PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Mbona ni nyingi tu?
Syria anapopigwa na Nyau yeye ameruhusu ardhi yake itumike vibaya na Iran kupeleka silaha kwa makundi ya ki gaidi hivyo Lebanon ameruhusu Hezbollah kutumika ardhi yake basi Lebanon Iko vitani na Israel hiyo Iko hivyo
 
Unafananishaje nguvu ya rais wa taifa la watu milioni 150 na milioni 07!!!?? Na unafananishaje Rais Dikteta asiye na ukomo wa kutawala na waziri mkuu wa nchi yenye bunge lenye mamlaka ya kumuondoa waziri mkuu anayechaguliwa kidemokrasia!!!
 
Lete ushahidi mkuu wa mateka kukombolewa.
Maana ripoti inasema takriban mateka 129 bado wapo mikononi mwa Hamas.
Kaskazini mwa Israel raia wamehama hapakaliki kwa vurugu za Hizbollah.
Sasa mkuu unayoyasema mbona yanakinzana na uhalisia!?
 
Asee Putin ni fundi wa kujibu maswali ya ovyo ya media za kimagharibi. Ni hatari mtafute.
Mwanahabari akiuliza swali la ovyo Putin hujibu swali Hilo bila jazba akiwa na tabasamu kuu usoni.
Ajabu zaidi akikujibu swali lako muuliza swali lazima ajione kuku wa kisasa
 
Mada ni ya mwamba Putin na mchumba wake Netanyahu. Usijifiche kwenye udini.

Duniani kuna watu wakristo original kabisa, lakini wanaipinga Israel hii iliyojaa wazungu wa Uingereza, Marekani, Ufaransa, Ujeruman nk kwa sababu ya vitendo vyake vya kikatili. Wao Israel hawaichukulii kwa mlengo wa dini kama unavyofanya wewe mlokole wa tandahimba, bali wanaichukulia kwa matendo yake na kuichukia kwa sababu hizo. Tena wakristo hao ambao wanaichukia Israel kwa vitendo vyao ni wengi ambao wengine hata wewe unawafaham kina hayati mwl J. Nyerere, Mandela, bishop Desmond Tutu (huyu ashaenda mpaka Israel mara kibao tu) , senetor Bernie wa Marekani ambae ni mzungu na mkristo original tofauti na wewe ambae ukristo umeletewa ili iwe rahisi kutawaliwa, kukandamizwa, kuibiwa resource zako, na kufanywa mtumwa.

Ukiangalia hizo picha hapo chini, na kutumia akili yako vizuri kufikiri hiki nilichoandika hapa kwenye comment yako utakubaliana na mimi kuwa hakuna cha taifa teule wala cha dini ya Mungu. Zote zimeletwa na wajanja kwa malengo yao maalum kwa waafrika ambao 99% ni wapumbavu na wajinga.

Tukija kwa upande wa nchi Hispania ni moja ya nchi zenye wakristo wengi katika dunia, lakini leo hii zinaamua kuitambua Palestina kama taifa huru na kuilaani Israel kwa ukatili na ushenzi wake inaofanya kwa watoto na wanawake wasiokuwa na hatia. Hapo bado sijaitaja Ireland, Brazil, Norway nk. Hizo zote ni miongoni mwa nchi za wazungu ambao walikuletea dini uhangaike nayo huku wao wakiwa busy kufanya mambo mengine yenye maana kwa nchi zao.

Tukija kwa waislam kuna nchi nyingi tu za kiislam zinaiunga mkono Israel kama vile Jordan, Saudia nk. So kinachoendelea sasa sio swala la dini au uarab na uyahudi. Bali ni swala la mipaka kati ya Eneo la Israel na lile linajulikana kuwa na mamlaka ya Palestina. Kila mtu aheshim mipaka ya mwenzake, sio kutuma askari kuingia katika ardhi ya wapalestina huko West Bank (ukingo wa magharibi) kuwabaka watoto wa kike, kuwatoa watu katika nyumba zao, kuwafungulia kesi zisizo na mashiko, kuwatesa, kuwapiga na kuwa ua et kisa wewe unapewa silaha na nchi za Magharibi. Halaf na wao wakitumia njia nyingine ambayo wanaona inafaa na wewe kukupa maumivu kama unayowapa wao huko ukingo wa magharibi uanze kuwaita et ni magaidi na kuomba misilaha mikubwa mikubwa upambane nayo.

Ni ujinga na upumbavu kuuchukulia mgogoro wa mashariki ya kati kidini. Maana tumeona dini za kikristo zikiwa upande wa waarab ambao wengi ni waislam na za upande wa kiislam zikiwa upande wa wayahudi ambao wewe unawachukulia kama wakristo.

Sisi wengine tumetumia akili zetu ku reject dini zilizoletwa na meli. Najua Mungu yupo kama walivyokuwa wanajua mababu zetu kabla ya kuja wakoloni. Mungu huyu hana dini, hana nchi au kundi la watu maalum kama wanavyojaribu kutudanganya wayahudi na hata upendeleo wa aina yoyote. Nchi zote ni za kwake na waliopo katika nchi hizo ni viumbe wake wenye haki sawa kwake as long as umefanya yale mema na mazuri hapa duniani.

Hakuna mzazi anaeweza kuwa na watoto kumi. Watoto wampende na kumnyenyekea mzazi wao, alaf yeye aanze kuwanyanyapaa wengine na kusema kuwa anampenda mtoto mmoja tu hata kama mtoto huyo haoneshi upendo kwake. Tumia akili kijana achana na mihemko ya kidini haitokusaidia kitu.

Hoja yetu ni nani ni mwamba wa kweli kati ya Putin na Netanyahu?

Jibu swali.. acha kuzunguka zunguka mbuyu.
 

Attachments

  • FB_IMG_17118944407352949.jpg
    55.7 KB · Views: 1
  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 1
Nchi ya Israel ni numbers 8 kwa technology USA ni 2
na Germany ni 4,hapo Rusia Yuko nyuma huko na Iran hawamo kwenye top ten

Hivyo Rusia Iran
hawana ubavu kwa Nyau watulie ,
 
Watu wenye akili kama wewe ndo mnatakiwa m'comment kwenye huu uzi, sio hawa wengine mtu anaulizwa habari ya Putin na Netanyahu yeye anaruka ruka katika habari zingine utafikiri kuku aliekatwa kichwa alaf akaachiwa akimbie.
 
Netanyahu hashindwi hivyo vita. Shida ni kuwa hamas wamejichanganya na raia na huvaa kiraia pia, jambo ambalo humfanya Netanyahu apate wakati mgumu kumtandika hamasi.
Mkuu umeishia darasa la ngapi?

Mbona mada inahusu Putin na Netanyahu nani zaidi alaf wewe unaleta taarifa za Hams?

Kuna swali nililouliza kuhusu Netanyahu na Hamas?
 
Lete ushahidi mkuu wa mateka kukombolewa.
Maana ripoti inasema takriban mateka 129 bado wapo mikononi mwa Hamas.
Kaskazini mwa Israel raia wamehama hapakaliki kwa vurugu za Hizbollah.
Sasa mkuu unayoyasema mbona yanakinzana na uhalisia!?

Mkuu umeishia darasa la ngapi?

Mbona mada inahusu Putin na Netanyahu nani zaidi alaf wewe unaleta taarifa za Hams?

Kuna swali nililouliza kuhusu Netanyahu na Hamas?
nimejibu angalia
 
Nchi ya Israel ni numbers 8 kwa technology USA ni 2
na Germany ni 4,hapo Rusia Yuko nyuma huko na Iran hawamo kwenye top ten

Hivyo Rusia Iran
hawana ubavu kwa Nyau watulie ,
Where's the facts?
 
Putin ananunua silaha Iran na China tu.
India anatumia sana Israel made weapons,Russia hajawahi kuzitumia wala kununua usitudanganye.
Ila Israel USA ilipeleka mpaka jeshi limsaidie dhidi ya Hamas.
Umemjibu vizuri.. Akija mtandike tena mpaka uzi aukimbie πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Waulize NATO na EU wanamjua Putin.
Mwamba alotikisa miamba ya dunia kiasi anakamata silaha zao na kuziweka makumbusho RUSSIA.
Umenikumbusha hii πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu maliza kwanza kushusha zigo la n'nya hapo chooni halaf ndo usome tena kilichoandikwa na ku comment.

Haiwezekani kani unauliza kati ya Putin na Netanyahu nani ni mwamba wa kweli, alaf wewe unakuja na uharo wako unaozungumzia habari sijui za Iran na Israel.

Hizo mada za Iran na Israel zipo upande mungine ukizitafuta utazipata.

Hapa uzi ni kati ya Putin na Netanyahu basi..

Mbona ulichoandika kishaonesha kuwa wewe ndio wa 2000. Maana haujui hata uelekeo wa mada unasemaje!
 
Nchi ya Israel ni numbers 8 kwa technology USA ni 2
na Germany ni 4,hapo Rusia Yuko nyuma huko na Iran hawamo kwenye top ten

Hivyo Rusia Iran
hawana ubavu kwa Nyau watulie ,
Mkuu kwa technology ipi unazungumzia!?
Hizi tech zina matabaka mkuu.
Ukisema teknolojia ya kilimo Israel ndio taifa la kwanza kuongoza katika teknolojia ya kilimo.
Ukija katika criticak techs China ndio wa kwanza.
Sasa tech ipi unayosema Israel ni ya 8!?
Tutabanaishie usiweke general implication.
 
Unafananishaje nguvu ya rais wa taifa la watu milioni 150 na milioni 07!!!?? Na unafananishaje Rais Dikteta asiye na ukomo wa kutawala na waziri mkuu wa nchi yenye bunge lenye mamlaka ya kumuondoa waziri mkuu anayechaguliwa kidemokrasia!!!
Una uhakika Israel kuna demokrasia!?
Hivi unajua kama Netanyahu anatumia nguvu ya ziada kukaa madarakani!?
Kama kuna demokrasia kwanini raia wanaandamana kuhusu vifungo vya sheria vya uhamisha wa mamlaka!?
 
Ni ukichaa kumlinganisha putin na takataka.kwanza ameshinda vita ya Ukraine Mbele ya nato pia ametengeneza nchi imara ndo maana hata wakiweka sanction hazifanikiwi.
 
Nchi ngumu sana hii

Yaani mtu ana muda wa kuhangaika na watu wasio na mpango wowote naye

Tutabaki nyuma tu kwenye maendeleo Kama vijana wetu ndio hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…