Pro nato kwa viuzi vyenu hivi vya propaganda mpo vizuri,namuombea tu putin aendelee kushikilia hapohapo mpaka muite maji mma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pro nato kwa viuzi vyenu hivi vya propaganda mpo vizuri,namuombea tu putin aendelee kushikilia hapohapo mpaka muite maji mma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli itawatafuna milele Mbowe na Lisu.
Hata mwaka haujaisha saccos yao inakiona cha moto
Kuwafukuza majenerali ni sehemu ya plan B ya Putin kwani amefanya "ovehaul" ya kila kitu.Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.
=======
- Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
- Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
- Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
- Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters
Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.
Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
![]()
Putin 'fires eight generals and rages at FSB' over Ukraine failures
Vladimir Putin has fired eight of his generals, Ukraine has claimed, and is said to be furious at his security services for feeding him bogus intelligence before he decided to invade Ukraine.www.dailymail.co.uk
Yule balozi wa Kenya UN amewapa chagizoWakenya sijui kinawasumbua nini
General yupi kafa mkuu maana wakisema kafa badae kaonekana mwingine tena wamesema (tetesi) kafa bado haijathibitikaYeye anafikiri ukiwa raisi wa Russia ukipeleka wanajeshi kwy uwanja wa VITA labda wao hawaogopi kufariki. Wanajeshi wanaenda sehemu hawana mazoea nayo. Kinachotokea wanatambulika wanawaua sana na Ndio maana wanaogopa sana. Kama juzi amefariki Jenerali katika uwanja wa VITA, unategemea makruti watasonga mbele pale. Kama MTU anaenda na vifaa vya ramani, vitambuzi vya maadui wapo wapi anauwawa. Labda Putin aende akajioneee mwenyewe binadamu wanavyokufa uko. Binadamu sio roboti
Naunga mkono hoja.Mods unganisheni Uzi hu kule Kwnny updates za vita.
Hii sio habari tena, Bali taarabu.
mtoa mada kaandika kwa mihemko sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa mtu anaenda kusoma magazeti ya UK nakuamini wakati anajuwa tu jamaa wamefunga chanel zote ili watulishe matango pori. Ok tuseme ni kweli je uhalisia ukoje huko maana Kyiv yote mahandaki sasa sielewi anayeshinda nani? mficha maradhi kifo ......Kama taarifa zenyewe hizi ni za Chombo hiki siwezi kuziamini!
Putin atakua amegundua hao viongozi Ni mamluki wanauza Raman kwa ukrainPutin = Magufuli; makamanda kumbe walikuwa wanaogopa kumwambia ukweli kwa sababu ya ubabe wake kwani anapenda kuambiwa yale yanayompendeza tu matokeo yake sasa wanaagizia mamluki toka Syria baada ya kuona askari wake wanaogopa kuingia kwenye miji.
Kuwafukuza hao majenerali kutazidi kushusha marali ya wapiganaji wake ambao wanazidi kupoteza maisha na zana.
Hatua watakayoingia baada ya hapa ndio itakuwa balaa kwa warusi maana itakuwa ni Urban Guerrilla Warfare.
Source ni Zelensky na toad Boris JohnsonHaya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.
=======
- Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
- Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
- Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
- Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters
Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.
Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
![]()
Putin 'fires eight generals and rages at FSB' over Ukraine failures
Vladimir Putin has fired eight of his generals, Ukraine has claimed, and is said to be furious at his security services for feeding him bogus intelligence before he decided to invade Ukraine.www.dailymail.co.uk
Na kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo.Putin atakua amegundua hao viongozi Ni mamluki wanauza Raman kwa ukrain
Hii Habari ni uzushi mtupu.. Kwanza eti kasema Nani wa Ukraine???? Halafu majenerali wa FSB... Unajua FSB kazi zake??? NI afadhali ungesema SVR... Na. FSK....na OPESHENI ZOTE ZA KIJESHI NJE YA NCHI HUFANYWA NA.. G. R. U.. ndio military agency inayoandaa na kufanya oparesheni zote nje ya nchi wakiongozwa na kikosi maalum SPETNAZ.Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.
=======
- Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
- Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
- Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
- Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters
Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.
Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
![]()
Putin 'fires eight generals and rages at FSB' over Ukraine failures
Vladimir Putin has fired eight of his generals, Ukraine has claimed, and is said to be furious at his security services for feeding him bogus intelligence before he decided to invade Ukraine.www.dailymail.co.uk
Urusi nao wameonyesha ubovu sana yaani mpk leo bado me nilijua walishachukua nchi kitambo duuuh Kaukraine ndo kanamsumbua hadi leo jmn[emoji22][emoji22][emoji22]Nlikuwa natazama aljazeera, Majeshi yako langoni la kyiv yamekaa tu yanasubiri order.
Wananchi wametaharuki, wengine wametoka wako ready kulinda mji. Kama hakutakuwa na msaada wa maana, Russia akianza mashambulizia anauchukua. Na leo kashambulia miji kdhaa kwa makombora.