Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi ya ujasusi ya FSB

Hiyo ya kusema "the Russian intelligence services has been infiltrated by the western moles" sidhani kama ni kweli ila ni akina Putin kujaribu kufunika madhaifu yao ya kiutendaji. Kuna mambo makuu matatu yaliyopelekea Putin na watu wake kubugi stepu:

1. Poor planning

2. Logistical challenges

3. Morale crisis

Hayo mengine ni porojo na mbwembwe tu.
Ndo vita vilivyo huwa havina mteremko.

Russia atumia mtindo uleule alotumia kuingia Georgia, na Crimea.

Ni kweli, Ukraine ina changamoto lakini mrusi nadhani kwa hatua walofikia hatashindwa hii.

Na hiyo yaenda na simu zilopigwa leo na macron na Scholz kujaribu kumuomba Putin amalize vita na yeye kukataa.

Hiyo yaonyesha kwamba Russia anakaribia kumaliza kazi, na pengine viongozi hao wanamwomba asimuue Zelensky.

Leo mchana Zelensky kakiri kwa mara ya kwanza kwamba wapiganaji 1300 wameuawa.
 
Kama source ndo hiyo, siwez amin hata kidogo,labda ingekuwa CNN,RT,AL JAZEERA,Ningeelewa
 
Ndo vita vilivyo huwa havina mteremko.

Russia atumia mtindo uleule alotumia kuingia Georgia, na Crimea.

Ni kweli, Ukraine ina changamoto lakini mrusi nadhani kwa hatua walofikia hatashindwa hii.

Na hiyo yaenda na simu zilopigwa leo na macron na Scholz kujaribu kumuomba Putin amalize vita na yeye kukataa.

Hiyo yaonyesha kwamba Russia anakaribia kumaliza kazi, na pengine viongozi hao wanamwomba asimuue Zelensky.

Leo mchana Zelensky kakiri kwa mara ya kwanza kwamba wapiganaji 1300 wameuawa.
Mrusi wa Tandale kwa Tumbo. Putin utawala wake umeisha. He is in office on a borrowed time.
 
Aliyetoa taarifA Ni Kiev yaani makao makuu ya ukraine. Ajabu..
 
Aliyetoa taarifA Ni Kiev yaani makao makuu ya ukraine. Ajabu..
 
Yeye anafikiri ukiwa raisi wa Russia ukipeleka wanajeshi kwy uwanja wa VITA labda wao hawaogopi kufariki. Wanajeshi wanaenda sehemu hawana mazoea nayo. Kinachotokea wanatambulika wanawaua sana na Ndio maana wanaogopa sana. Kama juzi amefariki Jenerali katika uwanja wa VITA, unategemea makruti watasonga mbele pale. Kama MTU anaenda na vifaa vya ramani, vitambuzi vya maadui wapo wapi anauwawa. Labda Putin aende akajioneee mwenyewe binadamu wanavyokufa uko. Binadamu sio roboti
Huyu Hana mafunzo yoyote ya kijeshi hats ya mgambo.. Askari hawazi hivyo vyote kikubwa kumuua adui... UkiingiA vitani ufe we'we ama afe yeye adui
 
Back
Top Bottom