Hiyo ni kawaida tu mbona silaha za Putin zilizoko Ukraine huziona makumbusho ya Ukraine ?Waulize NATO na EU wanamjua Putin.
Mwamba alotikisa miamba ya dunia kiasi anakamata silaha zao na kuziweka makumbusho RUSSIA.
Madai yako ni mfu.Netanyahau angekuwa anapigana na Jeshi kwa Jeshi now angekuwa ameshashinda vita, na amepiga bonge la tukio ambalo Ukraine ingekaa kwa kutulia.
Anachofanya Gaza ameamua kuupanga Upya Mji wa Gaza, na kusafisha vichochoro na makazi ya Magaidi.
Katika Watu ambao Putin amewasisitiza na kuwapigia magoti wasiingie kwenye mgogoro wa Ukraine ni Israel na Netanyahau
Netanyahau ni namba nyingine
Weka hapa tuone na uweke na ya usa mi niko buza kwani Dunia ni Kijiji una Dhani ww kukaa Kariakoo ndio uko Dunia nyingine kwa Sasa kumbe Bado uko bush japo upo KariakooTukuletee ripoti ya mauzo ya silaha ya Russia!?
Kijana we wa wapi?
We jamaa huna unalojua.Hiyo ni kawaida tu mbona silaha za Putin zilizoko Ukraine huziona makumbusho ya Ukraine ?
ama umeona za uk na usa
Putin si alisema ni masaa 72 tu game over ,na atakaesaidia Ukraine naye anakula kipigo ,tunaona silaha Zina ingia Ukraine Kila uchao na hafanyo lolote ,Sasa miaka 2 inapita Bado anapigwa na ka willaya tu Ukraine Hadi kaishiwa silaha Sasa Kawa ombaomba anaomba msaada iran
Hapa ni Russia vs Israel.Weka hapa tuone na uweke na ya usa mi niko buza kwani Dunia ni Kijiji una Dhani ww kukaa Kariakoo ndio uko Dunia nyingine kwa Sasa kumbe Bado uko bush japo upo Kariakoo
Israel ni ndogo Sana ukilinganisha muumgano wa majeshi mgambo hao pro Iran hivyo ni mshindi zaidi ya ushindiMadai yako ni mfu.
Mnaimba wimbo ule ule Hamas anajificha nyuma ya raia ila ushahidi hakuna.
Basi sawa tuwatoe Hamas,vipi kuhusu Hizbollah?
Mbona Hizbullah ni jeshi kamili na ameshindwa kuliangamiza na kila siku anashambulia kaskazini mwa Israel!?
Ndio ni mchumba.Vichwa vinachemka, IQ kubwa, wanaweza isimamisha dunia.
Eti Netanyahu ni mchumba, kamuoe tuone.
Umechanganyikiwa mpaka unaji quote mwenyewe 😂😂😂 ama kweli wayahudi wa bonyokwa mna shida sana mwaka huu.Mbona amrushi tena makombora muone moto wa Nyau ,vita ni techinics Iran anatangaza zana zake akijua atalifuta Taifa Israel nae kajipanga na allies wake ,Iran si nae alipewa silaha na Putin north Korea na hao washirika wake Hezbollah Hamas,kwa vipi Israel isipewe ushirika na ulaya
😆Cjahama mada mada ni ileile weka hapa hizo fact za Putin na usa tuone nani ka dropHapa ni Russia vs Israel.
Wewe si unadai soko la silaha la Russia limeshuka!?
Mbona unaanza kuhama mada tena kijana!?
Usiifananishe Iraq na Iran.Shida ya watoto wa 2000 hawajui hata historia, ndo maana wanaongea kitu wasichokijua, miaka ya 1990 Iraq ikiwa na nguvu sana chini ya Sadam Huseni aliwahi kuipiga Israel na makombora ya Scurd yaliyotengenezwa Rusia, alifanya hivyo hivyo kama Iran ilivyofanya na Israel yakirudisha hata kidogo lakini kilichokuja kutokea Iraq wote tukijua mpaka leo ni failed state, Iran na Israel wako vitani hata kama vita haijatangazwa, tutaona mengi halafu mwisho wa siku tutapata majibu.
Hao mgambo unaosemea hata 30k hawafiki.Israel ni ndogo Sana ukilinganisha muumgano wa majeshi mgambo hao pro Iran hivyo ni mshindi zaidi ya ushindi
Ww Putin anaomba msaada iran china noth Korea kaishiwa angalia hata super market hakuna bidhaa Gase yenyewe Kuna mahali ndani ya Rusia hakunaNdio ni mchumba.
Hizbullah tu kaishindwa.
Vita ya miezi 6 imeharibu uchumi wake kiasi anakopa USA kuziba mianya ya kifedha Israel.
Halafu nenda Russia mwaka wa pili ngoma inogile haombi msaada sehemu yeyote anakiwasha mpaka sasa huko Ukraine.
Ni kwa sababu 95% wana uwezo mdogo mno wa kufikiri. Yani wana macho lakin wanashindwa kuona kuwa kila siku Israel inaletewa silaha na nchi za magharibi ili ijilinde.Uwezo wa Israel umejengwa katika misingi ya propaganda na uongo mwingi.
Hebu ona sasa hivi waiIsrael wa simanjiro wanavyo razimisha kuhusika kwa Israel kwenye ajali ya rais wa Iran.
Putin vs Usa au Putin vs Israel!?😆Cjahama mada mada ni ileile weka hapa hizo fact za Putin na usa tuone nani ka drop
Leta ushahidi wa Russia kuomba msaada hizo nchi ulizotaja?Ww Putin anaomba msaada iran china noth Korea kaishiwa angalia hata super market hakuna bidhaa Gase yenyewe Kuna mahali ndani ya Rusia hakuna
fanya tafiti uone usije na mahaba humu
Iraq alishambulia Israel siku hiyo hiyo ambayo Iran ilirusha makombora Israel that's y nasema ni Mshirika wa Iran ,ubaya uko wapi ikiwa israel kasidiwa na washirika wake?Usiifananishe Iraq na Iran.
Putin v/s Israel ? Ukraine tu anamjambisha Putin ataweza mziki wa Israel ,drone zinginga Hadi ikulu ya Moscow Kuna kitu hapo Putin Hana lolote mnampaisha tu ,Sasa kaokota mawe ampige Ukraine baada ya ngumu kavu kavu katolewa kamasiPutin vs Usa au Putin vs Israel!?
Embu toa jibu.
Kwahiyo sasa hivi israel inajitegemea?!io israel iliopigwa na hitler ilikuwa haina makao maalumu wala haikuwa na jeshi walikuwa wakimbizi nchi za ulaya na kwengine hata ivyo pamoja naukimbizi wao walikuwa ma milionea kuwazidi hata wazawa wenyewe apo ndo hitler alipo amua kuwamaliza
israel hii imeshaweka miziz kidiplomasia,kiteknolojia,kibailojia mpaka kijiografia ni ngumu sana mzee baba
Zinagonga ikulu sorryPutin v/s Israel ? Ukraine tu anamjambisha Putin ataweza mziki wa Israel ,drone zinginga Hadi ikulu ya Moscow Kuna kitu hapo Putin Hana lolote mnampaisha tu ,Sasa kaokota mawe ampige Ukraine baada ya ngumu kavu kavu katolewa kamasi
Hukumsikia Nyau ,tunafanya maamuzi yetu ,akaamsha kipigo Iran ,Kisha kamalizia rapha kakomboa na mateka wote ww uko sitimbi ipi maana unauliza vitu watu wamesha Amina matangaKwahiyo sasa hivi israel inajitegemea?!
Kwamba sasa hivi inaweza pigana na adui zake bila kutegemea msaada?