Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Urusi nao wameonyesha ubovu sana yaani mpk leo bado me nilijua walishachukua nchi kitambo duuuh Kaukraine ndo kanamsumbua hadi leo jmn[emoji22][emoji22][emoji22]
ukraine ni ya pili kwa ukubwa huichui yote kizembe zembe
 
Ngoja kwanza….ni nani aliyesema kuwa Putin kawatimua hao makamanda? Source ni nani/ nini?

Siyo Ukraine kweli waliosema hivyo?

I smell propaganda here…
Huenda Ukraine walishindwa vita siku nyingi na miji yote imeshachukuliwa na Russia, halafu huku sisi tunapigwa propaganda tu sitaki kuamini kwamba hadi leo Russia bado hawajashinda jeshi dhaifu la Ukraine.
 
Huenda Ukraine walishindwa vita siku nyingi na miji yote imeshachukuliwa na Russia, halafu huku sisi tunapigwa propaganda tu sitaki kuamini kwamba hadi leo Russia bado hawajashinda jeshi dhaifu la Ukraine.
Source ni M-Ukraine!

Halafu habari ilivyoletwa utadhani ni ya uhakika kabisa wakati siyo!

Halafu na watu hawasomi na kuelewa.

Wanasoma tu kichwa cha habari kilicho potofu halafu wanaanza kuruka ruka na kupiga vigelegele.

Ujinga mtupu.
 
Kuwafukuza majenerali ni sehemu ya plan B ya Putin kwani amefanya "ovehaul" ya kila kitu.

Pia wakurugenzi wa FSB nao wamewekwa kuzuizini baada ya kugundulika kuwa majasusi wa Russia walio ndani ya Kyiv wengine ni mapandikizi au Moles wa nchi za magharibi na walikuwa wazitoa siri za kijeshi.

Vita ni ujasusi ulotukuka kama Nyerere alivyowapa kazi PK na M7 Iddi Amin akashughuliwa.

Kanali Mahfudhi alikuwa amejaa taarifa za kutosha kuweza kusonga mbele na vikozi vya JWTZ.

Sasa Russia wachukua vijana ambao wengineo ni kwasababu baba au babu alifanya kazi KGB bila kwenda vyuoni kwenye fresh talents.

Ila Russia ni watu wa kuchagama, watashinda hii vita kwa taabu kibabe.

Ila mkuu, usiamini sana hizo habari za kutoka huko Magharibi.

Sio vibaya kujiaminisha chochote kitakachowaliwaza na kuficha aibu, aidha Putin alishauriwa vibaya au ni king'ang'anizi asiyesurika, maustadh mjiande na hizi nadharia za kuendelea kujipa moyo.
 
Hii Habari ni uzushi mtupu.. Kwanza eti kasema Nani wa Ukraine???? Halafu majenerali wa FSB... Unajua FSB kazi zake??? NI afadhali ungesema SVR... Na. FSK....na OPESHENI ZOTE ZA KIJESHI NJE YA NCHI HUFANYWA NA.. G. R. U.. ndio military agency inayoandaa na kufanya oparesheni zote nje ya nchi wakiongozwa na kikosi maalum SPETNAZ.

FSB NI KITENGO AU NI POLISI.. WANADILI NA KUSHUGHULIKIA AU KUZUIA UHALIFU NDANI YA NCHI NA SIO NJE...

KWA HIYO HIYO HABARI NI YA KIZUSHI, TENA IMETUNGWA NA MZUSHI ASIE NA UPEO KABISA WA MASUALA YA KIITELIJENSIA AU MILITARY STRATEJIA.
Huyu mtu wa hii story hata haijui Ukraine wala Russia wala institutions zake na kazi.

Ni Habari ya kivivu na kizembe sana. Ameshindwa hata kupekua kwenye mitandao kujiongezea maarifa kabla ya kutunga hii tamthiria yake.

Tatizo umekurupuka kujibu bila kusoma uelewe kwanza, hamna sehemu nimesema FSB ina majenerali, timu Putin mnawehuka sana tangu aingie aibu yote hii, hakuna yeyote kati yenu anajibu hoja kama ilivyo, kuna wanatukana hadi kumzidi Putin anavyotukana akiwa ikulu.....ha ha ha!!!
 
Umeisoma hiyo habari lakini? Umeiona source?

Hii ndio source yenyewe...wa Ukraine wenyewe

Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
 
Putin alikurupuka
Putin is narcisstic na narcisstic hashindwi na amepoteza kila kitu my fear is he is going to destroy the world .Ata rusha nuclear na na ataharibu London and cause WW3.I’m so terrified and scared to death kwa sababu Biden is a chicken
 
Nlikuwa natazama aljazeera, Majeshi yako langoni la kyiv yamekaa tu yanasubiri order.
Wananchi wametaharuki, wengine wametoka wako ready kulinda mji. Kama hakutakuwa na msaada wa maana, Russia akianza mashambulizia anauchukua. Na leo kashambulia miji kdhaa kwa makombora.
Hayana mafuta wanajeshi wa urusi hawana chakula hawataki kuwaua ndugu zao Hao ukraine ni walikuwa warusi pia .Hii ni kama iddi amini bukoba ni ya mganda Nyerere kasema ni ya Tanzania iddi amini akaanza vita yaliyomkuta ni Huyu Huyu Putin na Israel ( kaka ake Netanyahu marehemu alikufa vitani Kumtoa iddi amini ).so Putin anaijua vita inavyopigana Mimi Naona Akili zake si nzuri Sasa Hivi .
 
Hayana mafuta wanajeshi wa urusi hawana chakula hawataki kuwaua ndugu zao Hao ukraine ni walikuwa warusi pia .Hii ni kama iddi amini bukoba ni ya mganda Nyerere kasema ni ya Tanzania iddi amini akaanza vita yaliyomkuta ni Huyu Huyu Putin na Israel ( kaka ake Netanyahu marehemu alikufa vitani Kumtoa iddi amini ).so Putin anaijua vita inavyopigana Mimi Naona Akili zake si nzuri Sasa Hivi .
Bukoba haijawahi kuwa sehemu ya Uganda uwa ni story tu. Unless kama unasema Kyaka
 
Tatizo umekurupuka kujibu bila kusoma uelewe kwanza, hamna sehemu nimesema FSB ina majenerali, timu Putin mnawehuka sana tangu aingie aibu yote hii, hakuna yeyote kati yenu anajibu hoja kama ilivyo, kuna wanatukana hadi kumzidi Putin anavyotukana akiwa ikulu.....ha ha ha!!!
Sio majenerali wa FSB, hoja ni kazi za FSB.. Mmeihusisha kwenye suala la intelijensia huko Ukraine.. Nimekujibu huo ni uzushi na mtunzi wa hiyo Habari ni mvivu kama wewe.. Maana hata wewe ungejiridhisha kujua kazi za FSB ndio hizo alizozitaja??

Kama kungetokea shambulizi la kigaidi ndani ya Russia basi hapo FSB na FSO wangehusishwa na kulaumiwa kwa uzembe.. Lakini oparesheni za nje ya nchi umewahusishaje???

Unasema sijui pro.. Sasa Nani ni pro hapo.. Mleta Habari bila kuifanyia analysis au mie ninayerekebisha ubovu wa Habari??

Nyie wa Kenya mna shida sana. Mmevurugwa na mambo ya uchaguzi mnakimbilia kwenye mambo makubwa ambayo yanazidi upeo wenu.

Huwezi kujadili mgogoro huo kwa cheap analysis kama zako. Isipokuwa kwa VIBARAKA wa... Tuu Maana kunakuwa hakuna namna.
 
Hii ndio source yenyewe...wa Ukraine wenyewe

Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
Niliona Fox News na report
Bukoba haijawahi kuwa sehemu ya Uganda uwa ni story tu. Unless kama unasema Kyaka
kagera war
 
Sio majenerali wa FSB, hoja ni kazi za FSB.. Mmeihusisha kwenye suala la intelijensia huko Ukraine.. Nimekujibu huo ni uzushi na mtunzi wa hiyo Habari ni mvivu kama wewe.. Maana hata wewe ungejiridhisha kujua kazi za FSB ndio hizo alizozitaja??

Kama kungetokea shambulizi la kigaidi ndani ya Russia basi hapo FSB na FSO wangehusishwa na kulaumiwa kwa uzembe.. Lakini oparesheni za nje ya nchi umewahusishaje???

Unasema sijui pro.. Sasa Nani ni pro hapo.. Mleta Habari bila kuifanyia analysis au mie ninayerekebisha ubovu wa Habari??

Nyie wa Kenya mna shida sana. Mmevurugwa na mambo ya uchaguzi mnakimbilia kwenye mambo makubwa ambayo yanazidi upeo wenu.

Huwezi kujadili mgogoro huo kwa cheap analysis kama zako. Isipokuwa kwa VIBARAKA wa... Tuu Maana kunakuwa hakuna namna.
DED8E590-A6AD-4EB5-B954-B08BCA915A9F.png
12598DF0-7243-453F-B0E8-EE65C3E9E170.png
 
Sio majenerali wa FSB, hoja ni kazi za FSB.. Mmeihusisha kwenye suala la intelijensia huko Ukraine.. Nimekujibu huo ni uzushi na mtunzi wa hiyo Habari ni mvivu kama wewe.. Maana hata wewe ungejiridhisha kujua kazi za FSB ndio hizo alizozitaja??

Kama kungetokea shambulizi la kigaidi ndani ya Russia basi hapo FSB na FSO wangehusishwa na kulaumiwa kwa uzembe.. Lakini oparesheni za nje ya nchi umewahusishaje???

Unasema sijui pro.. Sasa Nani ni pro hapo.. Mleta Habari bila kuifanyia analysis au mie ninayerekebisha ubovu wa Habari??

Nyie wa Kenya mna shida sana. Mmevurugwa na mambo ya uchaguzi mnakimbilia kwenye mambo makubwa ambayo yanazidi upeo wenu.

Huwezi kujadili mgogoro huo kwa cheap analysis kama zako. Isipokuwa kwa VIBARAKA wa... Tuu Maana kunakuwa hakuna namna.

Bila shaka unaonekana unasoma sana nadharia kuliko uhalsia on the groud, tumia muda wako wa nusu saa hivi utafiti kuhusu taarifa za operations za FSB nje ya mipaka ya Urusi, uhusika wao Ukraine, na tuhuma za mapandikizi yao. Hao FSB wamewahi kutuhumiwa kufanya operation za hacking hadi Marekani.
 
Back
Top Bottom