PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Unachanganya mambo bro.
Huo ni uleaji wa kundi la washika silaha.
Leo hii Iran aseme anaacha kufadhili hao watu na Syria iache kutumika na hayo makundi ushajiuliza kitatokea nini!?
 
Kakwambia nani Lebanoni nchi maskini inakifadhari kikundi cha Hezibollah?
Mfadhari mkuu wa silaha wa Hezibollah ni Iran!
Iran ndiye hasimu mkubwa wa Israel kwa sababu ndiye mfadhiri mkuu wa vikundi hivyo ikiwemo Hezibollah!
Nchi za Qatar,UEA,Uturuki,nk ni moja ya mataifa yanayofadhiri vikundi hivyo.
 
Ebu tutajie hiyo teknolojia iliyo gunduliwa na Israel.
Marekani imeendelea kitekinolojia hata kabla ya Israel haijafikiriwa kuanzishwa saa nyingine mpunguzage ujinga.
 
Gari ni vitu vidogo dogo,
haijalishi iron dome imepangua makombora mangapi Bado Ina Baki kuwa ya ki pekee duniani nani anayo zaidi ya Israel na vipi isingekuwepo hayo makombora yote yakashuka humo ingekuwa je ,hivyo ukweli unabaki pale Israel ni bingwa wa tech ,japo una fact nyingi za kweli Bado Israel ni mzuri zaidi ktk tech swala la kuunda ndege ni maamuzi tu ,si kwamba hawezi
 
Shida yenu mnaokoteza vitaarifa vya uongo ambavyo CIA na KBG wanatoa ili kuhadaa dunia iamini pumba badala ya ukweli.
Naona umejitutumua wee kuwasifia mashoga, lakini bado kujitutumua kwako hakujasaidia lolote katika mjadala wetu.

Sisi ni watu wazima, na hapa ni JF sio FB wala whatspp. Hivyo unapotoa hoja ya kupinga ukweli nilioandika, unatakiwa uambatanishe na ushahidi ambao unaonesha kuwa Russia haikufanya kile nilichoandika. Mimi nimeweka ushahidi kupitia taarifa zao wenyewe FBI na CIA (pichani), hivyo wenye akili wengi tuliopo humu tulitegemea na wewe ungekuja na ushahidi wa wazi kama huo nilioweka mimi ambao unapinga kile nilichokiandika. Kwa kiswahili chepesi wanasema ushahidi wa maandishi hupingwa kwa ushahidi wa maandishi, sio mipasho mitupu kama hii uliyoandika hapa ambayo mtu yoyote anaweza kukaa chooni kwake akaiandika na kuituma humu.

Haiwezekani Mmarekani mwenyew akubali kuwa vijana wa Putin waliingia Marekani kufanya yao, halaf wewe mgogo wa bongwe uje upingane nao huku ukiwa kijijini kwenu bongwe unalima pili pili.
1. Rusia kuingilia uchaguzi wa USA ni uongo ili kuaminisha wananchi wa USA kuwa Rusia ni ni nchi adui wa USA.
Hili nishajibu hapo juu πŸ‘†
2. Matajiri wakubwa, scientists na politician , majenerali wa jeshi la USA na Russia ni wayahudi( waisrael)
Acha ujinga kijana. Dunia ya leo bado unakubali kulishwa propaganda na wachovu wachovu wasioweza kulinda hata mipaka yao wenyewe. Kwa zamani sawa maana sim na mitandao vilikuwa hakuna. Ila kwa leo mtu kudanganywa na waisrael ni ujinga wa hali ya juu maana kila kitu kipo wazi na kinaonekana.

Huwezi kusema et matajiri wakubwa, majenerali wa jeshi na political wa USA na Russia ni waisrael wakati hiyo Israel yenyewe ndio inategemea matajiri wa kizungu kutoka USA, UK, Ufaransa, Ujerumani na nchi zingine za Ulaya waisaidie kijeshi, kiuchumi, kiteknolojia nk.

Kama Israel ingekuwa na uwezo huo wa kutengeneza matajiri na watu wenye uwezo mkubwa wa kijeshi kama unavyosema basi hizo nchi nilizotaja ndio zingekuwa zinahitaji msaada wa kijeshi, kifedha na kiteknolojia kutoka nchi Israel. Lakini badala yake tunaona waisrael ndio wanaowategemea wazungu kwa kila kitu. I mean wanashindwa hata na North Korea wanavikwazo lakini wanajitegemea wenyewe kwa kila kitu. So hizi pumba zako ubaki nazo huko huko kwenu bongwe. Hapa kuna watu wenye akili kukushinda, ambao hatuamini habari kwa kuokoteza vijipropaganda kutoka Sunday school au vijiwe vya kahawa.
3. Israel ni nchi ambayo imezungukwa na maadui pande zote lakini kila nchi ya kiarabu inaiogopa, ina silaha za nyuklia.
Mada inahusu Putin vs Netanyahu

Hao waarab wamekujaje hapa, au ndo kuchanganyikiwa mpaka haujiamini kuandika ukweli kuhusu nani bora kati ya mwamba Putin na mchumba Netanyahu?
4. Netanyahu ana nguvu kubwa za kisiasa kuliko Putin, Israel ni nchi ya kidemokrasia ushindani unakuwa mkubwa sana lakini kwa upande wa Putin anabebwa na mifumo ya nchi ya kiujamaa.
Nguvu kubwa ya kupewa bunduki na mabwana zake ili atumie jeshi lenye wanajeshi zaidi ya milioni 1 kupambana na wanamgambo elf 20 tu ambao hawana ndege wala kifaru cha kivita?

Juzi bwana ake Biden alimtishia kumnyima vibomu kidogo, jamaa kalalamika mpaka koo likakauka mate.

Tukija kwa Putin jamaa anajulikana dunia nzima. Mpaka Tanzania ashafika. Jamaa ni jeshi la mtu mmoja lakini anapigana na nchi zaidi ya 10 huko Ukraine na bado hawajafanikiwa kumnyang'anya maeneo alioyateka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ni mwendo wa kuwatembezea vichapo mpaka wanatafutana. Kawekewa vikwazo vya kila aina na marafiki zake mali zao huko Magharibi zimezuiwa lakin mtemi bado hajarudishwa nyuma na wala uchumi wake haujaanguka kama walivyotarajia.
Mengine uliyoandika hapa chini ni ujinga na uharo mtupu ambao hata wayahudi wenzako wa bongwa wanaona aibu kuusoma.

Hapa tunahitaji facts kama hizo. Mambo ya mipasho peleka kwa FB au kwa mzee Isufu
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-161920.jpg
    274 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240522-162029.jpg
    464.3 KB · Views: 1
Mmoja anatafutwa na ICC, mwingine bado Majaji wa ICC wanajadili hatima yake.
 
Mbona unaropoka bwana mdogo!?
Israel inasaidiwa kijeshi na USA.
Putina kapigana na Ukraine ikiwa imepatiwa msaada wa kijeshi na mercenaries kutoka NATO na bado Putin anaimudu vita.
Ilhali hiyo Israel Hizbollah tu ya Lebanon inamtoa jasho.
Huyo kijana alikuwa anaandika comment yake akiwa chooni ana nnyaa. Sasa hapo unategemea ataandika kipi cha maana πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Unazunguka na maneno yako mwenyewe.
Embu karudie kusoma nilichoandika huwenda hausomi kwa kuelewa.
Qatar,Turkiye,UAE hawana muunganiko na Hizbullah.
Tena hasa hasa UAE,maana UAE ni rafiki wa USA na Israel.
Na hizbullah ni mashia muarabu sunni/salafi,hawezi kuharibu hela kufadhili wapiganaji wa kishia.
 
iron dome imetengenezwa kwa ubia kati ya Marekani na Israel na sio teknolojia ya Israel.
 
KuaEbu tutajie hiyo teknolojia iliyo gunduliwa na Israel.
Marekani imeendelea kitekinolojia hata kabla ya Israel haijafikiriwa kuanzishwa saa nyingine mpunguzage ujinga.
Kuanza technology sio kwamba utabaki kuwa mbele ,china na usa nani alianza na china anaenda mpita usa hiyo siyo hoja
Israel Bado ni bingwa kwani takwimu hamzioni tuzo 9 kati ya kumi Wana sayansi Bora zimeenda Israel
unasemaje Israel Yuko nyuma ktk technology
 
Marekani yy ni kutoa pesa tu akiona una kitu kizuri anajichomeka indeed ni Israel ndio kichwa hapo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mkuu mbona unafurahisha!?
Unaitaje iron dome tech ya hali ya juu ilhali haiwezi kupangua maroketi kiukamilifu!?
Hizo zilizopenya ni roketi tena zenye ufanisi mdogo sana.
Uliwahi kujiuliza kama ingepigwa Ballistic missile yenye ujazo wa nusu tani tena ni guided ballistic missile nini kingetokea!?
Iron dome inamfaa tu Israel.
Ndio maana nchi ilizonunua iron dome ni chache ikiwemo India.

Gari sio vitu vidogo mkuu,TOYOTA jiulize anaingiza mapato kiasi gani kwa uuzaji magari.
Muulize Elon Musk tesla inamuingizia kiasi gani kwa magari ya umeme.
 
Dah i feel ya mkuu. Lakini sikumaanisha kumdhalilisha mwamba Putin kwa kumfananisha na mchumba wake Netanyahu. Ni kwa sababu ya ubishi mkubwa uliotokea kitaa mpaka watu wakasema nije nilete hoja hiyo JF ili tupate majibu ya uhakika ya kwenda kumaliza ubishi mtaani.

Kila mtu anafaham kuwa JF ina watu wenye upeo na uwezo mkubwa wa kujua mambo kuliko wa mitaani, japo wajinga wajinga kadhaa waliovamia jukwaa nao wapo, ila haiondoi ukweli kuwa jukwaa bado lina azina kubwa ya watu wenye uelewa mkubwa kama vile wewe, mimi na wengine wengi tu mkuu.
 
Tutajie teknolojia zilizo gunduliwa na Israel acha kupindisha maneno
 
Hukumsikia Nyau ,tunafanya maamuzi yetunaqq ,akaamsha kipigo Iran ,Kisha kamalizia rapha kakomboa na mateka wote ww uko sitimbi ipi maana unauliza vitu watu wamesha Amina matanga
Una matatizo ya akili au kiswahili kinakupiga jenga?
Umeelewa nilichouliza?
 
Kuna mahali nimetaja quatary
Sijataja Quatary ,use, turkey kuwa Wana muumgano na Hezbollah Hamas

hiyo unasema ww
 
Mbona ni nyingi tu?
 
Tatizo una maelezo mengi wakati hoja ni ndogo Sana khs uwezo wa kijeshi wa wahasimu na jinsi wanavyoonyesha uwezo vitani , uwanja ndio unao toa fact sio maneno
tunaona Israel ikikomboa mateka wote Gaza na hao Hamas Hezbollah na babao Iran wana poteana tu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…