaweza kuhit multiple targets kutoka bara moja na lingine pia anasilaha nyingi za nyuklia ambazo zinatosha kupiga marekani na ulaya Kwa mara moja.
Kwa hiyo zitahit kila Kambi kila Nchi at once ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Kwa hiyo zitahit kila Kambi kila Nchi at once [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ndiyo kwakua kuna namna nyingi ya kurusha makombora vita vya nyuklia ikianza dunia yote inaweza kuharibiwa Kwa Muda mfupi.alafu urusi ndo anaongoza kwenye nuclear na ballistic missiles
 
[emoji599] Ukraineโ€™s Zelensky: โ€œToday I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.โ€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ