Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Mbona kelele nyingi hayo majimbo yanajulikana ni ngome ya Russia mbona hawakuchukua na Kiev yenyewe?

Putin anadai anapeleka majeshi ktk majimbo hayo kulinda amani. Sawa na baadhi ya nchi kupitia umoja wa mataifa / UN zinavyokwenda Dafur Sudan au Lebanon kulinda amani. Ila hapa Putin hajasubiri azimio la Umoja wa Mataifa wala msaada wa kifedha toka Umoja wa Mataifa kwenda kulinda amani .
 
Bila shaka NATO na Russia wote madikteta ingawaje wanatofautiana namna wanavyoendesha udikteta wao.

NATO waliivamia nchi huru za Iraq,syria na afghaaanistan kwa sabab za mchongo na kuondoa utawala uliopo madarakan tena kwa upande wa Iraq viongoz waandamiz wa NATO walikir hadharan kuwa sabab za kuivamia Iraq zilikua za mchongo.

NATO kwa kutumia midege yao huwa wanafanya mashambuliz ya anga ktk nchi huru tena bila ya ridhaa nchi husika na kuua watu kiholela kwa kisingizio cha ugaid na kuishia kuua raia wasio na hatia.
Hawaisemi hii
 
21 February 2022
Makao Mkuu /UN HQ
New York

BALOZI WA KENYA, ALAUMU RUSSIA KWA KUENDEKEZA UKOLONI NA UBEBERU KWA KULAZIMISHA MIPAKA

Balozi wa Kudumu toka Kenya ktk Umoja wa Mataifa Mh. Martin Kimani akiwa anawakilisha Afrika kama mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ameilaumu Russia kutumia ukoloni, dini, rangi na ubeberu kutumika kama sababu ya kuvamia nchi zingine. Ametoa mfano wa bara la Afrika ambalo nchi zake zimegawanya kwa nguvu na tawala za zamani za kikoloni na nchi hizo za kiafrika kushuhudia kabila moja likigawanywa vipande viwili hata vitatu na kutenganishwa na mipaka mipya ya nchi zilizoundwa na wakoloni Afrika. Lakini waAfrika wameamua kusonga mbele na kuikubali mipaka hiyo. Hivyo na Russia nayo inaombwa na kushauriwa iaachane na kasumba ya dola kubwa, ubeberu na ukoloni kwa kuvamia nchi zingine kwa kutumia sababu za kihistoria.

Pia ikumbuke kuwa Russia ni rais wa kiti cha mzunguko / kupokezana cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kipindi hiki cha mwezi February 2022 na pia ni mjumbe wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Maitafa mwenye kura ya veto ambayo ina nguvu ya kusambaratisha azimio lolote linaloazimiwa na Baraza hilo la Umoja wa Mataifa. Mbali ya wajumbe 5 wakudumu ndani ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, pia kuna nchi 10 zisizo wajumbe wa kudumu wanaochaguliwa kwa mzunguko ambazo hazina kura ya veto na siyo wajumbe wa kudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa .


PERMANENT AND NON-PERMANENT MEMBERS​

The Council is composed of 15 Members:

Five permanent members: China, France, Russian Federation, the United Kingdom, and the United States, and ten non-permanent members elected for two-year terms by the General Assembly (with end of term year):

Source : Current Members | United Nations Security Council


Kenya's envoy to UN cites colonial past as he condemns Russian move into Ukraine

Kenya has delivered an emphatic plea to Russia to pursue diplomacy, citing its own history. 'This situation echoes our history. Kenya and almost every African country was birthed by the ending of empire. Our borders were not of our own drawing,' Martin Kimani told the security council. 'Today across the border of every single African country live our countrymen with whom we share deep bonds.
 
Nato wakiingia Inamaana Putin atasimama peke yake?
Nimeona juzi yule Raisi wa Chechnya Ramzov kama sikosei jina nimelosahau anasema anasubiri amri tu ya Putin [emoji23][emoji23] amwambie apeleke majeshi Ukraine, jamaa anamzuka sana [emoji16], huku yanaonyeshwa majeshi yake yanapiga dhikri ya Allah huku barafu inawanyeshea
 
Nimeona juzi yule Raisi wa Chechnya Ramzov kama sikosei jina nimelosahau anasema anasubiri amri tu ya Putin [emoji23][emoji23] amwambie apeleke majeshi Ukraine, jamaa anamzuka sana [emoji16], huku yanaonyeshwa majeshi yake yanapiga dhikri ya Allah huku barafu inawanyeshea
Jamaa wanatuna sasa [emoji3][emoji3]Dah hii dunia kila mtu mbabe sasa
 
Mbona kama tunajisahaulisha namna hii dunia inavyofanya KAZI ?

Kuna kumiliki na kumilikiwa kuna bwana na mtumwa.

Kuna sehemu ambazo Us haiwezi tia pua kuna mahala Russia na kgb haiwezi tia pua zaidi ya kutoa vitisho tuu.

Badoo kuuchukuwa mji wa kiev
 
21 February 2022
Makao Mkuu /UN HQ
New York

BALOZI WA KENYA, ALAUMU RUSSIA KWA KUENDEKEZA UKOLONI NA UBEBERU KWA KULAZIMISHA MIPAKA

Balozi wa Kudumu toka Kenya ktk Umoja wa Mataifa Mh. Martin Kimani akiwa anawakilisha Afrika kama mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ameilaumu Russia kutumia ukoloni, dini, rangi na ubeberu kutumika kama sababu ya kuvamia nchi zingine. Ametoa mfano wa bara la Afrika ambalo nchi zake zimegawanya kwa nguvu na tawala za zamani za kikoloni na nchi hizo za kiafrika kushuhudia kabila moja likigawanywa vipande viwili hata vitatu na kutenganishwa na mipaka mipya ya nchi zilizoundwa na wakoloni Afrika. Lakini waAfrika wameamua kusonga mbele na kuikubali mipaka hiyo. Hivyo na Russia nayo inaombwa na kushauriwa iaachane na kasumba ya dola kubwa, ubeberu na ukoloni kwa kuvamia nchi zingine kwa kutumia sababu za kihistoria.

Kenya's envoy to UN cites colonial past as he condemns Russian move into Ukraine


Kenya has delivered an emphatic plea to Russia to pursue diplomacy, citing its own history. 'This situation echoes our history. Kenya and almost every African country was birthed by the ending of empire. Our borders were not of our own drawing,' Martin Kimani told the security council. 'Today across the border of every single African country live our countrymen with whom we share deep bonds.


22 February 2022
UKRAINE IKIWA MBELE YA BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA YASEMA HAIRAKUBALI HATA INCHI MOJA YA UKRAINE KUMEGWA NA RUSSIA


Russia 'peacekeeping' forces march into Ukraine separatist regions | DW News



The danger of a Russian invasion appears imminent, as Vladimir Putin orders his troops to enter Ukraine's breakaway regions. In an emergency UN meeting, the US said Russia's claim that troops were on a "peacekeeping" mission was "nonsense," threatening Russia with dire consequences for its "unprovoked attack" on Ukraine. The move follows the Russian president's recognition of self-proclaimed separatist territories in eastern Ukraine as "independent." Western countries condemned the decision and vowed new sanctions.
Source : DW News
 
Nimeona juzi yule Raisi wa Chechnya Ramzov kama sikosei jina nimelosahau anasema anasubiri amri tu ya Putin [emoji23][emoji23] amwambie apeleke majeshi Ukraine, jamaa anamzuka sana [emoji16], huku yanaonyeshwa majeshi yake yanapiga dhikri ya Allah huku barafu inawanyeshea
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
21 February 2022
Makao Mkuu /UN HQ
New York

BALOZI WA KENYA, ALAUMU RUSSIA KWA KUENDEKEZA UKOLONI NA UBEBERU KWA KULAZIMISHA MIPAKA

Balozi wa Kudumu toka Kenya ktk Umoja wa Mataifa Mh. Martin Kimani akiwa anawakilisha Afrika kama mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ameilaumu Russia kutumia ukoloni, dini, rangi na ubeberu kutumika kama sababu ya kuvamia nchi zingine. Ametoa mfano wa bara la Afrika ambalo nchi zake zimegawanya kwa nguvu na tawala za zamani za kikoloni na nchi hizo za kiafrika kushuhudia kabila moja likigawanywa vipande viwili hata vitatu na kutenganishwa na mipaka mipya ya nchi zilizoundwa na wakoloni Afrika. Lakini waAfrika wameamua kusonga mbele na kuikubali mipaka hiyo. Hivyo na Russia nayo inaombwa na kushauriwa iaachane na kasumba ya dola kubwa, ubeberu na ukoloni kwa kuvamia nchi zingine kwa kutumia sababu za kihistoria.

Kenya's envoy to UN cites colonial past as he condemns Russian move into Ukraine


Kenya has delivered an emphatic plea to Russia to pursue diplomacy, citing its own history. 'This situation echoes our history. Kenya and almost every African country was birthed by the ending of empire. Our borders were not of our own drawing,' Martin Kimani told the security council. 'Today across the border of every single African country live our countrymen with whom we share deep bonds.
Boya huyo
 
[emoji635] [emoji635] [emoji635] [emoji635] baby baby
 
Silaha zao mikwara yao yote waliyotoa waliamini Russia ataogopa ona misaada yao yote inaweza kuchukuliwa na Russia wao sa ivi wanawaza kuweka vikwazo
Mm sijaelewa jambo moja, haya majimbo ni sehemu ya Ukrain au ni majimbo yaliyo huru kujichagulia?
 
Back
Top Bottom