Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Pro nato kwa viuzi vyenu hivi vya propaganda mpo vizuri,namuombea tu putin aendelee kushikilia hapohapo mpaka muite maji mma
IMG_1089.jpg
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli itawatafuna milele Mbowe na Lisu.

Hata mwaka haujaisha saccos yao inakiona cha moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika Jiwe alikuwa anapotoshwa na kuambiwa ujinga japo yeye kwa kupenda sifa kwake akawa anachekelea akidhani watu wanamkubali, kumbe ni sukuma gang na masikini/wanyonge tu.
 
Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.

=======

  • Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
  • Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
  • Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
  • Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters

Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.

Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.

Kuwafukuza majenerali ni sehemu ya plan B ya Putin kwani amefanya "ovehaul" ya kila kitu.

Pia wakurugenzi wa FSB nao wamewekwa kuzuizini baada ya kugundulika kuwa majasusi wa Russia walio ndani ya Kyiv wengine ni mapandikizi au Moles wa nchi za magharibi na walikuwa wazitoa siri za kijeshi.

Vita ni ujasusi ulotukuka kama Nyerere alivyowapa kazi PK na M7 Iddi Amin akashughuliwa.

Kanali Mahfudhi alikuwa amejaa taarifa za kutosha kuweza kusonga mbele na vikozi vya JWTZ.

Sasa Russia wachukua vijana ambao wengineo ni kwasababu baba au babu alifanya kazi KGB bila kwenda vyuoni kwenye fresh talents.

Ila Russia ni watu wa kuchagama, watashinda hii vita kwa taabu kibabe.

Ila mkuu, usiamini sana hizo habari za kutoka huko Magharibi.
 
Yeye anafikiri ukiwa raisi wa Russia ukipeleka wanajeshi kwy uwanja wa VITA labda wao hawaogopi kufariki. Wanajeshi wanaenda sehemu hawana mazoea nayo. Kinachotokea wanatambulika wanawaua sana na Ndio maana wanaogopa sana. Kama juzi amefariki Jenerali katika uwanja wa VITA, unategemea makruti watasonga mbele pale. Kama MTU anaenda na vifaa vya ramani, vitambuzi vya maadui wapo wapi anauwawa. Labda Putin aende akajioneee mwenyewe binadamu wanavyokufa uko. Binadamu sio roboti
General yupi kafa mkuu maana wakisema kafa badae kaonekana mwingine tena wamesema (tetesi) kafa bado haijathibitika

Huyu aliyekufa ni yupi?
 
Kama taarifa zenyewe hizi ni za Chombo hiki siwezi kuziamini!
Nashangaa mtu anaenda kusoma magazeti ya UK nakuamini wakati anajuwa tu jamaa wamefunga chanel zote ili watulishe matango pori. Ok tuseme ni kweli je uhalisia ukoje huko maana Kyiv yote mahandaki sasa sielewi anayeshinda nani? mficha maradhi kifo ......
 
Putin = Magufuli; makamanda kumbe walikuwa wanaogopa kumwambia ukweli kwa sababu ya ubabe wake kwani anapenda kuambiwa yale yanayompendeza tu matokeo yake sasa wanaagizia mamluki toka Syria baada ya kuona askari wake wanaogopa kuingia kwenye miji.

Kuwafukuza hao majenerali kutazidi kushusha marali ya wapiganaji wake ambao wanazidi kupoteza maisha na zana.

Hatua watakayoingia baada ya hapa ndio itakuwa balaa kwa warusi maana itakuwa ni Urban Guerrilla Warfare.
Putin atakua amegundua hao viongozi Ni mamluki wanauza Raman kwa ukrain
 
Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.

=======

  • Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
  • Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
  • Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
  • Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters

Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.

Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.

Source ni Zelensky na toad Boris Johnson
 
Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.

=======

  • Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
  • Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
  • Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
  • Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters

Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.

Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.

Hii Habari ni uzushi mtupu.. Kwanza eti kasema Nani wa Ukraine???? Halafu majenerali wa FSB... Unajua FSB kazi zake??? NI afadhali ungesema SVR... Na. FSK....na OPESHENI ZOTE ZA KIJESHI NJE YA NCHI HUFANYWA NA.. G. R. U.. ndio military agency inayoandaa na kufanya oparesheni zote nje ya nchi wakiongozwa na kikosi maalum SPETNAZ.

FSB NI KITENGO AU NI POLISI.. WANADILI NA KUSHUGHULIKIA AU KUZUIA UHALIFU NDANI YA NCHI NA SIO NJE...

KWA HIYO HIYO HABARI NI YA KIZUSHI, TENA IMETUNGWA NA MZUSHI ASIE NA UPEO KABISA WA MASUALA YA KIITELIJENSIA AU MILITARY STRATEJIA.
Huyu mtu wa hii story hata haijui Ukraine wala Russia wala institutions zake na kazi.

Ni Habari ya kivivu na kizembe sana. Ameshindwa hata kupekua kwenye mitandao kujiongezea maarifa kabla ya kutunga hii tamthiria yake.
 
Nlikuwa natazama aljazeera, Majeshi yako langoni la kyiv yamekaa tu yanasubiri order.
Wananchi wametaharuki, wengine wametoka wako ready kulinda mji. Kama hakutakuwa na msaada wa maana, Russia akianza mashambulizia anauchukua. Na leo kashambulia miji kdhaa kwa makombora.
Urusi nao wameonyesha ubovu sana yaani mpk leo bado me nilijua walishachukua nchi kitambo duuuh Kaukraine ndo kanamsumbua hadi leo jmn[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Back
Top Bottom