Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Jamaa huwa hatumi meseji yeye ni kupiga simu na kuongea live. Nitamwambia aanze kumrekodi
Yah
Af unatafta ambayo iko wazi kabisa unamtumia..

aumbuke
Na km girlfriend wake unamfahamu unamtumia pia
 
Mwambie kua Mkeo anasema anamtomgoza na kumsumbua Kila KUKICHA.


Ama zangu ama zako .


Alafu tulia uone atakavyojitekenya.
 
Hahahahaha,Eti Mtego!!😂...Weka mtego wakajadiliane na wife Jinsi Ya Kutegua.Ningekua mimi Ningemwambia Wife,Yule Rafiki Yangu Ni Mwathirika kitambo tu....
 
technically huyo mkeo hajampenda rafiki yako angempenda asingekwambia
hao ndio wanawake

Umesema kweli kabisa mkuu,niongezee, pia huenda Bwana Kajji hajamkera mke wake,au hajamkosea,angekuwa amefanya hivyo,hangemwambia,angempa fasta.
 
Namhala Kajji, kwa nini usimtafutie miamba hapo town umteke akaliwe tigo? Jitahidi kupata ushahidi wa kutosha ili ujiridhishe kweli anafanya hayo. Ukishajihakikishia tafuta miamba wanne hapo town umteke akapigwe mambo hatarudia ujinga! Huku kwetu kuna Mwarabu koko wa kwa Nchambi alijidai kutongoza mke wa li-Mafia moja likamteka akiwa ameingia chumbani kusasambua mbunye, likaleta makuli watatu wakampiga tigo huku anapigwa picha, looh mbona alivyotoka humo alihama mji kabisa!! Mpaka leo hatujui alifia wapi!!
 
Sasa huyo ni nyoka,piga kabisa,muite sehemu,mwambie nasikia unamtongoza wife,wakati ana tahamaki kutafuta jibu,unamrukia ndoo Moja,kichwa,mpaka unatoa meno.
Harafu unasepa,
 
Mkeo hana akili. Mke mwenye akili angempa makavu hadi akimbie bila hata wewe kujua.

Jiulize ametongozwa na huyo tu? Wapo wanaomla hawezi kukwambia.

Kifupi mkeo ni zero brain.
 
Kwanza mnunulie zawadi mke wako halafu umpe pongezi nyingi. Zidisha mapenzi kwake ili azidi kuwa mwaminifu. Kuhusu jamaa yako huyo weka mtego. Mwambie mke wako afanye kama amemkubalia na wapange ''guest'' watakayokwenda. Mwambie mke wako siku ikifika, wakishaingia ndani, amshawishi avue nguo zote kwanza (yeye asivue) halafu azichukuwe ghafla na kutoka baru. Wewe uwe unasubiri mlangoni na mara mke wako akitoka na nguo mbio, fungua mlango uchungulie ndani na jamaa akuone. Mkazie mamcho kwa sekunde kadhaa halafu funga mlango kwa kuubamiza na muondoke na mke wako bila hata kumsemesha jamaa. Mwacheni ndani ya guest akiwa uchi na nyie rudini nyumbani (na-suggest siku hiyo uende na rafiki wawili na gari.
 
Kuna story sikumbuki niliipata wapi.
Jamaa kategesha mke amshike ugoni mshikaji. Kwa kukutana ni nyumba ya kulala wageni.

Muda ulifika, mke kaelekea huko huku jamaa akimfuatilia. Wako na mshikaji chumbani. Mume anagonga mlango. Mshikaji akamfungulia akiwa na cha moto mkononi. Mume kakalishwa kwenye kiti, mshikaji akagonga mzigo kisha akaaga akimwambia mume akome kufuatilia wanaume.

Chonde, mambo ya kutegesha unaweza ufe.
 
technically huyo mkeo hajampenda rafiki yako angempenda asingekwambia
hao ndio wanawake
Wewe ni mwanaume? Umeoa? Basi kama umeoa inawezekana kabisa mkeo anagawa kama pipi na ndiyo maana unadhani hakuna walio waaminifu. Na pia ulikuwa kwenye mazingira ya wanawake eg dada zako, mama yako nk kufanya umalaya hivyo ukaaminishwa kuwa wanawake wakitongozwa ni lazima wakubali.
 
Chai hii.
 
Amechoka kuvumilia kwani ni mzigo kubeba?
 
Very wrong advice! Kama hizi ndizo busara za wazee basi tumeliwa. Jamaa amesema kabisa kuwa amemsumbua sana. Kutongozw kwa kawaida kupo ila ukiona rafiki yako anayekuheshimu na anakuja mpaka kwenu halafu anamtongozo mkeo basi ujue huyo rafiki anakudharau na unastahili kumwonyesha kuwa yeye ni mjinga kuliko wewe.
 
Nakuhakikishia bado kuna ndoa ambao wanandoa wake wanajiheshimu mno. Sikatai kuwa kwenye mambo ya uasherati yameongezeka, lakini nasisitiza bado kuna ndoa nyingi tu nzuri. NB: katika races zote, nadhani waafrika ndiyo wa kwanza kwa kufikiria ngono kila saa na kukosa uaminifu kwenye ndoa. Rate ya uzinifu kwenye ndoa siyo kubwa kwa jamii kama wahindi, wachina na hata wazungu.
 
technically huyo mkeo hajampenda rafiki yako angempenda asingekwambia
hao ndio wanawake
Kwamba tukipenda hatutoi taarifa!!

Wanawake sisi ni watulivu na waaminifu sana kwa ndoa zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…