scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Pole mamyKunamtu nilikosea kumtumia laki nanusu aisee alafu nilikuwa nalipa deni la mtu nilipitiwa kipind kigumu yule dada alikataa kurudisha kuwapigia tigo wakasema ashaitoa nambayake ninayo Hadi Leo
Ila ipo siku
NiceKuna day moja nipo safarini natoka chuga nazama naenda singida kidogo naona Ela imeingia kwa ndamba ya mtu binafsi baada ya apo sms ya matumizi ikafata sindo nikamsanua kuwa umerong number alihisi kuchanganyikiwa sema nilimwambia asipige simu kuomba irudishwe nitamrudishia mwenyewe tu
Aseee sadaka ya kweli Mungu anakupa zaidi na zaidi,iliwahi nitokea mara mbiliSadaka yako ilikua ya kweli.
Sadaka zinapaswa ziwe zinatolewa kwa watu wenye uhitaji kama huyo, na sio sehwmu zisizo sahihi ambapo kuwafikia walengwa huwa ni tatizo.
Hakika.Aseee sadaka ya kweli Mungu anakupa zaidi na zaidi,iliwahi nitokea mara mbili
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ulimkarabati kama kisauti alivyomkarabati Analyse ππKuna jamaa niliwahi kumtumia hela ya Michango ya msiba kimakosa,jamaa baada ya kuzungumza akaniambia anaishi Manzese Dar es salaam na akasema atanirejeshea.
Kuepusha lawama msibani wasidhani pesa nimetumia ikabidi nikope niitume halafu mimi nibaki kupambania deni,yule jamaa hela hakuirudisha na nikawa nampigia simu ananiambia nisimsumbue,aiseee ile haikuwa kubwa sana lakini nilisema lazima nimshikishe jamaa adabu.
Unajua kuna watu huwa hawajali pesa wanayopoteza,tatizo huwa linakuja kwa wapokea pesa,huwa wanakera na kuudhi sana hata kama hujafikiria kufanya jambo baya inakubidi ufanye jambo ili heshima iwepo.
Yule jamaa mwanzo nilimwambia asiponirudishia hiyo hela kwenye akaunti yangu atajuta kuzaliwa akadhani utani,safari hii sikutaka kutumia nguvu za Kikurya,nilipanga nitumie nguvu za wenye uwezo mbadala.
Kufupisha,Jamaa alikuwa ananitafuta baada ya kumkarabati analia nikamwambia sina muda yeye aendelee kula matanuzi!.
Aiseee baada ya kubembelezwa sana ndugu zake na hii ni baada ya miezi 7 ndipo tukaonana pale Rombo Green View wakanirudishia hela yangu nikachafua zangu,ingawa walidai wanilipe fidia mimi nikakataa nikawaambia sihitaji dhuruma nahitaji pesa nilikosea kutuma!.
Jamaa hata kaa anisahau hadi anaingia kaburini na hiyo pia itakuwa imempa funzo!.
MIMI SEHEMU YA NGUVU HUWA NATUMIA NGUVU ILA SEHEMU YA WAJUBA HUWA NAWAACHA WAJUBA WAFANYE KAZI YAO!.
Mm nilitumiwa pesa tar.7/07/2023 nikajua ataomba muamala urudishwe Kumbe hakurudisha , Jana nikakumbuka nikampigia Simu kapokea nikamielekeza akasema Kweli nilikosea ila mm mwenye hapa nilipo nipo taaban ninaumwa kwahiyo nilishindwa hata kuirudisha hiyo pesa.Kwa nilivyokuwa naongea nae nikweli anaonekana yupo hoi,basi nimemrudishia ameshukuru kweli.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote. Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650. Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.
N.b. Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
Na huu ndio utaratibu sahihi.ukijichanganya tu wale wazee wa tuma kwenye namba hii wanapita nawewe.Mimi mara 2 nilitumiwa hela Kwa makosa ...sikuigusa Hadi mhusika alipopiga simu ikarudishwa
[emoji16]Omba yote ila usikosee hela ikaenda kwa mtu aliejiingiza kwenye kubeti.... Maombi yako hayatofua dafu.
07/07/2023??????Mm nilitumiwa pesa tar.7/07/2023 nikajua ataomba muamala urudishwe Kumbe hakurudisha , Jana nikakumbuka nikampigia Simu kapokea nikamielekeza akasema Kweli nilikosea ila mm mwenye hapa nilipo nipo taaban ninaumwa kwahiyo nilishindwa hata kuirudisha hiyo pesa.Kwa nilivyokuwa naongea nae nikweli anaonekana yupo hoi,basi nimemrudishia ameshukuru kweli.
Niwaombe mtu akituma pesa kimakosa irejeshe
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Cha mtu hakiliwi , utakua nyasi πππMwambie abaki nayo,,si alijifanya mjanja kula hela yangu πππ
π€£π€£π€£π€£π€£Cha mtu hakiliwi , utakua nyasi πππ
AiseeOmba yote ila usikosee hela ikaenda kwa mtu aliejiingiza kwenye kubeti.... Maombi yako hayatofua dafu.
Hii nayo inaumiza nafsiMimi kuna mtu nilimuahidi kumchangia Harusi halafu sikumchangia... kiukweli roho iliniuma Sana kila ninapo kutana nae...
Kama ningejua ningemchangia tu...
Imeniumiza kuliko hela ambayo ningemchangia