Hata hujawaza kuwa hizi ni propaganda?Putin = Magufuli; makamanda kumbe walikuwa wanaogopa kumwambia ukweli kwa sababu ya ubabe wake kwani anapenda kuambiwa yale yanayompendeza tu matokeo yake sasa wanaagizia mamluki toka Syria baada ya kuona askari wake wanaogopa kuingia kwenye miji.
Kuwafukuza hao majenerali kutazidi kushusha marali ya wapiganaji wake ambao wanazidi kupoteza maisha na zana.
Hatua watakayoingia baada ya hapa ndio itakuwa balaa kwa warusi maana itakuwa ni Urban Guerrilla Warfare.
Mbali na wale 8 waliouawa kwenye mapambano.Ngoja kwanzaβ¦.ni nani aliyesema kuwa Putin kawatimua hao makamanda? Source ni nani/ nini?
Siyo Ukraine kweli waliosema hivyo?
I smell propaganda hereβ¦
βOleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.β
Haya maamuzi ameyafanya baada ya aibu ambayo imemkuta Ukraine, hakutegemea hivi kabisa, FSB walimshauri vibaya kwamba ataingia na kuchakaza kwa siku chache na kumaliza mchezo, leo mambo yameshindikana, amepoteza wanajeshi, vifaru, mindege na zana zingine nyingi tu na bado Kiev inazdi kumtunishia misuli hadi ametishia kutumia nyuklia, ila hapo pa nyuklia ndipo amesubiriwa sana, siku akizifyatua, atakachofanyiwa kitatumika kama funzo kwa Iran na Korea Kaskazini na mataifa yote ambayo hutishia tishia mambo ya nyuklia.
=======
- Eight Russian generals sacked over Ukraine invasion failings, Kyiv said today
- Head of security council said Moscow has changed tactics after early defeats
- Putin also said to be furious at secret services for misleading him over resistance
- Moscow expected Ukrainian military to fold, but has met determined fighters
Vladimir Putin has sacked his top generals and is 'raging' at the FSB after failed intelligence and poor strategy saw his troops handed a series of embarrassing defeats in the opening days of the war in Ukraine.
Oleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.
Putin 'fires eight generals and rages at FSB' over Ukraine failures
Vladimir Putin has fired eight of his generals, Ukraine has claimed, and is said to be furious at his security services for feeding him bogus intelligence before he decided to invade Ukraine.www.dailymail.co.uk
Kwa hiyo taarifa ambazo sio propaganda ni zipi kwamba Putin aliishaiteka Ukraine kitambo ila vyombo vya habari vya magharibi ndio vimekataa kutangaza na kwamba taarifa za mamluki toka Syria pia ni propaganda za vyombo vya habari vya nchi za magharibi.Hata hujawaza kuwa hizi ni propaganda?
ushaona aliyepost ni mkenya ni sawasawa na classical conditioningNgoja kwanzaβ¦.ni nani aliyesema kuwa Putin kawatimua hao makamanda? Source ni nani/ nini?
Siyo Ukraine kweli waliosema hivyo?
I smell propaganda hereβ¦
βOleksiy Danilov, head of Ukraine's security council, said 'around eight' Russian commanders have been fired since the start of the conflict as Moscow scrambles to change strategy after its attempted 'shock and awe' blitz fell flat.β
.........Ndio afahamu kwamba hivi vita vya kishenzi ni vyake yeye na karugaruga wake, warussia hawavitaki. Putin ni mtu anayetafuta sifa za kijinga sana, ana mambo ya kiswahili sana, utafikiri sio mzungu. Bure kabisa.Putin atakua amegundua hao viongozi Ni mamluki wanauza Raman kwa ukrain
Waswahili ni hao wanaolazimisha ushoga na taratibu zao za maisha kwa watu wengine ambao hawazitaki.........Ndio afahamu kwamba hivi vita vya kishenzi ni vyake yeye na karugaruga wake, warussia hawavitaki. Putin ni mtu anayetafuta sifa za kijinga sana, ana mambo ya kiswahili sana, utafikiri sio mzungu. Bure kabisa.
mara kapumzika wanasubir order , mara leo wameshambulia miji kadhaa , Ebu rudia kusoma ulichoandika kinaeleweka kweli?Nlikuwa natazama aljazeera, Majeshi yako langoni la kyiv yamekaa tu yanasubiri order.
Wananchi wametaharuki, wengine wametoka wako ready kulinda mji. Kama hakutakuwa na msaada wa maana, Russia akianza mashambulizia anauchukua. Na leo kashambulia miji kdhaa kwa makombora.
Hiyo ya kusema "the Russian intelligence services has been infiltrated by the western moles" sidhani kama ni kweli ila ni akina Putin kujaribu kufunika madhaifu yao ya kiutendaji. Kuna mambo makuu matatu yaliyopelekea Putin na watu wake kubugi stepu:Kuwafukuza majenerali ni sehemu ya plan B ya Putin kwani amefanya "ovehaul" ya kila kitu.
Pia wakurugenzi wa FSB nao wamewekwa kuzuizini baada ya kugundulika kuwa majasusi wa Russia walio ndani ya Kyiv wengine ni mapandikizi au Moles wa nchi za magharibi na walikuwa wazitoa siri za kijeshi.
Vita ni ujasusi ulotukuka kama Nyerere alivyowapa kazi PK na M7 Iddi Amin akashughuliwa.
Kanali Mahfudhi alikuwa amejaa taarifa za kutosha kuweza kusonga mbele na vikozi vya JWTZ.
Sasa Russia wachukua vijana ambao wengineo ni kwasababu baba au babu alifanya kazi KGB bila kwenda vyuoni kwenye fresh talents.
Ila Russia ni watu wa kuchagama, watashinda hii vita kwa taabu kibabe.
Ila mkuu, usiamini sana hizo habari za kutoka huko Magharibi.
Soma elewa, kyiv ndo majeshi yako nje tu yanasubiri order, huko kwingine mashambulizi ya makombora yameendelea. Sio habari za kuokoteza, nilikuwa natazama Aljazeera na wamewafanyia interview hadi wakazi wa kyivmara kapumzika wanasubir order , mara leo wameshambulia miji kadhaa , Ebu rudia kusoma ulichoandika kinaeleweka kweli?
..... Labda bado wanawasubiri wale mamluki toka Syria waje maanake kwao ndio wanawaona kama wataalamu wa Urban Warfare. πππNlikuwa natazama aljazeera, Majeshi yako langoni la kyiv yamekaa tu yanasubiri order.
Wananchi wametaharuki, wengine wametoka wako ready kulinda mji. Kama hakutakuwa na msaada wa maana, Russia akianza mashambulizia anauchukua. Na leo kashambulia miji kdhaa kwa makombora.
Vita ina propaganda nyingi, Ukraine wenyewe kuna mamluki wamezamia kusaidia, Uingereza ilikuwa inafuatilia mwanajeshi mmoja inasemekana ameondoka Uingereza kwenda kusaidia syria japo alizuiiwa...... Labda bado wanawasubiri wale mamluki toka Syria waje maanake kwao ndio wanawaona kama wataalamu wa Urban Warfare. πππ
Kwa mantiki hip Kwahio mkuu uelewa wako ni mpana kuliko wote humu?Source ni M-Ukraine!
Halafu habari ilivyoletwa utadhani ni ya uhakika kabisa wakati siyo!
Halafu na watu hawasomi na kuelewa.
Wanasoma tu kichwa cha habari kilicho potofu halafu wanaanza kuruka ruka na kupiga vigelegele.
Ujinga mtupu.